Harusi ya Majizzo, Millard Ayo: Vijana matajiri hawapendi kuchezea pesa zao wala kusumbua watu na michango

Harusi ya Majizzo, Millard Ayo: Vijana matajiri hawapendi kuchezea pesa zao wala kusumbua watu na michango

Nashkuru Mungu
Huu ujinga wa michango ya hovyo ilishakataliwa kwny ukoo wetu tangu nakua Hadi hivi sasa

Harusi ya mwanafamilia yeyote itagharamiwa full na Wana ukoo wote kwa kushangishana sisi kwa sisi, sio Watu wa nje.

Labda wale wa hiari yao

Na ndio inavotakiwa mkuu masuala ya kuchangisha kila mtu ni jau tupu na ni aibu heri wanandugu mnajuana na saiv unakuta Kuna account za familia
 
Haha safi . Hii ilinitokea wakati ndo nimemliza shule za juu juu , jamaa etu anajua kabisa sisi bado apeche alolo katuweka kwenye kamati eti tuanze kuahidi nyie mnaita kupledge sijui mi nikawambia Mr Emmanuel andikeni laki nne .. yule jamaa angu akanifata inbox et kua serious mwanangu. Nikamwambia serious uanze kuwa wewe , Katibu wa ile kamati alikua ni mdada mmama majibu niliyokuwa nampa aliona bora aachane na mimi tu na kejeli nyingi kwamba unaahidi halafu kumbe masikini tu. Nikamjibu masikini baba ako
Mkuu hi Nita itumia aisee🤣😂
 
Pole mkuu. Mi waliniunga group la harusi simjui ata member mmoja wala bwana harusi.

Nikaahidi nitatoa laki 5 hafu nikaleft. Nilitafutwa aisee ova sio SMS sio kupigiwa. Akijitambulisha tu anakula block.
Hahaqaa, nitaifanya hii mbinu.
 
Hivi Millard ni kweli alioa, mbna ilisemekana ni tangazo lile? Duuh bas hongera zake.
Sema Milard saa nyingine anaboa. Yale maisha anayoishi ni ya kipumbavu sana. Kina Zuckerberg na mabilioni yao ya USD hawajibani kama yule jamaa. Wanasema kila mtu na furaha yake ila hela zinahitajigi kelele kidogo sometimes... mimi kwangu Millard sio mfano wa kuigwa kwenye hizi ishu za mapenzi na mahusiano.
 
Sema Milard saa nyingine anaboa. Yale maisha anayoishi ni ya kipumbavu sana. Kina Zuckerberg na mabilioni yao ya USD hawajibani kama yule jamaa. Wanasema kila mtu na furaha yake ila hela zinahitajigi kelele kidogo sometimes... mimi kwangu Millard sio mfano wa kuigwa kwenye hizi ishu za mapenzi na mahusiano.
Anajibana vipi, toa mfano..,
 
Sema Milard saa nyingine anaboa. Yale maisha anayoishi ni ya kipumbavu sana. Kina Zuckerberg na mabilioni yao ya USD hawajibani kama yule jamaa. Wanasema kila mtu na furaha yake ila hela zinahitajigi kelele kidogo sometimes... mimi kwangu Millard sio mfano wa kuigwa kwenye hizi ishu za mapenzi na mahusiano.

Kwa nini unasema wewe kwako Millard sio mfano wa kuigwa kwenye hizi ishu za mapenzi na mahusiano ?

Alipaswa afanyeje kwenye hayo mambo
 
Sema Milard saa nyingine anaboa. Yale maisha anayoishi ni ya kipumbavu sana. Kina Zuckerberg na mabilioni yao ya USD hawajibani kama yule jamaa. Wanasema kila mtu na furaha yake ila hela zinahitajigi kelele kidogo sometimes... mimi kwangu Millard sio mfano wa kuigwa kwenye hizi ishu za mapenzi na mahusiano.
Muarusha/k’njaro na mapenzi wapi na wapi..huko nihela pombe na nyama
 
Habari wadau,

Nimeungwa group la harusi ghafla la kijana mfanyakazi mwenzangu anadai michango ya harusi yake.

Nimesoma Bajeti ya harusi yake ni milioni 25.

Nikawaza huyu jamaa ni maskini mwenzangu. Anategema ajira na mshahara ni wa kawaida tu.

Why ana akili ndogo namna hii ya kuchezea pesa.

Mbona vijana waliofanikiwa na wenye utajiri wa mali na utajiri wa watu na connections kali hawapendi mbwembwe wameoa kwa harusi za kimya kimya.

Millard Ayo ni kijana aliyefanikiwa mwenye utajiri wa kutosha tu. Marafiki anao kibao wa kuwachangisha, ila hakufanya hivyo wakati anaoa alioa kimya kimya harusi simple ya kwenda kanisani tu na mkewe kisha kila mtu kwake. Hakuna cha ukumbi wala cha Mc garab wala nani.

Majizo nae mmiliki wa efm hivyo hivyo alioa kimya kimya, yeye na lulu kanisani tu then kila mtu kwake.

Why na kina sisi vijana maskini hatujifunzi. Yaani mtu anachukua mkopo ofisini kwa ajili ya kufanikisha harusi.

Mtu anasumbua watu michango kisa harusi.

MASKINI TUNA UJINGA MWINGI SANA


Ajakulazimisha umchangie, heshimu maamuzi na maisha yake!!!??
 
Unanibishia mimi? Unanijua mimi ni nani?

Nakubishia ama nakuuliza swali

Soma tena kwa umakini

Kwa nini unasema wewe kwako Millard sio mfano wa kuigwa kwenye hizi ishu za mapenzi na mahusiano ?

Alipaswa afanyeje kwenye hayo mambo
 
Wanawake wanaowachagua, wazazi, mawifi, mashemeji. Hawa huongeza tatizo. Utakuta kijana anaambiwa we kaa tulia subiri, sasa ikikaribia harusi halafu kuna gap stress zinaanza ndo unakuta mtu anakopa.
 
Back
Top Bottom