Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Eeh jamaa analia kichizi na hamna kitu atafanya😂😂😂
Weee mi nalilia watoto tuu mzee kuhusu mapenzi mke wangu hakuwa wakwanza so sasa ni kuchapa ile inapita mbele yangu freely
 
@financial services nikuambie tu mama kua...
Huwezi kuigiza unanjaa wakati umeshiba,na huwez kuigiza umeshiba wakati unanjaa
Kuna wakati unajisahau unarud kwenye hari yako harisi
Leo hi utasema atapata mtu mwingine atakae kubali hali zote
Ila kumbuka haya unasema leo!
Mambo haya hayana format
Muhimu kuishi tu
Kweli mwanamke akishajua raha shida hawezi kuzihimili
 
Yaan usome kwa utulivu kabisaa mkuu. Wanaume muache kuplay victims. Majority huwa hamsemagi ukweli juu ya mambo yenu ni kurusha lawama tu kwa wenza wenu. Jamaa aliketa mpk nyuzi humu za ubaharia wa jinsi ya kutumia bamia lake... anapiga za kibaba paroko kama mwijaku[emoji23][emoji23]
Huyu ni Mimi au mwingine??🤣🤣
 
mkuu kama nilivyosema siwezi judge kabla ya kusikia toka both sides, you never know hata huyu muleta mada alisafumaniwa na huyu ex wake, au huyu ex alikuwa na usahidi tosa huyu muleta mada alikuwa na mchepuko, mambo ni mengi sana mkuu, dont beleive eveything one says
Hizi habari mnachanganya bana Mimi sijawahi kufamaniwa na mke wangu since nimemuoa.
 
Wanaume tumtafute sana Mungu atupe wake wema,hela hata Bill Gates sio tu anatafuta ila anazo lakini mwisho wa siku...
Aisey umeongea point saana.... Ila hii mambo ya women right ndio yanatuleta huku
 
Unajua matatizo yakianza huwa yanaongozana, hata uwe na vyanzo vingi vya mapato, likianza hili huwa linakuja lile mpka unajikuta juu ya mawe.

Kikubwa nadhani toka mwanzo uhusiano unapaswa kujengwa katka misingi ya upendo na kuvumiliana.

Mi ndo maana huwa namuogopa sana mwanamke ambaye ukimwambia hali yako sio nzur na usimpe hela basi ananuna na zile baby sijui my zinakauka, huwa nawaza huyu hapa hata sijamuoa, akiingia ndani je!?

Mimi nina kaka angu alikuwa njema sana, ana kazi, biashara, nyumba ya kupangisha etc. Majanga yake yalianza kwa kupata ajari, gar ikafa akakaa hospital 6 months, amepona kaz akapunguzwa, mke akamkimbia tena aliyezaa naye watoto wawili, akaanza kuuza kitu kimoja baada ya kingine, biashara zote zikafa.

Leo miaka 8 imepita jamaa hataki kabisa kusikia habari ya kuoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake sio kabisa
 
Huu si ushauri mzuri. Au umesahau analea watoto na pengine kuna ndugu wanamtegemea?
Muda utafika atakuja ona ni kawaida huku maisha yakisonga vizuri na pis zingine kali kuliko huyo kibibi aliyevunja ndoa yake. Na hizo msg ukute ni mwanamke mwenyewe anazituma kupitia sim ya jamaa.

View attachment 1827166
Io picha huyo demu kama mke wangu..... Hawa wanawake wenye mishepu suo kabisa
 
Usichukie mbunye wewe tafuta chombo cha kuanza kukilipua kitandani utaomboleza hadi lini? Chapa kazi sana, tafuta pesa kama ulivosema huku unamtu wa kulipua mara moja moja
Hapa najipiga speed governor tuu ila najihisi narudia ujanani mzee
 
Nina rafiki yangu wa karibu, sio kuhadithiwa ni kushuhudia, alifanyiwa vituko hivo vya kufanya tendo la ndoa mpaka siku za hedhi kwa miezi 8 mfululizo. Siku walipoachana yule mwanamke akamtumia kipimo chake alichopima miezi 8 nyuma cha HIV kikisoma ameathirika pamoja na tarehe. Na akamuambia hakuanza dose za ARV kwa makusudi ili amgawie na yeye hayo maradhi.

Jamaa alichanganyikiwa akawa anaongea peke yake, ndugu na marafiki ilibidi tusaidiane kumpeleka kwa daktari wa saikolojia akatibiwe. Dokta alifanikiwa kumshawishi apime ili ajitambue kama ni muathirika aanze kutumia dawa, baada ya kupima kipimo kilitoka HIV NEGATIVE. Baada ya mwezi mmoja akapima tena akakutwa HIV NEGATIVE. Baada ya miezi mitatu akapimwa tena akakutwa HIV NEGATIVE.

Na yeye akamtumia vipimo vyote yule aliekua mke wake, haikupita miezi mitatu yule mwanamke alikonda na kuwa kama mdoli.

#Mungu yupo, halali wala hapumziki, na anawalinda waja wake kwa njama mbaya.
Duuuh kweli Mungu anaweza💪
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.

Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.

Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.

Sasa amepata mwanaume mwingine na amenidhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.

Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.

Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.

Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!

#Mwanamkemkwelinimamayakotuu

Hela hapana sio dhamani yenu mbona vunja bei kaachwa na hamisa .
Huyo mtu kakuchoka mbona hata mimi huyu jamaa ni mchafu kwa hela naninataka nimuache ila nikikumbuka watoto ni wadogo nitawacha bila haki yakuwa nababa yao basi na baki tu.
Napiga tungi kabla sijalala tu ndio suluhisho la moyo .
Wanaume mnafanana wote maskini na matajiri huyo mkeo kimeo kweli anaenda tena kwa unguza kichwa mwingine badala ya kukaa peke yake .
 
Pole kwa yaliyokukuta mkuu! Huna budi kukubaliana nayo na kujipa muda siku utampata mama mwingine bora mtakayewalea watoto wenu pamoja kwa upendo, kuhusu pesa nadhani kuna wanawake wanaweza vumilia waume zao na kuwaombea Mungu aruhusu baraka za kipato ktk familia, si wote wanaonuna na dharau eti sababu mume amefulia.

Pia tujitahidi kuwa na vyanzo vingi vya mapato ili ukikosa huku unapata sehemu nyingine maisha yanaendelea. Itasaidia kuepusha kisirani
Ukitaka kusikia kuuwa watoto haraka bila kuhangaika ni mama wakamboo hao mashetani waaina yake.
Washenzi sana awapeleke kwa mama yake wakalelewe arudi kutafuta hela lazima apate demu wakupunguza stress
 
Back
Top Bottom