Hawa hapa 30 bora,(Top Bongo Music Beast) watoto wa mjini, bila hawa Bongoflava isingekuwepo

Hawa hapa 30 bora,(Top Bongo Music Beast) watoto wa mjini, bila hawa Bongoflava isingekuwepo

Hii hapa ni list ya wasanii wa bongo hiphop, kizazi cha zamani kilichoshine wakati wote.. waasisi wa Bongoflava.

Kipindi hicho Tanzania kukiwa na radio tatu tu na TV moja ya burdani, yes *EATV

Credits to MJRecords, Bongo Records....

Mambo yalikuwa sawa sana mpaka pale muovu alipoingia akaharibu mziki wa bongo kwa kuingiza siasa za CCM na show uchwara za kwenye vumbi... you may rest wherever you deserve man.

Nazungumzia mziki wenye maudhui(content) ambapo popularity and fame is earned .

Ladies and Gentlemen, the Golden awards goes to:

1. Jay Moe..
2. Langa Kileo R.I.P
3. Mr. Blue
4.Ngwair. R.I.P
5.Q Chillah
6. Solo Thang
7.Dully Sykes
8. Mr Paul.
9.Balozi
10.Mr 11 aka Sugu
11. TID
12. Jay Dee
13.Prof Jay
14.Mwana FA
15. Yessaya.
16.Ferouz
17.Juma Nature
18. Fid Q
19. Inspector Haroun
20.Seleman Msindi
21.O ten.
22 Daz Baba,
23.Godfrey Tumaini. aka Dudu Baya
24.Stara
25.Mb Dogg
26.Chegge
27. Temba
28.Josline.
29.Chid Benz
30. Mr. Nice.



Godzila (R.I.P) , Thanks for your life man.
Baba na Mimi nakupa 30 zingine

31. Rah P
32. Sister P
33. Zey B
34. Pouline Zongo
35. Elukah
36. Maik Tee Mnyaru
37. Dataz
38. Squeezer
39. Mabaga Fresh
40. Daznundaz
41. East Coast Team
42. Sold Ground Family
43. Biz Man; Mzee wa ametoroshwa mpenzi wangu
44. Keisha
45. Pingu & Deso
46. Keisal; ningeweza ningeweza sound track imewekwa kwenye movie kadhaa
47. Jiz Mabovu
48. Rackaz (kundi lake Quick Racka aka Switcher)
49. Nako 2 Nako
50. Ray C
51. Ibra Da Hustler
55. Gangwe Mob
56. Saleh Jabir
57. X Plaster Father Neli
58. Unique Sister's
59. Farida
60. JCB Watengwa
 
Baba na Mimi nakupa 30 zingine

31. Rah P
32. Sister P
33. Zey B
34. Pouline Zongo
35. Elukah
36. Maik Tee Mnyaru
37. Dataz
38. Squeezer
39. Mabaga Fresh
40. Daznundaz
41. East Coast Team
42. Sold Ground Family
43. Biz Man; Mzee wa ametoroshwa mpenzi wangu
44. Keisha
45. Pingu & Deso
46. Keisal; ningeweza ningeweza sound track imewekwa kwenye movie kadhaa
47. Jiz Mabovu
48. Rackaz (kundi lake Quick Racka aka Switcher)
49. Nako 2 Nako
50. Ray C
51. Ibra Da Hustler
55. Gangwe Mob
56. Saleh Jabir
57. X Plaster Father Neli
58. Unique Sister's
59. Farida
60. JCB Watengwa
Good old days mkuu...
Hivi Raha P yupo wapi siku izi
 
Good old days mkuu...
Hivi Raha P yupo wapi siku izi
Rah P yupo America ana watoto wawili alienda kusoma huko akakutana na Jamaa mwamerica akazama Penzini kumbe Jamaa alikua anacheza dili chafu (anauza ngada) bila yeye kujua akaja akadakwa akatiwa ndani Rah P akabaki na watoto na Jamàa yake yupo nyuma ya Nondo huko kwenye Ardhi Joe Biden hajarudi Bongo mpaka Kesho

Nb: Tafuta movie inaitwa Baby Powder ya Karabani imechezwa America story inafanana kidoogo na hio
 
Hii hapa ni list ya wasanii wa bongo hiphop, kizazi cha zamani kilichoshine wakati wote.. waasisi wa Bongoflava.

Kipindi hicho Tanzania kukiwa na radio tatu tu na TV moja ya burdani, yes *EATV

Credits to MJRecords, Bongo Records....

Mambo yalikuwa sawa sana mpaka pale muovu alipoingia akaharibu mziki wa bongo kwa kuingiza siasa za CCM na show uchwara za kwenye vumbi... you may rest wherever you deserve man.

