Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
dronedrake toa neno kamanda 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikujue ili iweje..,jibu swali.Unanibishia mimi? Unanijua mimi ni nani?
mie kataa ndoa, hakunihusu hapa hata kidogodronedrake toa neno kamanda 😀
Sio kweli,tatizo linaanzia kwa waolewajiHarusi zina kamati...ndo zinachangisha...wanaoana unaweza kuta hawana hata mbwembwe
Ulitaka mashoga waje kumuaibisha harusiniNajua wanawake wanapenda kuolewa kwa harusi kubwa kubwa.
Na maskini tupo weak sana kwa wanawake.
Tajiri hatingishwi na mwanamke.. mwanamke anafata anachotaka mwanaume na habishi maana anajua akigoma kumpata mwanaume tajiri sio kazi ndogo
Majizo hakutumia nguvu kumwambia lulu harusi ya mbwembwe sitaki. Maana lulu anajua akigoma kumpata mume kama majizo sio kazi ndogo.
Millard ayo nae hivyo hivyo mkewe amefata maelekezo tu.
Sisi maskini tunafosi kufanya wanawake wanachotaka cha harusi za show off kwa kubeba madeni ili wanawake zetu wajue tunawapenda wasitukimbie.
Ndio haya mambo ya kuadd watu magrupu ya michango kinguvu
khakhakhaaaa!Pole mkuu. Mi waliniunga group la harusi simjui ata member mmoja wala bwana harusi.
Nikaahidi nitatoa laki 5 hafu nikaleft. Nilitafutwa aisee ova sio SMS sio kupigiwa. Akijitambulisha tu anakula block.
Njoo pm😋 Evelyn SaltNatafuta mchumba
Tuambie nawe unamiliki nn? [emoji23][emoji23][emoji23]Kama utajiri ni kumiliki radiostation and online tv; basi mimi ni bilionea
solution ni kuto kuoaHabari wadau,
Nimeungwa group la harusi ghafla la kijana mfanyakazi mwenzangu anadai michango ya harusi yake.
Nimesoma Bajeti ya harusi yake ni milioni 25.
Nikawaza huyu jamaa ni maskini mwenzangu. Anategema ajira na mshahara ni wa kawaida tu.
Why ana akili ndogo namna hii ya kuchezea pesa.
Mbona vijana waliofanikiwa na wenye utajiri wa mali na utajiri wa watu na connections kali hawapendi mbwembwe wameoa kwa harusi za kimya kimya.
Millard Ayo ni kijana aliyefanikiwa mwenye utajiri wa kutosha tu. Marafiki anao kibao wa kuwachangisha, ila hakufanya hivyo wakati anaoa alioa kimya kimya harusi simple ya kwenda kanisani tu na mkewe kisha kila mtu kwake. Hakuna cha ukumbi wala cha Mc garab wala nani.
Majizo nae mmiliki wa efm hivyo hivyo alioa kimya kimya, yeye na lulu kanisani tu then kila mtu kwake.
Why na kina sisi vijana maskini hatujifunzi. Yaani mtu anachukua mkopo ofisini kwa ajili ya kufanikisha harusi.
Mtu anasumbua watu michango kisa harusi.
MASKINI TUNA UJINGA MWINGI SANA
Mnooo.Hatari sana hiii
Mbna unampangia maisha mwenzio?? DuuuhSema Milard saa nyingine anaboa. Yale maisha anayoishi ni ya kipumbavu sana. Kina Zuckerberg na mabilioni yao ya USD hawajibani kama yule jamaa. Wanasema kila mtu na furaha yake ila hela zinahitajigi kelele kidogo sometimes... mimi kwangu Millard sio mfano wa kuigwa kwenye hizi ishu za mapenzi na mahusiano.
Picha zilirushwa mtandaoni, ila baadae ikasemekana ni tangazo, ndo nasikia hapa kumbe ni kweli kaoa.Kumbe Millard ameoa?? Aisee limenipita hili..yani hata kupostiwa kwny page za umbea hakuna?
Kumbe hajamuoa Meena Ally
Basi wana pesa za kuchezea, ni imani gan gao? Islamic??Michango ya harusi sio lazima, huwezi kuoa kama huna hela. Binamu yangu mmoja hata miaka 30 hajafikisha, ashaoa mara tatu, harusi zote sherehe kubwa kubwa. Zile ni akili za kushikiwa na mamaake.
Mkuu fanya Settings kwenye WhatsApp messenger yako ambapo hakuna yeyote atayeweza kukuunga kwenye group. Binafsi nimewakomesha kwa hilo. No stress za michango!Sasa kwann mnatuunga kwenye magroup kwa lazima....bila ridhaa yetu
Weee waliwaweza wambeaPicha zilirushwa mtandaoni, ila baadae ikasemekana ni tangazo, ndo nasikia hapa kumbe ni kweli kaoa.