Hasara ya Iran kuishambulia Israel ni kubwa. Kukaa kwao kimya si kwamba hawana akili. Russia, Korea na China...

Hasara ya Iran kuishambulia Israel ni kubwa. Kukaa kwao kimya si kwamba hawana akili. Russia, Korea na China...

"Irani ana vinu vya nyuklia. Israel ameshategesha makombola yake kuelekea Vinu hivyo. Taarifa za Russia zinawaambia Irani kuwa the day wanajaribu kurusha ndo the day Irani yenyewe inashambuliwa na Nyuklia."

Nimeishia kusoma tu hapa kwanza kuandika hujui unachangana R na L kingine unaandika uwongo uwongo tu, Israel ana makombora gani aliyoyaelekeza Iran?Nchi iliyowahi kuelekeza makombora ni Cuba tu wacha kupotosha watu
Bwege wewe...kilaza. Umepaniki. Onesha wapi imewekwa R badala ya L and the vice versa. 🤣
 
Kaa kimya dogo , huujui mziki wa China kwenye vita ,kaangalie walimfanyia nini mmarekani kwenye Korean war .
Au unafikiri ile north and south Korea ilitokea miracles Tu kuwa vile .
Fuatilia pia usome historia yao kwenye vita ya Vietnam , vietcongs silaha na trainers walikuwa ni wachina na walifanya hivyo kumnyoosha mmarekani na walifanikiwa .

Unapoongelea China usidhani unaongelea least developed country ,China ni military power kubwa na wako well equipped kwemye espionage kuliko unavyoweza kudhani , kama unafuatilia mambo ,fuatilia espianage activities na spying za mchina kule Marekani na kwingineko , wamedukua mpaka public infrastructure za Marekani na washirika wake ,na inaaminika hata na wamarekani wenyewe kwamba miundombinu ya nchi yao iko vulnerable kwa mchina .
Hadi kampuni kubwa zimedukuliwa na hao watu , wana mamilioni ya wanafunzi wameingia kule kufanya spying miaka mingi ,kiufupi wanajua inside out ,si wajinga wale
Dogo huwa tunalishana matango pori about china ila wewe umezidi sana.yaani mpaka nimeona aibu...🤣
 
Back
Top Bottom