Threesome3
Member
- Jun 27, 2021
- 74
- 59
Wanabadilikaga hawa organism, kabla haujamuoa na ukimuoa ni watu wawili tofauti
Nakubaliana naww[emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanabadilikaga hawa organism, kabla haujamuoa na ukimuoa ni watu wawili tofauti
A
Amesema chanzo ni kukosa pesa, mke akashindwa kuvumilia
Baada ya makaburi kufukuliwa, hii mada itakua ni chai
Samahani dada, una mdogo wako wa kike aliye single? [emoji4][emoji4]
Hawataki shida...ila poa tu. Kinachotuumizaga ni mazoea na kuogopa kuanza mahusiano mapyaYaan cjui kwann eti[emoji51][emoji52]
Upo sahihi ila nilikuwa namaanisha(kiutani) hawa wadada wa humu wachangamkie fursa...Kuwa single father sio swala la kuhitaji kuhurumiwa!
Wa kuhurumiwa ni hicho kijibwa kilichhondoka!
Kwa nini Uhurumiwe?
Wewe umebaki na maisha yake. Wewe ndio umebaki na watoto watoto wako. Yeye ndiye kila akilala ni lazima awakumbuke watoto wake ambao amewatosa bila kosa lolote ila kwa sababu tu baba yao sasa hana mbele wala nyuma!!
Mkuu ajitahidi tu asonge mbele na maisha yake na watoto wake tu. Hao ndio ndugu zake. Huyo kidampa atarudi tu....!!
Hakika mkuu!Dah.. ukitaka kumjua mke wako ishiwa pesa
Nina rafiki yangu wa karibu, sio kuhadithiwa ni kushuhudia, alifanyiwa vituko hivo vya kufanya tendo la ndoa mpaka siku za hedhi kwa miezi 8 mfululizo. Siku walipoachana yule mwanamke akamtumia kipimo chake alichopima miezi 8 nyuma cha HIV kikisoma ameathirika pamoja na tarehe. Na akamuambia hakuanza dose za ARV kwa makusudi ili amgawie na yeye hayo maradhi.
Jamaa alichanganyikiwa akawa anaongea peke yake, ndugu na marafiki ilibidi tusaidiane kumpeleka kwa daktari wa saikolojia akatibiwe. Dokta alifanikiwa kumshawishi apime ili ajitambue kama ni muathirika aanze kutumia dawa, baada ya kupima kipimo kilitoka HIV NEGATIVE. Baada ya mwezi mmoja akapima tena akakutwa HIV NEGATIVE. Baada ya miezi mitatu akapimwa tena akakutwa HIV NEGATIVE.
Na yeye akamtumia vipimo vyote yule aliekua mke wake, haikupita miezi mitatu yule mwanamke alikonda na kuwa kama mdoli.
#Mungu yupo, halali wala hapumziki, na anawalinda waja wake kwa njama mbaya.
Dah hawa mbuzi kwahio wanatulia timming tu!
Hahah litakufa jituKilichoandikwa hapo ni ukweli
Hata mwanamke abishe vipi tupo very calculative
Ni hayo tu
Hii comment iwekewe fremu pale kwenye malango yote ya uwanja wa taifa isomwe na watu wote kila wanapoingia uwanjaniHapana usioe kwa tamaa Mimi nilio shepu kumbe kichwani box tupu
Hawataki shida...ila poa tu. Kinachotuumizaga ni mazoea na kuogopa kuanza mahusiano mapya
Na si wabongo bila kuchit tumekwisha
Ndo mana nataka nimrudie mke wanguUoga nao shida[emoji1][emoji1][emoji2][emoji23]nakubaliana naww
Sure!Hii comment iwekewe fremu pale kwenye malango yote ya uwanja wa taifa isomwe na watu wote kila wanapoingia uwanjani
Hii kitu inanitesa mnooHawataki shida...ila poa tu. Kinachotuumizaga ni mazoea na kuogopa kuanza mahusiano mapya
Mkuu umekosea sana ni asilimia 0.01Pole sana mkuu wanawake asilimia moja tu ndo wanaoheshimu mwanaume asie na hela. Wewe piga moyo konde Mungu ni mwema mambo yatakaa sawa tuu.
Sio wewe tu. Wapo wengi tu lakin wamevunga kimya. Ila usijal ninavyoona mama anaenda uchumi utakuwa sawa soon.. halaf watashangaa vidume tunavimba Tena kitaa bila wasiwasi.Hii kitu inanitesa mnoo
Asalaam,
.
Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.
Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!