cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] ndio unajua leo kama mwanamke wa kweli ni mama yako tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] ndio unajua leo kama mwanamke wa kweli ni mama yako tu
....Mkuu, kuna uwezekano pia kwamba hizo sms haandikiwi na huyo mwanaume bali anaandikiwa na huyo aliyekuwa mbwa wake ili kumrusha roho!Hebu kuwa mkali mkuu.....yaani hawara yake anapata wapi ujasili wa kukutumia sms mkubwa? Mbona hiyo dharau imezidi eti umeshindwa mtunza mke wako wewe umeshindwaje kumjibu kama umeshindwa so what?.......
Mungu amekujalia moyo wa upole sana nawewe naona ni mtaratibu sana mkuu, hizo mambo binafsi ningekuwa nimeishamtafuta huyo hawara wa wife kumuwek sawa na ningetafuta njia ya kuweka ubao wa matokeo sawa.
Ndo ashakuwa single father hivyo mhurumieni
....Na Wamezaa!! [emoji16]Ata kama anacho..huyo mwanamke kwanini alimkubalia tokea siku ya kwanza?
.. Umenena Neno, Mkuu [emoji120]Siku zote ukiwa huna pesa na ukapendwa na Mwanamke,Basi jua kabisa hilo penzi ni la kweli,na hata akikuletea Mimba wakati uko teeh,ujuwe kabisa hiyo Mimba ni ya kwako kweli! Pesa nayo siyo nzuri sana katika Maisha yetu, maana huweza kukuletea mke fake au marafiki fake! Watu wanataka hiyo pesa yako tu,lakini wwe wala hawakuwihitaji kabisa, ndiyo maana pesa ikikauka na wao hao wanakauka kwako!!
Asante sana Kaka tuko pamoja!!.. Umenena Neno, Mkuu [emoji120]
Wanabadilikaga hawa organism, kabla haujamuoa na ukimuoa ni watu wawili tofautiNitafeli kila kitu ila kwenye kitu kinaitwa mwanamke always Nita win ..
Nko Makin Sana linapokuja swala la Hawa viumbe ....!
Amesema chanzo ni kukosa pesa, mke akashindwa kuvumiliaMH! SAMAHANI MKUU HAUNA KIBAMIA? MAANA HII NDO DAR BHNA..😳Amese
Samahani dada, una mdogo wako wa kike aliye single? [emoji4][emoji4]Watakaopingana na UKWELI huu wapinge tuu ila ndo UKWELI.
Mwanamke akitoka nje ya ndoa yake a hafai kwa matumizi ya ndoa, kwa sababu mwanaume hutoka akiwa amezidiwa na tamaa na ataendelea kumpenda mkewe na kumhudumia vizuri, ila kwa Mwanamke ni tofauti kabisa akisha toka hawezi kumheshimu mumewe kama mwanzo.
UKWELI wa pili ni rahisi sana Mwanamke kujua kwamba mume wake alilala na Mwanamke akasamehe, ila ni kinyume chake kwa mwanaume, mwanaume akijua umelala na mwanaume mwingine hilo ni kosa lisilosameheka kamwe, hata kama aliwahi kutenda hivyo mara 10 na mkewe akamsamehe. Ndo UKWELI ambao Mwanamke akiukubali atakuwa na ndoa ya amani sana.
Mimi iliwahi kunitokea nikiwa nimejifungua mwanangu wa kwanza,nina dalili nilifuatilia nikasema nikiona jamaa amebadilika sitajali kuwa nafsi yangu huwa inajua huu UKWELI, nitamuwashia moto. Alivyohisi tuu nimejua alituma meseji moja tuu kwa yule mama kuwa Naomba huu mpango uishie hapa kwa sababu mke wangu hakuwahi kunikosea kitu.Akasahau kufuta,Mimi nikasoma nikafuta.
Sasa yule mama ndo akawasha moto na Kuanza kunipigia, mimi nilimuonea huruma kwa sababu sikujua amedanganywa nin, so nkalia kilio fake nikapelekwa shopping ya maana na msamaha juu lakini makosa yalikuwa yangu tangu nibebe mimba hadi najifungua alikuwa akisogea karibu namfukuza.Siumii kwa Hili tukio na nlisamehe kabisa na sijawahi kumkumbusha imeshapita miaka na sitamkumbusha. Ila ingekuwa ni upande wake asingeweza kunisamehe ni ningemuelewa. Huu UKWELI naujua na siwezi kuusema, nimeandika hapa ili mwenye kutaka kujua na aujue. Watakaobisha hapa wengi ni wanawake wenzangu.
UKWELI huu hauhusiani na mafundisho yoyote ya Dini au usawa wa kijinsia au haki za binadam wala sheria yoyote ya ndoa.
Pole sana
Pole sana, ndiyo maisha...
Dah.. ukitaka kumjua mke wako ishiwa pesa
....Mkuu, kuna uwezekano pia kwamba hizo sms haandikiwi na huyo mwanaume bali anaandikiwa na huyo aliyekuwa mbwa wake ili kumrusha roho!
Ni kweli kwamba kuna wanaume wajinga miongoni mwetu lakini kwa ujumla wengi wetu huwa hatufikii hapa pa kuwananga wanaume wenzetu eti kwa sababu tumewachukulia wake zao...ingawa kama nilivyosema, wajinga hawakosekani miongoni mwetu!!
...Kuwa single father sio swala la kuhitaji kuhurumiwa!
Wa kuhurumiwa ni hicho kijibwa kilichhondoka!
Kwa nini Uhurumiwe?
Wewe umebaki na maisha yake. Wewe ndio umebaki na watoto watoto wako. Yeye ndiye kila akilala ni lazima awakumbuke watoto wake ambao amewatosa bila kosa lolote ila kwa sababu tu baba yao sasa hana mbele wala nyuma!!
Mkuu ajitahidi tu asonge mbele na maisha yake na watoto wake tu. Hao ndio ndugu zake. Huyo kidampa atarudi tu....!!
Siku hizi wanawake ndo hawaeleki kabisaaaa, ukiwa maskini ni shida atadanga na mwishowe utapewa makavu mpaka unyooshe mikono, pia ukiwa tajiri napo shida kwamba eti upo biiize mda mwingi hadi huna mda nae kwa hiyo atasaka shamba-boy au msela tu mwenye mda wake wa kutuliza kiu yake... we fikiria eti mke wa Bill Gate na mke wa Tajiri la Amazon walidai talaka, sasa hapo fedha zina msaada gani kwenye ndoa..!!?