Hasara ya Iran kuishambulia Israel ni kubwa. Kukaa kwao kimya si kwamba hawana akili. Russia, Korea na China...

Hasara ya Iran kuishambulia Israel ni kubwa. Kukaa kwao kimya si kwamba hawana akili. Russia, Korea na China...

Sodoku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2016
Posts
1,271
Reaction score
2,903
Russia na China ni washirika wakubwa wa Irani. Wanajua intelejensia. Wanamwambia kila mara Irani atulize kipago Israel aachwe kama alivyo.

Vita ya 3 ya Dunia itaanzia Mashariki ya Kati. Israel Taifa kubwa ndilo litasababisha vita hiyo. Ni Taifa dogo kwa eneo na idadi ya watu lakini Kihistoria na mamlaka lina ukubwa wake.


Irani ana vinu vya nyuklia. Israel ameshategesha makombola yake kuelekea Vinu hivyo. Taarifa za Russia zinawaambia Irani kuwa the day wanajaribu kurusha ndo the day Irani yenyewe inashambuliwa na Nyuklia.

Kuna mataifa ya Kiarabu ambayo kwa kweli yanafurahia kile ambacho Israel inakifanya Mashariki ya Kati. Yanataka hali hiyo ibaki kama ilivyo. Mnakumbuka vita ya Ghuba? Iraq chini ya Saddam ilipokuwa inauwa Waislamu wenzie? Makafiri ndo walienda saidia. Mataifa mengine ya Kiarabu yalinyamaza.

Russia inashindwa kutoa full support kwa Iran maana naye ana kijipu uchungu cha Ukraine kinamsumbua.so ana wasiwasi sana.

Marekani na washirika wake amekaa anatizama kinachoendelea but akipata pa kuingilia kuingia miguu yote ataingia.akipata sababu. Putin mjanja ashagundua. Siku hizi hamumsikii akitoa vitisho kwa NATO. Toka marehemu yule jangili alipotaka ingia Russia kumuondoa Putin jamaa aligundua. Hayupo strong kama alivyodhani.

Mnawasikia Korea? Kuduku. Mnamsikia akibwabwaja? Ukiona mwenzio ananyolewa wewe kasuke rasta. Hata zile show off za kuonesha silaha. Mnaziona sana siku hizi? Mnawaona Marekani wakionesha? Hawafanyi hivyo

Mlishawahi zisikia Bunk Busters? Sidhani. Wanasema zipo silaha nyingine hazijulikani Duniani. Zimekaa tu standby kusubiri sababu ya kutumika.
 
Russian anajua kabisa kuwa US ( CIA ) wako vitani sambamba na ISRAEL...
anachosema US kuhusu ceasefire ni geresha tu kwa nje.
Israel angeweza kuamua kufanya mauaji hayo bila kupata baraka zote za US....
IRAN knows kwamba lengo la NETANYAU + US ni nini ...
Na huenda hata vita vya UKRAINE vinakuwa prolonged ili kumchosha RUSSIA, JEWS are US and US are Jews..
CHINA ndo rafiki mnafiki kabisa kumfanya kuwa allies...
Iran amekuwa open ku msupport RUSSIA but not CHINESE...
CHINA has nothing to loose . Anajua kabisa hawezi kushambuliwa, that's why hata asipo kussuport ( mirritarily) no RISK kwake...
 
sahihisho, Iran anaweza kuwa na vinu vya Nyuklia lakini hana silaha ya Nyuklia na hatokuja kufanikiwa kutengeneza nyuklia.

Russia, imejengwa na wayahudi, haiwezi kui antagonise Israel

China, imejengwa na wayahudi. Najua hapa watu watashanga sana? Kwa sababu wanajua tu kuna wayahudi wenye asili ya Kizungu (caucasians) na Kiarabu. Tafuteni maarifa
 
sahihisho, Iran anaweza kuwa na vinu vya Nyuklia lakini hana silaha ya Nyuklia na hatokuja kufanikiwa kutengeneza nyuklia.

Russia, imejengwa na wayahudi, haiwezi kui antagonise Israel

China, imejangwa na wayahudi. Najua hapa watu watashanga sana? Kwa sababu wanajua tu kuna wayahudi wenye asili ya Kizungu (caucasians) na Kiarabu. Tafuteni maarifa
Kaifeng Jews
 
Russia na China ni washirika wakubwa wa Irani. Wanajua intelejensia. Wanamwambia kila mara Irani atulize kipago Israel aachwe kama alivyo.

Vita ya 3 ya Dunia itaanzia Mashariki ya Kati. Israel Taifa kubwa ndilo litasababisha vita hiyo. Ni Taifa dogo kwa eneo na idadi ya watu lakini Kihistoria na mamlaka lina ukubwa wake.


