Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUU NI UONGO SASA.Huo mji ni lost angels, malaika waliopotea, sasa sijui ndio kama wale waliotupwa chini pamoja na lusifa au hawa ni wengine. Ni mji mchafu kimaadili ya kiroho. Labda ndio sababu unachomwa
Wewe ni muongo kwani Mungu kasema chochote juu ya taifa lake Marekani,? Leta ushahidi,huko uarabuni Irani juzi wamekufa watu 3000 kwa tetemeko la ardhi mbona hukuleta upuuzi wake Leo kufa wamarekani 10 unaleta chuki zako😄tambua Dua la Allah halimkuti Marekani kamweAsiyeamini kama huyu ni mungu hawezi kuamini chocjote kwenye maisha yake , acha waisome namba wengi wao walichanga hadi hela ili gaza watoto wauliwe leo wao mungu kawapa dozi kidogo tu wanalia kama watoto, karma never miss the address
Daah mkuu huu pia ni udhalioshajiSawa Bw. View attachment 3198309 umeeleweka
na mimi nimeshangaaSehemu kama hii ipangwe upyaView attachment 3197907
Bongo wangeshakufa watu 10000...Huu moto ungetokea Tanzania, saivi watu wangekua wanalaumu jeshi la zima moto na serikali yake. Haya sasa limetokea huko duniani ambako teknolojia ni kubwa kuliko huku kwetu.
Wamakaru wamakarallahu wallahu khayrul maakiriin.Mungu yupo ila anafanya kila jambo analotaka kwa wakati wake hapangiwi, yeye ndio anyejua kesho yetu
Kwenye quran amesema , wanapanga mipango yao na yeye mungu anapanga na yeye ndio best of planners
Haya mahubiri ya jamaa mmoja aliitwa Wiliam Branham kama sijasahau, alisha tabiri Los Angeles siku moja itamezwa na bahari na itakuwa chini ya bahari, miaka ya 1965...Huo mji ni lost angels, malaika waliopotea, sasa sijui ndio kama wale waliotupwa chini pamoja na lusifa au hawa ni wengine. Ni mji mchafu kimaadili ya kiroho. Labda ndio sababu unachomwa
ACha wahangaike na moto wa allah kwanza , wewe endelea kuabudu wazungu, kwa wakristo tumeshawazoea huwa rahisi sana kudanganyika hamnaga imani thabiti ndio maana hata yesu mtume wa mungu alivyoonyesha miujiza mkaamua kumuabudu na kumuita yeye ni munguWewe ni muongo kwani Mungu kasema chochote juu ya taifa lake Marekani,? Leta ushahidi,huko uarabuni Irani juzi wamekufa watu 3000 kwa tetemeko la ardhi mbona hukuleta upuuzi wake Leo kufa wamarekani 10 unaleta chuki zako😄tambua Dua la Allah halimkuti Marekani kamwe
Hahaha! Kiburi chako kinanikumbusha watu wa Nabii Nuhu alivyotumwa kwa watu wake awapatie ujumbe kutoka kwa Mungu. Qur'an inanukuu:Mungu Hana ubavu wa kunileta duniani mkuu!
Sasa wale wanaohangaika kujaribu kuwaambia watu watoke huku au kule au waokoke wanafanya nini ? Si kila kitu kimepangwa ? According to you hii ni kama movie imeshachezwa kinachofanyika sasa hivi tunaangalia marudio.., kwahio hata hao Gaza waliopigwa ni yeye alijua watapigwa (na angeweza kuzuia) ila aliacha according to you in USA washangalie, na according to you ili mwisho wa siku achome nyumba zao..., (Na according to you this has nothing to do na mabadiliko ya mazingira wala kujenga sehemu ambazo ni prone to Wild Fires)Mungu yupo ila anafanya kila jambo analotaka kwa wakati wake hapangiwi, yeye ndio anyejua kesho yetu
Nilidhani unaamini kwamba alishapanga na kila kitu kimepangwa kwahio hapa ni utekelezaji ? Au bado anapanga na kupangua ?Kwenye quran amesema , wanapanga mipango yao na yeye mungu anapanga na yeye ndio best of planners
Uwe unatumia akili basi hatupo hapa kufundishana vitu basic go to schoolSasa wale wanaohangaika kujaribu kuwaambia watu watoke huku au kule au waokoke wanafanya nini ? Si kila kitu kimepangwa ? According to you hii ni kama movie imeshachezwa kinachofanyika sasa hivi tunaangalia marudio.., kwahio hata hao Gaza waliopigwa ni yeye alijua watapigwa (na angeweza kuzuia) ila aliacha according to you in USA washangalie, na according to you ili mwisho wa siku achome nyumba zao..., (Na according to you this has nothing to do na mabadiliko ya mazingira wala kujenga sehemu ambazo ni prone to Wild Fires)
Na kwa mantiki hio mlima Kilimanjaro ambao ni Dormant (haujafa) siku ukifanya yake na kuleta maafa utasemaje ? Kwamba Mungu anawapa adhabu CCM / Viongozi walamba Asali kwa kuwauwa na kuharibu mali za wanakijiji walio karibu na Mlima ?
Nilidhani unaamini kwamba alishapanga na kila kitu kimepangwa kwahio hapa ni utekelezaji ? Au bado anapanga na kupangua ?
Wewe unachuki za kimadrasa TU hakuna kingineACha wahangaike na moto wa allah kwanza , wewe endelea kuabudu wazungu, kwa wakristo tumeshawazoea huwa rahisi sana kudanganyika hamnaga imani thabiti ndio maana hata yesu mtume wa mungu alivyoonyesha miujiza mkaamua kumuabudu na kumuita yeye ni mungu
Leo kina kiboko ya wachawi na hao matapeli mnawaita manabii wamejua ujinga wenu na wao wanapita umo umo
Hakuna mtu ambae hana akili ila kuna watu hawana reasoning na wewe nadhani humo kwenye kundi hilo unaangalia mambo kwa mafungu.., na statement zako zote ni full of holes yaani sentensi yako ya kwanza inapingana na ya tatu.., hivyo wala sihitaji kukupinga bali unajipinga mwenyewe..., Ila ndio tatizo la kuanza na kitu unachodhani ndio jibu (hivyo kujaribu kukitafutia Swali)Uwe unatumia akili basi hatupo hapa kufundishana vitu basic go to school
Inasikitisha kuona binadamu wa karne hii kuwa na mawazo kama haya. Majanga ya kibinadamu yanatokea kila siku kila mahala, yanatofautiana ukubwa na madhara yake. Hizo stori nyingine ni kukosa uelewa wa namna ulimwengu ulivyo...