Sahihi 100%Hahahah mzee unapozungumzia kutafta mbususu hamna ambaye hatafuti ila huwezi weka malaya ndani sababu ya kukidhi fantasies zako! Mie sihitaji watoto wakose mama mwenye akili timamu [emoji28][emoji28][emoji28]! Kama hujafikiria kuoa uko sahihi mzee...
Kuna wanawake wa kuoa na malaya wa kuchezea..Learn the differences!!!
Pole Sana mkuu,Hapana usioe kwa tamaa Mimi nilio shepu kumbe kichwani box tupu
Mimi pia nisingemuacha aseee ningemtikita vilivyo kisha natembeaDah huyo dem atakuja akupe K tu siku moja [emoji23] na utaila ni swala la muda tu! Hayo mazungumzo hayataisha kirahisi ila mie ningemtafuna na kumpotezea! Staki mazoea na msenge
Lakini ni hali halisi ya mabadiliko ya maendeleo ya binadamu. Kuna baadhi ya nchi ukizungumzia suala la ndoa watu wanakushangaa wanakuona kama una mambo ya kizamani / kishamba, wao wanachojali ni kupata watoto na kuwalea katika mfumo ambao baba na mama kila mmoja ana maisha yake binafsi hakuna kufuatiliana.Yani ni ngumu sana hii hali imepelekea uoga sana wa watu kuoa aisee! Maana mtu unatamani uoe ila kipato hafifu unaona ntaenda kuteswa tu na huyu mwanamke!
Kuna mama huku anamloga mwanawe huku wa kumzaa mwenyewe,na huyu naye ni mwanamke wa kweli?[emoji1787] ndio unajua leo kama mwanamke wa kweli ni mama yako tu
Mkuu anaonekana hana kinyaa kabisa, maana zile damu zinakuga na harufu kali sana!!Ukawa unazagamua damu zinamwagika wewe noma Mkuu
Hahahahahah huyo dem ni devil aisee! Yani kanunua uwanja mumewe hajui aisee? Mi lazma ningemchapa kwenye ujenzi hapo mamaye [emoji28] [emoji28][emoji28] si aliniacha kiboya namie nampiga tu mifuko ya simenti.. sema kanaonekana kanakumiss sana hako ka mmbwa, endelea kukapa adhabu za kiakili manina
Safi huo ndiyo uanaume msimamo, asije kukupa magonjwa bure tena atulie na mumeweHahahha..mim nikimla ,,mim ndo nakua looser....ila nikimtesa hiv anajua..yaan dah hili jamaa linaniona mim takataka tu...yaan mim nataka ateseke kama alivyonitesa mim.....kuna siku ananambia amenunua kiwanja kisiri mmewake hajui...anataka nimsaidie ujenzi..yaan nimsimamie ujenz...nikawaza nkasema huyu bwege nimpige pesa niin had ajute..ila roho yangu ikagoma sabab siko hivyo.....ila kiukwel had mwenyew ana admit kua namtesa sana..hahahah.mim nacheka tu kimoyo moyo
Hao watakuwa wazungu tu hao,ndio wenye mambo ya kipumbavu duniani hapa,hao ndio wanaopeperusha 'rainbow flag'Lakini ni hali halisi ya mabadiliko ya maendeleo ya binadamu. Kuna baadhi ya nchi ukizungumzia suala la ndoa watu wanakushangaa wanakuona kama una mambo ya kizamani / kishamba, wao wanachojali ni kupata watoto na kuwalea katika mfumo ambao baba na mama kila mmoja ana maisha yake binafsi hakuna kufuatiliana.