Irani ana vinu vya nyuklia. Israel ameshategesha makombola yake kuelekea Vinu hivyo. Taarifa za Russia zinawaambia Irani kuwa the day wanajaribu kurusha ndo the day Irani yenyewe inashambuliwa na Nyuklia.

Kuna mataifa ya Kiarabu ambayo kwa kweli yanafurahia kile ambacho Israel inakifanya Mashariki ya Mbali. Yanataka hali hiyo ibaki kama ilivyo. Mnakumbuka vita ya Ghuba? Iraq chini ya Saddam ilipokuwa inauwa Waislamu wenzie? Makafiri ndo walienda saidia. Mataifa mengine ya Kiarabu yalinyamaza.

Russia inashindwa kutoa full support kwa Iran maana naye ana kijipu uchungu cha Ukraine kinamsumbua.so ana wasiwasi sana.

Marekani na washirika wake amekaa anatizama kinachoendelea but akipata pa kuingilia kuingia miguu yote ataingia.akipata sababu. Putin mjanja ashagundua. Siku hizi hamumsikii akitoa vitisho kwa NATO. Toka marehemu yule jangili alipotaka ingia Russia kumuondoa Putin jamaa aligundua. Hayupo strong kama alivyodhani.

Mnawasikia Korea? Kuduku. Mnamsikia akibwabwaja? Ukiona mwenzio ananyolewa wewe kasuke rasta. Hata zile show off za kuonesha silaha. Mnaziona sana siku hizi? Mnawaona Marekani wakionesha? Hawafanyi hivyo

Mlishawahi zisikia Bunk Busters? Sidhani. Wanasema zipo silaha nyingine hazijulikani Duniani. Zimekaa tu standby kusubiri sababu ya kutumika.
China na Rusia wameisha mjua muamerika anapenda kutumia nchi zingine kutimiza malengo yake, nao hawataki kumpa nafasi hiyo, hivyo wanamtaka yeye Mwenyewe. Akiingia anga zao wanaye.
 
China na Rusia wameisha mjua muamerika anapenda kutumia nchi zingine kutimiza malengo yake, nao hawataki kumpa nafasi hiyo, hivyo wanamtaka yeye Mwenyewe. Akiingia anga zao wanaye.

Sasa si wamfuate? Kama wamejua ni rahisi sana ku deal naye. Wamfuate tu.
 
Russia na China ni washirika wakubwa wa Irani. Wanajua intelejensia. Wanamwambia kila mara Irani atulize kipago Israel aachwe kama alivyo.

Vita ya 3 ya Dunia itaanzia Mashariki ya Kati. Israel Taifa kubwa ndilo litasababisha vita hiyo. Ni Taifa dogo kwa eneo na idadi ya watu lakini Kihistoria na mamlaka lina ukubwa wake.


Irani ana vinu vya nyuklia. Israel ameshategesha makombola yake kuelekea Vinu hivyo. Taarifa za Russia zinawaambia Irani kuwa the day wanajaribu kurusha ndo the day Irani yenyewe inashambuliwa na Nyuklia.

Kuna mataifa ya Kiarabu ambayo kwa kweli yanafurahia kile ambacho Israel inakifanya Mashariki ya Mbali. Yanataka hali hiyo ibaki kama ilivyo. Mnakumbuka vita ya Ghuba? Iraq chini ya Saddam ilipokuwa inauwa Waislamu wenzie? Makafiri ndo walienda saidia. Mataifa mengine ya Kiarabu yalinyamaza.

Russia inashindwa kutoa full support kwa Iran maana naye ana kijipu uchungu cha Ukraine kinamsumbua.so ana wasiwasi sana.

Marekani na washirika wake amekaa anatizama kinachoendelea but akipata pa kuingilia kuingia miguu yote ataingia.akipata sababu. Putin mjanja ashagundua. Siku hizi hamumsikii akitoa vitisho kwa NATO. Toka marehemu yule jangili alipotaka ingia Russia kumuondoa Putin jamaa aligundua. Hayupo strong kama alivyodhani.

Mnawasikia Korea? Kuduku. Mnamsikia akibwabwaja? Ukiona mwenzio ananyolewa wewe kasuke rasta. Hata zile show off za kuonesha silaha. Mnaziona sana siku hizi? Mnawaona Marekani wakionesha? Hawafanyi hivyo

Mlishawahi zisikia Bunk Busters? Sidhani. Wanasema zipo silaha nyingine hazijulikani Duniani. Zimekaa tu standby kusubiri sababu ya kutumika.
Naona shehe ubwabwa umevimbiwa pilau unatikisa kobasi zako na masagamba yanakenua tuu huku ukiwasimulia ujinga hayani wenzio hapo mtambani.
 
Back
Top Bottom