HATARI: Zama za Wakatoliki kuendelea kutubu mbele ya Padri zimepitwa na wakati

Kwahyo Mungu anahitaji msimamizi hapo katikati ili asamehe? (padri).

Yani nataka kujua kabisa core function ya padri hapo maana umesema hasamehi
Haya mambo magumu sana mkuu πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†

Mtu anaweza kusema OK, tumu-exclude huyo padre na ushiriki wake wote, twende kwenye logic.

Kwann unaabudu na kutubu dhambi kwa Mungu ambaye hujawahi kumwona wala aliyekurithisha hajawahi kumwona? Ulimwaminije bila clear proof?
 
Mkuu definition ya imani.
Ni kuwa na uhakika wa jambo bila kuwa na ushahidi.
 
Matahira hayo achana nayo
Sasa atheist akikuita taahira kwa kumuabudu Mungu ambaye hujawahi kumwona na maandiko yenu yanasema hakuna atakayemwona mpaka afe utakataa?

Mambo ya IMANI yanahitaji uvumilivu na kuchukuliana.
 
Mkuu definition ya imani.
Ni kuwa na uhakika wa jambo bila kuwa na ushahidi.
Na ukumbuke yeye uliyemuuliza atakwambia ni swala la kiimani, na hivyo hawezi kukupa jibu, na wewe hutoweza kumpa jibu. Mtabaki tu kwenye never ending arguments.

Ukimweka atheist, Muslim, na Christian kwenye hoja man to man, down the line wataishia kupigana ngumi kama hawana uvumilivu.

Kwenye imani logic ni out of context.

Ndo maana now days ma-atheist ni wengi sana.
 
Ndugu yangu umeelewa mada?
Mada ni kama kuna mantiki ya kuendelea na utaratibu wa mkatoliki kutubu mbele ya Padri wakati mapadri wengi wana sifa mbaya, wasiotunza siri nk
Mada nimeipata nimeandika kwa wale ambao wameongelea mengine nje ya mada hii
Binafsi kutubu mbele ya padri mwisho ilikuwa kwenye sakramenti ya kipaimara sijawahi rudia mpaka kesho
 
Obviously ume-panic!!!

Hii ni mara ya tatu kama siyo ya pili kuni-quote kwa post hii hii moja Ila unisamehe mimi kwa kukupa wakati mgumu kupita uwezo wako,kingine unajieleza sana mzee hii siyo dalili nzuri humu kwenye post yako umezungumza habari za vocha sijui hujajiunga JF mara hujaniomba hata cent blah blah blahs humu sote tupo kuelimishana na kueleweshana vizuri tukiwa tunaandika ukweli maana maandishi tunayoandika hapa yatabaki vizazi na vizazi.

NB;Humo kwenye bold,hata mimi nilikuwa na uwezo wa kuandika hivyo hivyo lakini nimekusamehe tunatofautiana uelewa may be challenges kwako unazichukulia ni matusi???sijui!
 
Umungu wa kujifanya watakatifu nina uhakika watakuwa mfano shetani atakuwa anaamrisha majeshi yake

Mgeuze tumchome na tackle
 
Wayahudi hawaamini yesu atakuja,wanamchukulia Kama mvurugaji,mtoto wa zinaa,wao wanamsubiri masihi wao
 
Anayesamehe dhambi ni Mungu kazi ya Padre ni kuwa shahidi na kusimama kama muongozaji tu that's why ukishamaliza anakwambia nenda kasali sala moja mbili tatu the rest yanabaki kwa Mungu mwenyewe.
Si huwa anakujibu pale umesamehewa..so kawasiliana na mungu au yeye ndiyo kasamehe
 
Clear proof ni nini!?
 
Wakatoliki unaweza ukawaponda weweeeee tukabaki tunakuangalia

Hatunaga shida na mtu.

Siwezi nikajiita mlokole halafu baadaye nakunywa pombe kwa kujificha.

Tumsifu Yesu Kristo
Milele Amina.