Nazungumzia mziki wenye maudhui(content) ambapo popularity and fame is earned .

Ladies and Gentlemen, the Golden awards goes to:

1. Jay Moe..
2. Langa Kileo R.I.P
3. Mr. Blue
4.Ngwair. R.I.P
5.Q Chillah
6. Solo Thang
7.Dully Sykes
8. Mr Paul.
9.Balozi
10.Mr 11 aka Sugu
11. TID
12. Jay Dee
13.Prof Jay
14.Mwana FA
15. Yessaya.
16.Ferouz
17.Juma Nature
18. Fid Q
19. Inspector Haroun
20.Seleman Msindi
21.O ten.
22 Daz Baba,
23.Godfrey Tumaini. aka Dudu Baya
24.Stara
25.Mb Dogg
26.Chegge
27. Temba
28.Josline.
29.Chid Benz
30. Mr. Nice.



Godzila (R.I.P) , Thanks for your life man.
Umeandika sawa ila unapotumia neno waasisi na kuweka hii orodha unakuwa kwa namna moja ama nyengine unakosea. Mfano Langa (May his Soul continue resting in eternal peace) aliibuka baada ya shindano lile ambalo waliunda kundi Yeye, Witness na Shaa (Bongo Flava tayari ilikuwa imetake off).

Kuna hawa unaweza fikiria waongeza katika list yako:

1. Kwanza Unit
2. Diplomatz
3. GWM
4. Xplastaz
5. Hard Blasters (kumbuka Chemsha Bongo ni ngoma iko katika album ya Funga Kazi)
6. Mabaga Fresh
7. Wateule
8. East Coast Team (Focus King Crazy GK)
9. SOS B
10. Saleh Jabir (The Pioneer)
11. Mawingu Band je?

Wote tupo hapa kujifunza. Tunashukuru kwa kumbukizi hizi.
 
Umeandika sawa ila unapotumia neno waasisi na kuweka hii orodha unakuwa kwa namna moja ama nyengine unakosea. Mfano Langa (May his Soul continue resting in eternal peace) aliibuka baada ya shindano lile ambalo waliunda kundi Yeye, Witness na Shaa (Bongo Flava tayari ilikuwa imetake off).

Kuna hawa unaweza fikiria waongeza katika list yako:

1. Kwanza Unit
2. Diplomatz
3. GWM
4. Xplastaz
5. Hard Blasters (kumbuka Chemsha Bongo ni ngoma iko katika album ya Funga Kazi)
6. Mabaga Fresh
7. Wateule
8. East Coast Team (Focus King Crazy GK)
9. SOS B
10. Saleh Jabir (the pooneer)
11. Mwingu Band je?

Wote tupo hapa kujifunza. Tunashukuru kwa kumbukizi hizi.
Nakubali sana mkuu,

Issue makundi mengi sana yalivunjika katikati.. wengi wakahama harakati wakabaki wachache wakaanza kwenda solo... hapo ndio wakaonekana kina Prof Jay, FA etc... au nakosea?
 
Chidi Benz? Acha masihara wewe, miaka ya 2000's huko watu wanatafuta njia ya kuitoa Bongo Fleva huyo hakuwepo. Sema kazeeka haraka tu, lakini ni wa juzi tu huyo.
 
Hii hapa ni list ya wasanii wa bongo hiphop, kizazi cha zamani kilichoshine wakati wote.. waasisi wa Bongoflava.

Kipindi hicho Tanzania kukiwa na radio tatu tu na TV moja ya burdani, yes *EATV

Credits to MJRecords, Bongo Records....

Mambo yalikuwa sawa sana mpaka pale muovu alipoingia akaharibu mziki wa bongo kwa kuingiza siasa za CCM na show uchwara za kwenye vumbi... you may rest wherever you deserve man.

Nazungumzia mziki wenye maudhui(content) ambapo popularity and fame is earned .

Ladies and Gentlemen, the Golden awards goes to:

1. Jay Moe..
2. Langa Kileo R.I.P
3. Mr. Blue
4.Ngwair. R.I.P
5.Q Chillah
6. Solo Thang
7.Dully Sykes
8. Mr Paul.
9.Balozi
10.Mr 11 aka Sugu
11. TID
12. Jay Dee
13.Prof Jay
14.Mwana FA
15. Yessaya.
16.Ferouz
17.Juma Nature
18. Fid Q
19. Inspector Haroun
20.Seleman Msindi
21.O ten.
22 Daz Baba,
23.Godfrey Tumaini. aka Dudu Baya
24.Stara
25.Mb Dogg
26.Chegge
27. Temba
28.Josline.
29.Chid Benz
30. Mr. Nice.



Godzila (R.I.P) , Thanks for your life man.
Chidi Benz wa juzi tu huyo
 
Back
Top Bottom