HATARI: Zama za Wakatoliki kuendelea kutubu mbele ya Padri zimepitwa na wakati

Niliona nini? Hio ni Siri yangu..

Mpaka hapa chochote utakachokiandika ukiwa umebanwa na watu utakuwa umejitungia ilibidi useme straight uliona nini na nini toka mwanzo na hapa sote hatujulikani tunatumia fake IDs ni nani angekujua?
Huyu amekuja kuichafua dini na kanisa la roman Catholic
 
Hata hivyo utaratibu huo haukuwepo Kibiblia! Utaratibu huo ulifanywa ili kukamata waharifu wakati wa Utawala wa Kirumi! Pili ni utaratibu wa kumfanya mwenye dhambi afichiwe dhambi
Aise hongera kwa kutoka kwenye tundu la Simba!
 
Kwanza tunakosea kusema mapadre,wangapi wamethibitika kufanya huu ujinga huu kwa mwaka huu?zipo sheria za Kanisa kudili na hao wenye mapungufu na zaidi zipo sheria zilizotungwa na viongozi wa serikali tunaoamini wamewekwa na Mungu hivyo ikithibitika padre amevunja moja wapo wa nguzo za Kanisa au jamii haraka sana anasimamishwa kufanya chochote kinachohusu Kanisa(refer tukio la Moshi) na waumini wanajua hivyo.

Hakuna wakati ambao binadamu ameweza kuuthibitisha wema wa binadamu mwenzake hata zamani walikuwa vivyo hivyo nafsi ya mtu kama ni chafu itakuwa hivyo muda ukifika so kwa wakati wao waliokuwepo waliona madhaifu haya,bado nafsi ya mtu inabaki kuwa nafsi ya mtu muhimu ni mimi kama muumini kutojihusisha na kuhukumu kitu ambacho sijaona akikifanya unless iwe hadharani kama hivi kwamba imethibitika kwa mamlaka zote za Kanisa na serikali kwamba ametenda uovu.

Mambo ya kiimani hayana ”wakati huu au wakati ule”Zama za mababu wa imani walikuwepo watu waliojulikana ni watenda maovu refer Yonah kupewa kazi na Mungu na kukataa katakata Daud kuwa mfalme na kuonekana maovu yake ktk ya ufalme wake kiasi cha kufikia kudhulumu maisha ya askari wake mtiifu kisa kumtamani mkewe lakini bado Mungu aliwatumia so ni kusema bado wapo mapadre hata kama wataanguka ktk maovu (mara nyingi kwa siri maana mpaka kuyajua haya ni Mungu tu aamue kuujulisha umma maovu yake) bado Mungu atawatumia kadiri itakavyompendeza.
 
Ngoja basi kwanza aisee we jamaa m'bishi!!!

Au ndugu yangu we Muha?🤣
 
Umbile lako linatosha kuwa clear proof
 
Ndo maana nikasema haya mambo watu wanabishania wakidhani ni maraisi sana, lakini ni mapana na mazito sana.
Ulimtaja yesu na wayahudi..wayahudi hawatambui chochote kuhusu yesu,ndiyo maana walihakikisha anatundikwa msalabani
 
Si huwa anakujibu pale umesamehewa..so kawasiliana na mungu au yeye ndiyo kasamehe
Husema “umesamehewa dhambi zako " hii inasimama kumaanisha kwamba kupitia yeye (wakati huo huinua mkono kama kukubariki) Mungu amenena na wewe muumini na amepokea toba yako na Padre hukwambia nenda kasali sala fulani ili kujitakasa,haya ni mambo ya kiimani sheikh watu tunajua na tunazingatia.

Kama wewe pale imam anaposema "Tumswalie Mtume" kwani anakuwa amewasiliana na Mungu kwamba Mungu ajiandae kupokea sala za waumini fulani muda huu wanataka kumswalia mtume?
 
Haya mambo ukifikiria sana kichwa kinaweza pasuka
Binafsi nimesoma shule zinazoongozwa na katoliki wenyewe wanakuambia kabisa hizi imani zipo kila mtu na yake ila binadamu wote ni wamoja na tusiache hizi dini zitutenganishe
 
Martin Luther aliona mengi mpaka akaamua kutoka huko katoliki
 
Haya mambo ukifikiria sana kichwa kinaweza pasuka
Binafsi nimesoma shule zinazoongozwa na katoliki wenyewe wanakuambia kabisa hizi imani zipo kila mtu na yake ila binadamu wote ni wamoja na tusiache hizi dini zitutenganishe
Wakatoliki to a greater extent wanaweza kwa sababu ni very practicle.

Changamoto kubwa ya Romans kutoka makanisa mengine ni kuamini kwao kwamba IMANI lazima iendane na KAZI, "SALA na KAZI".

Huu mwenendo wao unawafanya waonekane na wengine kama watu wasiokuwa na imani.

Wengine wanaamini katika miujiza, lakini wakatoliki wanafundishwa usipofanya KAZI utalala njaa. Kilochowasaidia ROMANS ni ELIMU.

Hata ukiwasikia mashekhe wanawasifia kwenye hilo.
 
Nakuwa na uhakika kabisa nimesamehewa dhambi zangu nilizoungama, ndio maana natamka kwa kujiamini kabisa niliungama nikatimiza malipizi, na hamna sentensi inayonifariji kama, kwa mamlaka niliyopewa nami nakuondolea dhambi zako kwa jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu
 
Naomba kueleweshwa inamaana unapoenda kumwambia zambi zako padre huwa unataka yeye ndio akuombee kwa mumbu usamehewe au yeye ndio anasamehe hayo maovu uliyofanya.???? Na je haya ni mafundisho kutoka kwa nani???
 
Tafuta pesa acha kuingilia imani za watu hakuna hata mmoja mwenye uhakika dini ipi sahihi.Hata wao ni binadamu wana mapungufu yao
 
Hata kwa sisi upande wa waislam tumepiteza imani kwa Masheikh na viongozi wetu wa dini.. Asilimia kubwa ni washenz na wanaongoza kwa ushenzi na wanaficha maovu yao kwenye dini.. Kila siku unasikia cases za walimu wa madrasa kuwalawiti wanafunzi wao haijalishi jinsia
 

kwani kutubu ni kumuabudu binadamu tena[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]....ukiwa na philosophy, psychology, bible knowledge, na vingine itakusaidia sana kujudge hivi vitu..ila kama una engineering itakupa shida
 
Maelezo yako ni illogical..hayana mantiki,na mfano wa kumswalia mtume ndiyo umedhihirisha upopoma...umeshasamehewa naye hawasiliani na mungu Kama wote tulivyo na hakika,maana yake yeye ndiye anayesamehe dhambi
 

[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787] kwa haya mawazo yako sizani kama huo utoto ulishatoka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…