Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Sasa wwe mwenzako mwanzo mwisho kaandika Kiswahili,wwe unamjibu na kiswanglishi, au ndiyo unataka kututisha sisi tulio soma shule za Kayumba!?

Oyaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nani yupo na watoto
 
Dah nahisi ungevumilia tu sababu ya watoto nawe uonyeshe hujali mapenzi yake angerudi wakati nawe huna haja naye
 
Hahahah mzee kakupanga vizuri, ukiwa na hela ukimpora mtu demu wake jua ipo siku utafulia na mwanamke huyo atarudi kwa mumewe utalia kinoma[emoji28][emoji28][emoji28]

Daahh nimecheka kinoma[emoji23][emoji23][emoji23]ko ndo kusema demu karudi kwa mmewe ndio maana jamaa analia humu muda huu[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Tafuta hela, pesa na money uwe nazo kwa ukaribuuuuu kabisa... achana na kitu kinaitwa mwanamke mkuu
 
Huyu hajui ndoa yaweza kuvunjika Hadi uzeeni mwache ajishaue tu, Kuna ndoa ya mke 65 na 75 mume imevunjika na talaka juu
Anajitoa tuu ufahamu. Hivi huwa wanaune ndo walivyoumbwa ama tatizo ni nn. Mbona huwa hawatakagi jiona na makosa yao
 
Daahh nimecheka kinoma[emoji23][emoji23][emoji23]ko ndo kusema demu karudi kwa mmewe ndio maana jamaa analia humu muda huu[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
Eeh jamaa analia kichizi na hamna kitu atafanya😂😂😂
 
Pole,kuteleza si kuanguka,piga moyo konde na uanze upya,mola atakufungulia njia ya mafanikio na hutaamini
 
Kaka usimsifu sana mkeo shetani anakusikiliza vizuri tu, siombi ulete uzi kuwa tulikuwa tunatunza ATM pamoja, KUMBUKA MWANAMKE ALIPATA UJASIRI WA KUONGEA NA NYOKA LIVE PALE BUSTANI YA EDEN. Mwombe Mungu shetani asikumbuke faili la ndoa yenu.
naishia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…