Harusi za Wasomali ni nusu vita

Mkuu unajua blanks zinavyo pigwa kwenye silaha au ujui tukufahamishe.
 
Asante mtaalamu sie WA kuja tulijua njugu za ukweli. Ila hata kama ni Sauti Tu bi harusi wa kutoka Buza angepekekwa huko angezimia. Nahisi bunduki ni za kweli, bunduki harusini?
 
Chakula hawana, ila bunduki na risasi za Kukosha, Mungu kweli Fundi
 
Acha uongo,u.s.a hawajahi kushindwa vita.somalia hakuna cha maana kule
 
Al Shabaab kila siku wananishauri nijiunge nao, mi nawakatalia.
 
Kwa ufupi tu, kamii za kiislamu hazijastaarabika
 
Mkuu unajua blanks zinavyo pigwa kwenye silaha au ujui tukufahamishe.
Umemuuliza swali zuri sana na ukweli ni kwamba kwenye AK 47 blanks huwezi kupiga hivyo ganda huwa linakwama kwenye extractor hivyo ejector inashindwa kutoa ganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…