Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Amapiano kuna la maana linaloimbwa?Hivi kweli sasa hivi unaweza kaa ukasikiliza ngoma eti kuku kapanda baiskeli bata kavaa raizoni?
mrangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amapiano kuna la maana linaloimbwa?Hivi kweli sasa hivi unaweza kaa ukasikiliza ngoma eti kuku kapanda baiskeli bata kavaa raizoni?
mrangi
Chambua Kama karanga x3Yule dada wa Bukoba yupo?
Anaonekana ni dogo wa 2003 na kuendeleaMwenye uzi obviously hajui historia ya muziki wa kizazi kipya.
Suma Lee nadhan ana hit song moja tu ya Hakunaga... na ilikuwa 2009/10 juzi tu hapa nadhani.Kuna watu bado hujawataja tukianza na
- Mabaga Fresh
- Jafarai
- Noorah
- Suma Lee
- Ray C
- Pauline Zongo
- Crazy GK
- Kali P
- Mr Ebo
- John Mjema nk
We kweli kinda, sina haja tena ya kuendelea kuchangia huu uzi.Suma Lee nadhan ana hit song moja tu ya Hakunaga... na ilikuwa 2009/10 juzi tu hapa nadhani.
Nisahihishe
Try mkuuNisije nikakutaja ukakosa raha ukaenda kubadilisha jina 😅
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] bangi hiziKuna ile ngoma kali Beyonce alimshirikisha O Ten nimesahau jina nikumbushe.
Umeitwa mkuu? Au unaona unahitajika kila mahali
Umeandika sawa ila unapotumia neno waasisi na kuweka hii orodha unakuwa kwa namna moja ama nyengine unakosea. Mfano Langa (May his Soul continue resting in eternal peace) aliibuka baada ya shindano lile ambalo waliunda kundi Yeye, Witness na Shaa (Bongo Flava tayari ilikuwa imetake off).
Kuna hawa unaweza fikiria waongeza katika list yako:
1. Kwanza Unit
2. Diplomatz
3. GWM
4. Xplastaz
5. Hard Blasters (kumbuka Chemsha Bongo ni ngoma iko katika album ya Funga Kazi)
6. Mabaga Fresh
7. Wateule
8. East Coast Team (Focus King Crazy GK)
9. SOS B
10. Saleh Jabir (The Pioneer)
11. Mawingu Band je?
Wote tupo hapa kujifunza. Tunashukuru kwa kumbukizi hizi.
Lakini Ngoma zake zilikua na impact kubwa Sana.Langa ni 2004 kama sio 2005 game ya bongo ilikuwa ishajipata.
Kuna yule alikuwaga Beyonce wa Coco. Ukute ndio anaongelewa. Asipuuzwe huyu, ana hoja.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] bangi hizi
Guy Uzi ni batili bila uwepo wa mkali wa rymes afande sele alafu typo dudu baya so sad[emoji26][emoji26][emoji26]Hii hapa ni list ya wasanii wa bongo hiphop, kizazi cha zamani kilichoshine wakati wote.. waasisi wa Bongoflava.
Kipindi hicho Tanzania kukiwa na radio tatu tu na TV moja ya burdani, yes *EATV
Credits to MJRecords, Bongo Records....
Mambo yalikuwa sawa sana mpaka pale muovu alipoingia akaharibu mziki wa bongo kwa kuingiza siasa za CCM na show uchwara za kwenye vumbi... you may rest wherever you deserve man.
Nazungumzia mziki wenye maudhui(content) ambapo popularity and fame is earned .
Ladies and Gentlemen, the Golden awards goes to:
1. Jay Moe..
2. Langa Kileo R.I.P
3. Mr. Blue
4.Ngwair. R.I.P
5.Q Chillah
6. Solo Thang
7.Dully Sykes
8. Mr Paul.
9.Balozi
10.Mr 11 aka Sugu
11. TID
12. Jay Dee
13.Prof Jay
14.Mwana FA
15. Yessaya.
16.Ferouz
17.Juma Nature
18. Fid Q
19. Inspector Haroun
20.Seleman Msindi
21.O ten.
22 Daz Baba,
23.Godfrey Tumaini. aka Dudu Baya
24.Stara
25.Mb Dogg
26.Chegge
27. Temba
28.Josline.
29.Chid Benz
30. Mr. Nice.
Godzila (R.I.P) , Thanks for your life man.
Nilipigwa ban mheshimiwa mbunge wa Muheza... leo ndo nimekuwa huruTry mkuu
Ukikosea nakwambia. Ukipatia nabadili ID