Msingi na wazo la mtoa hoja ni mtu aliyetazamia upande hasi,kuungama kwa padre Wakatoliki wenyewe hawana shida na shida iko kwa mkatoliki labda ambaye hajaelewa vizuri katekisimu yake ila kwa anayeelewa kuwa kitubio ni nini na kwanini hawezi patwa na ukakasi huo labda hilo ni maoni yake huyo na mawazo yake na jua ya kutenda yaliyo maovu sio Katoliki tu Sema jamii imekuwa ikiwa na mtazamo ambao hauna malengo yakukomesha ulawiti ama unyanyasaji wa watoto unaotoka kwa viongozi wa imani,ikitokea padre kulawiti basi imani nyingine wanafuraha nalo na ikijatokea mlokole kafanya baya basi na imani na madhehebu mengine watafurahi hilo na hivyo ni mwendelezo kwa kila imani.
 
mara hujaniomba hata cent blah blah blahs humu sote tupo kuelimishana na kueleweshana vizuri tukiwa tunaandika ukweli maana maandishi tunayoandika hapa yatabaki vizazi na vizazi.
Acha kujifanya kwamba wewe ndio unaejua sana unazidi kujipaka kinyesi unajichafua mwenyewe, narudia tena nyinyi mnaojifanya mnalipamba kanisa mkiwa nje nyinyi nyinyi ndio wa kwanza kulichafua kanisa mnapokua ndani tena mnalichafua vibaya, ndani ya kanisa kuna machafu mengi yanafanyika ila wapo wanaofunika na kuacha maisha mengine yaendelee ila kila mtu akiamua kusema yatasemwa mengi

Na hakuna nilipopanic ila wewe unajiona na unajifanya kana kwamba kila kitu unakijua yaan unachukulia km wengine hakuna wanachokijua mazwazwa tu, unakosea mkuu tena unakosea pakubwa
 
Mada nimeipata nimeandika kwa wale ambao wameongelea mengine nje ya mada hii
Binafsi kutubu mbele ya padri mwisho ilikuwa kwenye sakramenti ya kipaimara sijawahi rudia mpaka kesho
Bado ukipeleka hoja yako kwenye context pana lina-fit.

Imani haiambatani na Logic hata kidogo. And this is fact.

Ukiweka logic kwenye imani utakuwa atheist in seconds.

Kanisa katoliki au waislamu wanaamini katika misingi yao ya kiimani, na katika kanisa katoliki as far as I know wanaamini katika kuungama kwa dhambi. Hii ni sehemu ya imani yao.

A point of contention ni padre, ok, tumweke huyo padre ambaye anashiriki kwenye hiyo process ya kitubio out of the equation, na tu-deal na Mungu mwenyewe.

Atheist atakuja na kuuliza, inakuwaje kama muumini unaomba uondolewe dhambi na Mungu ambaye hata sura yake huijui, na hajawahi onekana na binadamu yoyote, na hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa yupo? From a logical point of view atakuwa very correct, lakini ukienda kwenye hoja ya kiimani anaweza asiwe sahihi sana.

Watu wote wanaoamini katika Mungu kama wakatoliki watatetea uwepo wa Mungu kama swala la kiimani, na wakishasema ni swala la kiimani huwezi pata a logical answer, Never.

With regard to this question, wakatoliki watasema kuungama kupitia padre ni swala la imani yao, na wakiingia katika imani, manake hakuna logical answer.
 
Kitabu kila mwaka linakuja tolea jipya kama vitabu vya TIE halafu mnasema kimetoka kwa bwana kazi kweli kweli
 
Wayahudi hawaamini yesu atakuja,wanamchukulia Kama mvurugaji,mtoto wa zinaa,wao wanamsubiri masihi wao
Ndo maana nikasema haya mambo watu wanabishania wakidhani ni maraisi sana, lakini ni mapana na mazito sana.
 
Kuna kitu ulipitishiwa ukaona hata sintoweza kulimudu acha nitulie umefanya vyema mno
 
Clear proof ni nini!?

(Entry 1 of 3) 1a : the cogency of evidence that compels acceptance by the mind of a truth or a fact. b : the process or an instance of establishing the validity of a statement especially by derivation from other statements in accordance with principles of reasoning. 2 obsolete : experience
 
Kama wewe ni mkatoliki na unauliza hilo swali basi nadhani unatakiwa kurudi mafundisho uanze kusoma katekismo. Hatutubu kwa padre Bali kwa Mungu na padre pale yupo kama shahidi na anatoa maelekezo ya malipizi kama alivyoambiwa mtume Petro kwamba atakalolifunga duniani na mbinguni limefungwa na atakalolifungua duniani mbinguni limefunguliwa.Umuhimu wa Padre unabaki palepale.Uchafu au skendo za baadhi yao hauondoi uhalali na umuhimu wao katika kutoa sakrament ya upatanisho. Kama ni hivyo basi hata kwenye kufungisha ndoa wasiwepo! Maana ni baina yenu wawili, au kwenye maazishi au shughuli zingine za kiroho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…