Akili yako ndogo kwa hiyo wajaluo wa Kenya walitwa Tarime?. Au wamasai wa Kenya walitwaa mkoa wa Arusha?Kama waliweza kujipenyeza na kuweza kutwaa kipande kikubwa kitakachokuwa mkoa wa Chato basi Intelligence yetu itakuwa na walakini.
Ushuzi mtupuuu.Namuona Kagame kama Putin wa EAC . Atatusurubu muda si mrefu
Poor you na pole sana kwani usichokijua tu ni kwamba 'Watutsi' kutoka Rwanda wamejaa hadi Ofisi na Taasisi za Mama.Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!
Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!
Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.
Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Kama wakwetu walivyojaa ofisi ya ngongoti....don't dare us.Poor you na pole sana kwani usichokijua tu ni kwamba 'Watutsi' kutoka Rwanda wamejaa hadi Ofisi na Taasisi za Mama.
Wako wengi Sana,huku Rukwa mmja wao ni mwenyekiti wa ccm Mkoa.Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!
Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!
Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.
Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Mmechelewa sana Wapuuzi nyie tunawatamani kweli mtuchokoze ili nchi yenu iwe sehemu ya Taifa letu la Rwanda Oky?Kama wakwetu walivyojaa ofisi ya ngongoti....don't dare us.
Ndoto ya mchana!Mmechelewa sana Wapuuzi nyie tunawatamani kweli mtuchokoze ili nchi yenu iwe sehemu ya Taifa letu la Rwanda Oky?
Na wewe umejiweka? Au unafikiri hatujui kuwa ni mmoja wa mapandikizi wa Bahima empire?Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!
Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!
Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.
Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Hahaa, hako ka tarafa kenu ndio kakutupiga sisi mkwara? Mnadhani tuna muda wa kupigana na nyie? Sisi tuna mambo mengi ya kuhangaika nayo asee. Nyie mtapigana na Kigoma peke yake. Na ninavyowafahamu ndugu zetu Waha wa kigoma kwa ubishi, ni siku tatu tu watakua washaingia mpaka Kigali.Mmechelewa sana Wapuuzi nyie tunawatamani kweli mtuchokoze ili nchi yenu iwe sehemu ya Taifa letu la Rwanda Oky?
Umaskini wa taifa ni hesabu ya kujumlisha yaani summationTanzania sio masikini ila watu wake ndio masikini !! Ukiniuliza kwanini ? Nitajibu hata Mimi sijui ! (Kama alivyojibu mstaafu mmoja wa zamani) !!
Mmechelewa sana Wapuuzi nyie tunawatamani kweli mtuchokoze ili nchi yenu iwe sehemu ya Taifa letu la Rwanda Oky?
Nje ya hoja yako, kwakweli kwasasa nyie wenye dhamana ya ulinzi wa Taifa hili nawaomba sana endeleeni kufanya bidii na kwasasa fanyeni bidii zaidi.Dotto Biteko usimsahau, SiO wa kumuamini
Mwambie ajaribuNamuona Kagame kama Putin wa EAC . Atatusurubu muda si mrefu
Hata kwa Putin walisema hivi hivi. Lkn yako wapi?Mwambie ajaribu
Acha kupamba mavi mauaPoor you na pole sana kwani usichokijua tu ni kwamba 'Watutsi' kutoka Rwanda wamejaa hadi Ofisi na Taasisi za Mama.
Rwanda inaingia kwa Tanzania mara 36, ni nchi ndogo mno, hizi ni Propaganda za kujipa umaarufu, kwa Umasikini walionao watawekeza kwenye nini?Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!
Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!
Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.
Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo