Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Nina rafiki yangu wa karibu, sio kuhadithiwa ni kushuhudia, alifanyiwa vituko hivo vya kufanya tendo la ndoa mpaka siku za hedhi kwa miezi 8 mfululizo. Siku walipoachana yule mwanamke akamtumia kipimo chake alichopima miezi 8 nyuma cha HIV kikisoma ameathirika pamoja na tarehe. Na akamuambia hakuanza dose za ARV kwa makusudi ili amgawie na yeye hayo maradhi.

Jamaa alichanganyikiwa akawa anaongea peke yake, ndugu na marafiki ilibidi tusaidiane kumpeleka kwa daktari wa saikolojia akatibiwe. Dokta alifanikiwa kumshawishi apime ili ajitambue kama ni muathirika aanze kutumia dawa, baada ya kupima kipimo kilitoka HIV NEGATIVE. Baada ya mwezi mmoja akapima tena akakutwa HIV NEGATIVE. Baada ya miezi mitatu akapimwa tena akakutwa HIV NEGATIVE.

Na yeye akamtumia vipimo vyote yule aliekua mke wake, haikupita miezi mitatu yule mwanamke alikonda na kuwa kama mdoli.

#Mungu yupo, halali wala hapumziki, na anawalinda waja wake kwa njama mbaya.
Duuuh!!!! Ukisikia Mungu si Athuman ndiyo hii Sasa. Hata jamaa yetu atakuwa Yuko salaama...
 
Kama ulikua hujui basi tambua kufunga ndoa kwa mwanaume sasa ni bonge la risk

Maana wanawake wengi kwa sasa hawana hisia za upendo na hata malezi yao ni mwendo wa kujazwa sumu juu ya wanaume mpaka wanapoolewa ndio maana huwezi kuta mwanamke anamsema positive mme wake in public

Kwa sababu wanaingia kwenye ndoa kama anaingia vitani sasa wewe unakuja kiamani lazima tu upigwe na akili zako za 90
sisi bachera huo mchezo tushausoma tangu zamani sana ndio maana tumequit ndoa

Yote kwa yote pole mkuu unachopitia ila zangati kwa sasa achana kusikiliza na kuangalia vitu vinavyohusiana na mapenzi ili ujiweke sawa kwanza
Kweli kabisa Mkuu....
 
Hapo kwa financially si kweli kwa kiasi chake. Ni matabia yenu mabovu ndo huwaangusha. Soma thread yote uone matukio jamaa aliyokua anampiga mkewe. Mnapendaga sana kujioa umalaika aisee. Ijapokua wanawake wazinguaji pia wapo
Ndoa ikivunjika, sababu kuu kwa zaidi ya 80% ni mwanamke. Mwanamke mwerevu kamwe hawezi kushindana na uanaume. Uanaume namaanisha, sio mwanaume. Uanaume tumezaliwa nao, upo ndani yetu.. shida ni kuwa, wanawake wengi wanaingia kwenye ndoa kwenda kupambana nao. Lazima ndoa iyumbe
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.

Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.

Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.

Sasa amepata mwanaume mwingine na amenidhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.

Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.

Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.

Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!

#Mwanamkemkwelinimamayakotuu

Ndoa Ndoano poleh Sanaa na hongera kwa Moyo wa kijasiri
 
Ndoa ikivunjika, sababu kuu kwa zaidi ya 80% ni mwanamke. Mwanamke mwerevu kamwe hawezi kushindana na uanaume. Uanaume namaanisha, sio mwanaume. Uanaume tumezaliwa nao, upo ndani yetu.. shida ni kuwa, wanawake wengi wanaingia kwenye ndoa kwenda kupambana nao. Lazima ndoa iyumbe
[emoji23][emoji23] akili za kivulana usipoachana nazo zitalugharimu. Wanaume wenzio wanakiri wewe umekaza. Ni huyu huyu mleta mada mwenzenu alikua analeta dharau ndoani pake mpk hali iliyofikia hivi sasa. And seemingly mkeo anateseka sana kama umeoa kwa akili na mawazo kama haya. Kujipa umalaika tu huwa hamjambo. Lawama ziende kwa wababa zetu kwa kutotimiza majukumu yao ndo matokeo yake kama hv
 
[emoji23][emoji23] akili za kivulana usipoachana nazo zitalugharimu. Wanaume wenzio wanakiri wewe umekaza. Ni huyu huyu mleta mada mwenzenu alikua analeta dharau ndoani pake mpk hali iliyofikia hivi sasa. And seemingly mkeo anateseka sana kama umeoa kwa akili na mawazo kama haya. Kujipa umalaika tu huwa hamjambo. Lawama ziende kwa wababa zetu kwa kutotimiza majukumu yao ndo matokeo yake kama hv
Nipo kwenye ndoa mwaka wa kumi huu, na wala sijayumba. Tunaishi kwa amani tu. Nasisitiza, ndoa kuvunjika kunachangiwa na mwanamke kwa zaidi ya 80%
 
Move on kaka kila kitu kwenye maisha amini huwa kinatokea kwa sababu maalumu pia
 
Nipo kwenye ndoa mwaka wa kumi huu, na wala sijayumba. Tunaishi kwa amani tu. Nasisitiza, ndoa kuvunjika kunachangiwa na mwanamke kwa zaidi ya 80%
Kama wewe uko matured na umekutana na matured woman be thankful. Kuwa ndoani miaka 10 si sababu kwamba sijui nini. Kwani hatuwaoni ndugu zetu ama?

Acha kutetea ujinga wa wavulana. Wanawake wnawavumilia miongo na miongo tu for the sake of their kids. Usijifananishe akili zako na wavulana. Bye
 
Kama wewe uko matured na umekutana na matured woman be thankful. Kuwa ndoani miaka 10 si sababu kwamba sijui nini. Kwani hatuwaoni ndugu zetu ama?

Acha kutetea ujinga wa wavulana. Wanawake wnawavumilia miongo na miongo tu for the sake of their kids. Usijifananishe akili zako na wavulana. Bye
Mfano huyu mwamba, ana kosa gani?! Yeye kufulia tu ndo atukanwe?
 
Kabisa,
mwanamke akikasirika anakua katili sana.

Na sio ajabu uyasemayo mke wa jamaa ana ujasiri wa ajabu.

Yaan kaamua agongewe pale pale jamaa aone imuume.
Moyo wa mwanamke umeumbwa na huruma sana ila shetani akipata nafasi moyoni mwake anakuwa kimbe katili sana hata kuuwa haoni shida kwake ndiyo maana maandiko yanasema linda sana moyo wako kulindo chochote ulindacho
 
Back
Top Bottom