Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Kwahiyo akitokea mwanamke akakutunuku mbunye wakati huu utaiacha? Au utapiga hivo hivo? Maisha yaendelee wanaume hatuchukii mademu wewe tafuta mwingine anza kula mtunyenye ujiliwaze ukiwawaza sana wanawake utapoteza muda wako mwisho ufe mapema
Unaachaje mzee??? Kikubwa kugandana ndo sitaki.
 
Hela hapana sio dhamani yenu mbona vunja bei kaachwa na hamisa .
Huyo mtu kakuchoka mbona hata mimi huyu jamaa ni mchafu kwa hela naninataka nimuache ila nikikumbuka watoto ni wadogo nitawacha bila haki yakuwa nababa yao basi na baki tu.
Napiga tungi kabla sijalala tu ndio suluhisho la moyo .
Wanaume mnafanana wote maskini na matajiri huyo mkeo kimeo kweli anaenda tena kwa unguza kichwa mwingine badala ya kukaa peke yake .
Huyu mwanamke ana hasira za mkisi kujiingiza kwenye mtego..... Sasa ndo hajielewi kabisa
 
Duuhh, Nakumbuka nililiaga kisa kuachwa aisee Huwa nachekaga sana nikikumbuka

Sasa hivi, huwa naangalia tu,
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.

Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.

Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.

Sasa amepata mwanaume mwingine na amenidhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.

Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.

Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.

Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!

#Mwanamkemkwelinimamayakotuu

nimesikitika sana sio kwa kuwa umeachwa na mke laaa.. ni kwa sababu bado hujajifunza..
.
bado unamini pesa ndio kila kitu kwenye ndoa..

.
pesa huja na huisha lakn mapenzi ya bila pesa hudumu milele..
nakushauri wakti huu ukiwa huna kitu ndio wakat wa kutafuta mwenza wa maisha.. atakaye kukubali kwa dhiki ulizonazo ndio mwenye upendo wa kweli na wewe.. la sivyo utakuja kufungua uzi mwingine siku zijazo...
 
Hahaaaa idelete bana sista[emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu wakati naandika nilikuwazia, ila nikajipa moyo huwezi ona coz sijaona comments yako humu, kumbe unazoom kimya kimya tu!!
Hapana, naituma kwa Mrs Nshomile
 
Allah yu pamoja na wenye kusubiri, kua na subra, Muombe Mungu na lea wanao kwa mapenzi mazito hao ndio ndugu na jamaa zako, huyo mtu mzima achana nae aibu yamjia
 
Hahahahahah huyo dem ni devil aisee! Yani kanunua uwanja mumewe hajui aisee? Mi lazma ningemchapa kwenye ujenzi hapo mamaye [emoji28] [emoji28][emoji28] si aliniacha kiboya namie nampiga tu mifuko ya simenti.. sema kanaonekana kanakumiss sana hako ka mmbwa, endelea kukapa adhabu za kiakili manina
Kuna manz kanunua ist mpya mumew hajui,kanunua kiwanja mumewe hajui,ana boda boda 2 mumew hajui ila mm najua Kila kitu nili mbikiri mwenyewe ana niambia yupo radhi aachike aje awe mke wa pili kwangu Mana tulipotezana muda hakuwa na jinsi kuolewa na jamaa huyo japo haikuwa malengo yake
 

Unafanyeje kurejesha mapenzi katika ndoa yako?
 

Unafanyeje kurejesha mapenzi katika ndoa yako?
 
Niliwahi andika uzi kuhusu umhimu wa kuoa na radha ya ndoa. Mkuu we moja ya watu mlioni crush sana kuhusu mtizamo wangu juu ya NDOA. Ila naamini hukujua yapi yanakuja siku za usoni.
Polee sana Mkuu, ilipo changamoto Ipo Faraja pia. Mie nakuombea kwa Mungu Faraja na Nguvu uyapokee yaliyokukuta na usonge mbele.
 
nimesikitika sana sio kwa kuwa umeachwa na mke laaa.. ni kwa sababu bado hujajifunza..
.
bado unamini pesa ndio kila kitu kwenye ndoa..

.
pesa huja na huisha lakn mapenzi ya bila pesa hudumu milele..
nakushauri wakti huu ukiwa huna kitu ndio wakat wa kutafuta mwenza wa maisha.. atakaye kukubali kwa dhiki ulizonazo ndio mwenye upendo wa kweli na wewe.. la sivyo utakuja kufungua uzi mwingine siku zijazo...
Huyu tulianza maisha tukiwa tunalala chini mpaka kufikia hatu ya kulala ghorofani Kisha nikafulia... Kwa hivyo swala la kupata mwenza katika umaskini sio kigezo cha kudumu nae shida ikurudi tena.
 
Back
Top Bottom