Mbona Billgate ana vyanzo vingi vya mapato na bado ndoa yake imevunjika!? Au umesahau ule usemi wa "More money More problem'!!Point to note!! Tujitaid kuwa na vyanzo ving vya mapato
Ndo ashakuwa single father hivyo mhurumieniPole sana mkuu
Duh mkuu , ila kuna wanawake ni wastaarabu na wavumilivu kuna mifano nnaijua dada alimvumilia babe wake akiwa hana kitu huku yeye kidogo alikua amepata kazi nakwambia alikua anamsapoti babe wake hadi pale mambo yalipokaa sawa. So ni kweli kuna wasioweza kuvumilia msoto ila pia kuna wenye utu na wavumilivu. Ila huyo x wako mmh si kaolewa huyo wahy anatengeneza mazingira ya kupasha kipolo? Hizi ndoa hizi πͺWanawake hawanaga huruma jaman na mtu....labda mama yako tu...nakumbuka nilipomaliza chuo ile misoto ya mtaan..nikaachwa na mtu ambae tulidate for karibia 4 yrs ..pika pakua...kisa yeye alipata kaz mapema TRA...ila sasa toka hyo 2014...kaja kuolewa2021...nayeye kuachana kwetu alisema yeye anataka ndoa...hyo ndo changamoto yenu wadada..sio wavumiliv....sasa hiv kila kukicha anafatilia status zangu...mara kuniwish bday.mara anataka nikienda mkoa alipo tuonane.....kwa jinsi nilivyo jeur na ego kama zote...niliwai kutana nae mwaka jana hotelin mkoa aliko...halaf tukala chakula tu akiexpect tungepasha kiporo ila hakuamin jinsi nilivyomkwepa...mim nna kinyaa cha ajabu.yaan nilale nawew.halaf nijue umeenda lala na mtu mwingne..aisee..naweza tapika kabisa...labda kwa penz jipya
Ndo hvyo..huwa nawaza meng..yaan uskute huko kaukwaa ugonjwa anataka aje anipe mim...na amezaa na huyo jamaa..ana kitumbo flan cha chin..yaan inshort amechuja...yeye kila siku anataka nimtumie picha za mpenz wangu nilienae nasema wew usije niharibia pumbav kabisa...yaan nataka ateseke kwerikweriSafi huo ndiyo uanaume msimamo, asije kukupa magonjwa bure tena atulie na mumewe
Anamiss mkito.com huyo π π π kwa hii story ya dadaako umenishawishi asa ole wako we usiwe kama dadaako nakukimbia mapema tu staki stiressDuh mkuu , ila kuna wanawake ni wastaarabu na wavumilivu kuna mifano nnaijua dada alimvumilia babe wake akiwa hana kitu huku yeye kidogo alikua amepata kazi nakwambia alikua anamsapoti babe wake hadi pale mambo yalipokaa sawa. So ni kweli kuna wasioweza kuvumilia msoto ila pia kuna wenye utu na wavumilivu. Ila huyo x wako mmh si kaolewa huyo wahy anatengeneza mazingira ya kupasha kipolo? Hizi ndoa hizi πͺ
Kwa hapo nimeelewa point yako vizuri mzee baba! Nilikuwa nashindwa connectNdo hvyo..huwa nawaza meng..yaan uskute huko kaukwaa ugonjwa anataka aje anipe mim...na amezaa na huyo jamaa..ana kitumbo flan cha chin..yaan inshort amechuja...yeye kila siku anataka nimtumie picha za mpenz wangu nilienae nasema wew usije niharibia pumbav kabisa...yaan nataka ateseke kwerikweri
Oa kijana usiogope,dunia imeumbiwa changamoto mkuu.Daah umeandika kwa uchungu sana, pole mkuu Mungu atakupigania.Ndo maana naona kuna utashi fulani hivi kutokuoa .Muhimu uwe na watoto tu basi
Ata kama anacho..huyo mwanamke kwanini alimkubalia tokea siku ya kwanza?MH! SAMAHANI MKUU HAUNA KIBAMIA? MAANA HII NDO DAR BHNA..π³
Mkuu mpaka leo hujaoa?Anamiss mkito.com huyo π π π kwa hii story ya dadaako umenishawishi asa ole wako we usiwe kama dadaako nakukimbia mapema tu staki stiress