Harusi ya Majizzo, Millard Ayo: Vijana matajiri hawapendi kuchezea pesa zao wala kusumbua watu na michango

Ulitaka mashoga waje kumuaibisha harusini
 
Pole mkuu. Mi waliniunga group la harusi simjui ata member mmoja wala bwana harusi.

Nikaahidi nitatoa laki 5 hafu nikaleft. Nilitafutwa aisee ova sio SMS sio kupigiwa. Akijitambulisha tu anakula block.
khakhakhaaaa!
 
Michango ya harusi sio lazima, huwezi kuoa kama huna hela. Binamu yangu mmoja hata miaka 30 hajafikisha, ashaoa mara tatu, harusi zote sherehe kubwa kubwa. Zile ni akili za kushikiwa na mamaake.
 
solution ni kuto kuoa
 
Mbna unampangia maisha mwenzio?? Duuuh
 
Kumbe Millard ameoa?? Aisee limenipita hili..yani hata kupostiwa kwny page za umbea hakuna?
Kumbe hajamuoa Meena Ally
Picha zilirushwa mtandaoni, ila baadae ikasemekana ni tangazo, ndo nasikia hapa kumbe ni kweli kaoa.
 
Michango ya harusi sio lazima, huwezi kuoa kama huna hela. Binamu yangu mmoja hata miaka 30 hajafikisha, ashaoa mara tatu, harusi zote sherehe kubwa kubwa. Zile ni akili za kushikiwa na mamaake.
Basi wana pesa za kuchezea, ni imani gan gao? Islamic??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…