Hasara ya Iran kuishambulia Israel ni kubwa. Kukaa kwao kimya si kwamba hawana akili. Russia, Korea na China...

Kuna ujinga mwingi humu hivi ni kukosa elimu au kujaribu kuelezea vitu vikubwa huku akili ikiwa ndogo ?
 
Israel muda mwingi wapo vitani, kwanini huwa hawalalamiki wananchi wake kukosa mahitaji muhimu wala mfumuko wa bei?
Israel hawezi kuishiwa au kupungukiwa na chochote kwa sababu anapewa sapoti na mataifa yote makubwa Duniani yenye nguvu zote za Uchumi na za Kijeshi !
Na zaidi ya hapo hata Baadhi ya Waislamu hata wa hapa Bongo ukiingia huko YouTube Wanasemaga ni bora Wayahudi kuliko Mashia πŸ˜³πŸ™„ !

Kwahiyo maana yake ni kwamba wanawaunga mkono Wayahudi 😁

Dunia Rangilangire !
Ukistaajabu ya Mussa ………………………. ). πŸ™
 
Naona umewaongezea vitisho wanazengo washangiliaji. πŸ˜€πŸ˜€
 
Main focus ya China ni kuimarisha uchumi wake ili amzidi USA.

Pili anajiimarisha sana kuwa na silaha nzuri kwa ajili ya kujilinda na kuinua uchumi wake kupitia silaha. Hasa kwa soko la Africa. Anauza silaha nyingi Africa.

Vita inafanya uchumi unasinyaa. Mchina anajua hilo.
 
Absolutely correct. I concur with you.

Iran katishia kupeleka troops Lebanon lakini hatafanya hivo kamwe. Wanaume wameshatia nanga pale Cyprus wanasubiria, Iran afanye kosa la karne.

Kilichotokea Beirut hata ungelikuwa wewe lazima utafakari kwanza ndo ukabiliane na Israel. Pili Iran bado ana kumbukumbu ya kilichotokea kwa Haniyeh nchini mwake.
 
China na Rusia wameisha mjua muamerika anapenda kutumia nchi zingine kutimiza malengo yake, nao hawataki kumpa nafasi hiyo, hivyo wanamtaka yeye Mwenyewe. Akiingia anga zao wanaye.
Kama unachosema ni kweli !!!. Mbona alipotaka kuivamia Taiwan, USA walikuwa very clear. Walisema "Don't dare to do". Hawakuishia hapo wakasogeza meli zao za kivita.

Swali ulitaka USA ipi tena? au kuna USA mbili.?
 
yaani hassan nasraallah wamekusanya vipande vipande tu. na alikuwa kwenye handaki chini.
 
China na Rusia wameisha mjua muamerika anapenda kutumia nchi zingine kutimiza malengo yake, nao hawataki kumpa nafasi hiyo, hivyo wanamtaka yeye Mwenyewe. Akiingia anga zao wanaye.
Kama unachosema ni kweli !!!. Mbona alipotaka kuivamia Taiwan, USA walikuwa very clear. Walisema "Don't dare to do". Hawakuishia hapo wakasogeza meli zao za kivita.

Swali ulitaka USA ipi tena? au kuna USA mbili.
 
Sisi si tuna jeshi huwa linavunja mawe kwa meno siku ya muungano, why lisiende kuwasaidia Iran?
Hata wazungu huwa wanatushangaaa kweli. Na uwanja mzima unashangilia mtu kuvunja tofati kwa mkono au meno. Tunasifu eti tuna makomandoo wazuri sana.

Uimara wa jeshi ni kuwa na vifaa vyenye high technologies siyo meno au ngumi. Mtu anapanda cheo kwa kuvunja tofauri kwa neno siyo kwa skills za kivita.
 
Kama unachosema ni kweli !!!. Mbona alipotaka kuivamia Taiwan, USA walikuwa very clear. Walisema "Don't dare to do". Hawakuishia hapo wakasogeza meli zao za kivita.

Swali ulitaka USA ipi tena? au kuna USA mbili.
Kwa hiyo US yupo tayari kwa vita ila China inaogopa
 
Makafir ndiyo akina nani?
 
Unalionea wivu jeshi wewe!Ni la sita/six/sis/gana na limwe kwa ubora duniani.🀣🀣🀣🀣
 
China mimi ni RAFIKI YANGU ni mjanja sana yule macho madogo hata umpidid hapigan, anajua gharama za vita

Na anaogopa sana kuwatumbikiza raia wake kwenye mateso ya vita
Kumpidid ndo vita gani hiyo mkuu?
 
China mimi ni RAFIKI YANGU ni mjanja sana yule macho madogo hata umpidid hapigan, anajua gharama za vita

Na anaogopa sana kuwatumbikiza raia wake kwenye mateso ya vita
Wanasema china ana jeshi la maroboti, ikitokea vita hawezi kupata hasara kubwa ya roho za watu
 
Mrusi ana akili sana anajua akiingia Trump vita Ukraine itaisha ila atawapelekea moto waislam pale mashariki ya kati kwa hio na yeye anaangalia manufaa yake,,,isitoshe pale Lebanon Israel anapigana na waislam wa Hezbollah ambao ni wapalestina waliopewa hifadhi enzi hizo Lebanon kipindi hiko Lebanon ni nchi ya kiarabu ila ni ya kikristo,,,,wapalestina kusaidiwa Lebanon wakaja kuzaliana na kutaka kuwapiku wenye nchi yao na kuanzisha Hezbollah..........kwahio kwa upande wa wagalatia ambae hata mrusi yupo humo Israel kushinda ipo kwenye manufaa yake,,,,,democrats na wakina Bidden ndo walifocus sana ukraine kuliko mashariki ya kati ndo maana hadi Netanyahu akamaind akaenda nae kufanya maongezi na mrusi,,,,Plan kwa sasa vita ya Ukraine iishe kupitia Republicans ambae ni Trump ndo maana wanahangaika sana kumuua Trump,,, akishaingia Trump hata Iran anaweza akachapwa huku mrusi anamuangalia tu maana yeye kazi yake Ukraine kamaliza kwa msaada wa haohao wayahudi
 
Huwezi kuona USA au Israel jeshi linafanya mambo ya kijinga hivyo wao ni technology basi
 
Iran anapata support ya China, Russia na Korea kaskazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…