Harmonize ni mbumbumbu wa sheria, mchanga wa mahusiano na mshamba bado wa umaarufu

Mzee hayo mambo ya vijana wachie wao watakuvunja bega bure
We jikikite kwenye ulozi
 
Wewe mwenyewe ushaonesha upo upande gani halafu unamtaka jamaa awe neutral
 
Michael Jackson alisoma wapi..kipaji hakihitaji shule wasomi wakina Ndege wangekula wapi...
 
Wewe mwenyewe ushaonesha upo upande gani halafu unamtaka jamaa awe neutral
Aaah wapi, umeona mi naandika hayo mambo? Mimi nyimbo zangu ni Congolese na Muziki wa Dansi: Vijana Jazz, Sikinde, Washirika, Ottu/ Msondo ngoma, Bantu Group, Twanga Pepeta, TOT Band, Muungano Band.
Congo: JB Mpiana, Koffi Olomide, Hayati(Pepe Kalle, Papa Wemba, Aurlus Mabele, Jean Baron), Ferre Gola, Fally Ipupa, Werason, Aimelia Lyese Demingongo na Kaka yake Lucian Demingongo, Kusila Yondo Sister, Kundi la Extra Musica, Kanda Bongoman, Ballu Canta, Shimita, Lokassa Ya Mbongo, Gatho, Chai Ngengs, Jules Kibens/Kibenga( Le Professour), Fi Carre Mwamba, Alain Mpela, Rio, Gentacymine, Nkonzi wa Nkonzi, Suke Chille, Mbilia Bell, Tshalla Mwana, Cindy, Tutu Kaludji kutaja wachache.
Kwa hiyo, hao vijana wetu hua sina side na yeyote. Bongo fleva ila ya mwanzo ya Jay Moe, Mr Two(Two Proud), Fanan, HBC, Wateule, Gangwe Mobb, East Coast Team, TMK Wanaume Family, Sollo Thang, Afande Selle, Mtoto wa Dandu hizo kweli nilizipenda na style yake ilikua inavutia, na hasa hiyo ndiyo ilikua Bongo Flavour!
 
Tunaonge kile tunachokiona na kukisikia sio unachofikilia
Contentles comment🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Kuna wazee mtaani kwetu walitukanana kesi zikaanza imedumu miaka 14 ,kila mtu anaonyesha umwamba wa hela ,iliwafilisi Hadi wakaanza kuuza mashamba hamna anayekubali ni mwendo wa kukata rufaa ,mwisho wa siku wakakaa chini wenyewe wamalize kimila na ikaisha wakiwa wameshafilisika
 
Michael Jackson alisoma wapi..kipaji hakihitaji shule wasomi wakina Ndege wangekula wapi...
Haiongelewi elimu ya mtu, ila upumbavu wa mtu ambao haiitaji elimu kuubwa kujua kuwa hili si swala jema, ajifunze kwa brother wake Diamond na skendo zake zoote haziwai fika kumzalilisha kwa kiasi hiki
 
Unaongelea Mshana Jr kuwa ni kaka yako. Duh!! Huyu mbona dishi limeyumba!? Jaribu kufikiri mpaka sasa anaishi kwa Dada yake unategemea utapata mawazo ya maana.

Dada yake akitimuliwa na yeye wote wanatimuliwa.
Unamuongelea Mshana Jr yupi? Ni uyu uyu tabibu wa msata anae milik BMW na mnywaji mzuri wa konyagi? Au Mshana Jr mwingine?
 
Pitia uzi huu

 
.
Hakuna kaka yako umu JF usijipe undugu na watu usiowajua na wasiokujua. Fanya yako kisha sepa hakuna anaejali uwepo wa yoyote umu. Mmakonde ni mwanga sana acha anyooshwe watanzania wamemchukia kwa matendo yake.
Msihusishe watanzania na maswala yenu ya kuchambana mitandaoni.
 
Mzee hayo mambo ya vijana wachie wao watakuvunja bega bure
We jikikite kwenye ulozi
Watavunjika wao mimi yangu yamekomaa na sili viazi mkaango kama wao
Hii ni mada ya kujifunza na Harmonize nimemtumia kama mfano kwa yale yaliyomtokea na reaction yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…