Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Apo ndio weegi tunafeli.
Binafs ukishakua ex, kila kilichochako nafuta.

No need for more communication, hata urafiki wa kawaida sitakagi.

Tuishi tu ivyo ivyo BUYU BAYA kila mtu na hamsini zake.
Sasa mtu kakuacha, eti unashindwa kuendelea na maisha yako, unajaza tu uchungu unasubiri siku ajichanganye ukamkomeshe kwa kulala naye. Mtu kakuomba mwenyewe ulale naye, huko kumkomesha ndiyo unafanyaje hadi awe amekomesheka, labda uniambia unamkata mbususu; otherwise kulala naye ni kumpa tu starehe ambayo yeye mwenyewe ameitaka. Sasa sijui ukitoka hapo, ndiyo unatembea kifua mbeleeee umemkomesha teh. Uchungu huwa unakumaliza wewe mwenyewe kwanza kabla ya huyo aliyekusababishia.
 
Wengine hatupendagi ligi. Tukichoka tunasepa tu. As long as hudaiwi cha mtu baasi... maisha yanasonga..

Nachofurahigi ni wanaume kulalamika kupata wake wema ila wakipata wanawanyanya wanaenda kwa slay queens na makalio makubwaaa... siye tupoooo endeleeni kutuita wasimbe eh[emoji23][emoji23] lakini cha moto munakiona huko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]usitusagie sana kunguni wanaume bhana, sio wote sista
 
Si tumeona kwa vigogo wengi tu? Yanawakutaga na wanaacha funzo ila wengine kimyaaaa... hamujifunzi...
Cha kujifunza kipo,
Mwanamke wa kwanza ndio mke, hawa wengine ni sarakasi tu kama yale ya mzee MENGI
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.

Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.

Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.

Sasa amepata mwanaume mwingine na amenidhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.

Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.

Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.

Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!

#Mwanamkemkwelinimamayakotuu

Mkuu hongera umepiga hatua moja mbele.
 
Speaking from experience... Wanasema love is blind

Dharau huwa zinaonekana mapema Sana, Ila wewe Kama mume unakua wa mwisho kuziona, baadhi ya wanaokupenda huwa wanaona lakini hawawezi kukuaambia because you will react to them

Tunachotakiwa kufanya Ni kujua mapema Aina ya wake zetu ili tusiwe surprised badae

Separation na divorce siku hizi sio Cha kushangaa tena, kwasababu maisha yamekua too open and th choices are too many

Tulia, tafuta chocho, uendelee na maisha

Inshallah utapata akufaaye
Jamaa kavuna alichopanda, fatilia post za nyuma utajua nini namaanisha
 
Your right japo nafasi hio sidhani kama unaweza kupata.

Ila jua sisi ni wakristo inapotokea mwenzako anasema ametoka nje ya ndoa sababu kutafuta faraja kwakua si mjali (kumtoa date) na yeye ana uhitaji mkubwa wa pesa or kwa sababu yeyote ile kutoka nje ya ndoa tunaamini si suluhisho.

Nilimwambia aande nyumbani kwao apumzike akasema hapana atapanga kumbe shida aendelee na hawara wake waishi pamoja kama sasa wanavyoishi
Mkuu naendelea kukupa hongera,umepiga hatua moja mbele.
 
Ex huwa ni ujinga sana. Yaan mtu amechagua maisha mapya amekudump halaf eti amekukumbuka eti. Na sababu kibaooo[emoji23][emoji706]

Siku akiwa ameshaharibu ndo ooh nilipitia changamoto nyingi sana blah blah. Kwamba ndo pumziko. Dhambj zingine za kuepuka tu. Stress zisitupelekee kufanya chaguzi zisizo sahihi asilani
Na wengi walivyo wajinga, basi ex akikusimulia changamoto alizopitia basi unajiona mwamba au cuteeee; kumbe mwenzio anatafuta tu pa kutolea genye zake tu au ana shida zake anakuingiza king umsaidie. Kama msamaha angekuja kukuomba while everything was still ok with him/her; sio msamaha fake kisa ameona ametingwa. Watu wajifunze ku-move on; ukiachwa achika
 
Yes. Its possible endapo jamaa huko akazingua. And obviously atazingua tu najua[emoji23][emoji23] sema sasa mke sasa hv anapata ukuni wa size XXXL itakuaje tena na raha ya gongo anaijua
Na mchepuko wa mkewe lazima tu azingue kwa maana katembea na mke wake lengo likiwa ni kumkomesha tu kumtia adabu wala sio mapenzi.

