Hawa mabinti wawili wametrend sana kwa muda mrefu. Picha zao ziko kila kona ya internet

Hawa mabinti wawili wametrend sana kwa muda mrefu. Picha zao ziko kila kona ya internet

Mihemko ikwapi hapo ndugu yangu. Ndo tunakwambia kwamba hawajatrend maana wengi waliocomment hawajawahi kuwaona.
Bora kukosa tako kuliko kuwa na hips baya kama la huyo mmoja.
Na viatu vya manyoya😅😅😅

Kama.kutrend kimaya malaya basi SAwa ila
 
Hawa mabinti ni wale wakule mlima meru

Wameru hao wapo kijitonyamaa mmoja anadeal na maspirit na mwingine Manguo hasa hichi kidogodogo.

Na hapo ni mtu na mdogo wake
 
Back
Top Bottom