Kwaiyo nnaimani mwanamke yatamshinda na atarudi,
Ila somo jamaa atakua keshapata na akili itamkaa.
 
2016 huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706]
Kabisa,
Awamu nzima ya mwendazake jamaa anachepuka tu uko.

Hivi sijui akifka uko mbinguni atamjibu nini kiongozi wa malaika (JOKE[emoji2])
 
Yaani wanakuumbua kweupeee... ukweli ni tiba daima. Unatibu. Usiwe na makandolando yako ukajisahau. Teknolojia haijawahi kusahau
Shida watu huleta mada ku paint vibaya partner's wao badala wasemd ukweli wapewe ushauri uliotukuka wao hujifanya malaika
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaa daaaahh, natamani ulete shuhuda ya matukio uliyopigwaaaa...
Magum mno,
Wee acha tu hivi vifua vyetu vinahifadhi mengi mno.

Mengine siwez kuweka humu hadharani,

Mi niliumia mno,
Sema kwa sababu nilijingundua ndio msababishi wa sarakasi zote zile za ukaidi na kushupaza shingo kwa kigezo cha niko tayar kua na mwaamke yeyote nnaemtaka kwa gharama yoyote.

Aisee liliponikuta nilikua mpole na mdogo kama piritoni nikafyata mkia maisha yakaendelea.

Namsifu sana mama watoto wangu kwa uvumilivu wake.

Ukilinganisha mizani mimi ndio nilimuumiza zaidi maana nilikua TOO MUCH.

Yaani kuna vitu nilikua naweza nikamfanyia afu baadae pemben nafs ikanisuta kwanini nilimfanyie vile, Sema tu ulikua ujeuri na kiburi.

Kwa sasa nimejifunza, na tunaenda vizur mno.

She is the best lover of my life.

Mungu akupe maisha marefu mno Mke wangu, japokua hauko jf wala hujui jf ni kitu gani.
 
Sasa mtu kakuacha, eti unashindwa kuendelea na maisha yako, unajaza tu uchungu unasubiri siku ajichanganye ukamkomeshe kwa kulala naye. Mtu kakuomba mwenyewe ulale naye, huko kumkomesha ndiyo unafanyaje hadi awe amekomesheka, labda uniambia unamkata mbususu; otherwise kulala naye ni kumpa tu starehe ambayo yeye mwenyewe ameitaka. Sasa sijui ukitoka hapo, ndiyo unatembea kifua mbeleeee umemkomesha teh. Uchungu huwa unakumaliza wewe mwenyewe kwanza kabla ya huyo aliyekusababishia.
Kumrudia ex
Ni kwenda tu kujisombea mikosi na mabalaa kwenye maisha yako.
 
How sweet. Mungu awatunze, na usirudie tena ukaidi.[emoji38][emoji38]
Magum mno,
Wee acha tu hivi vifua vyetu vinahifadhi mengi mno.

Mengine siwez kuweka humu hadharani,

Mi niliumia mno,
Sema kwa sababu nilijingundua ndio msababishi wa sarakasi zote zile za ukaidi na kushupaza shingo kwa kigezo cha niko tayar kua na mwaamke yeyote nnaemtaka kwa gharama yoyote.

Aisee liliponikuta nilikua mpole na mdogo kama piritoni nikafyata mkia maisha yakaendelea.

Namsifu sana mama watoto wangu kwa uvumilivu wake.

Ukilinganisha mizani mimi ndio nilimuumiza zaidi maana nilikua TOO MUCH.

Yaani kuna vitu nilikua naweza nikamfanyia afu baadae pemben nafs ikanisuta kwanini nilimfanyie vile, Sema tu ulikua ujeuri na kiburi.

Kwa sasa nimejifunza, na tunaenda vizur mno.

She is the best lover of my life.

Mungu akupe maisha marefu mno Mke wangu, japokua hauko jf wala hujui jf ni kitu gani.
 
Back
Top Bottom