Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanx dear..hujakosea mimi ndivyo nilivyo napenda watu... 😍 😍
Asante dear
AmiinThanx dear..hujakosea mimi ndivyo nilivyo napenda watu... 😍 😍
18. Culture Me
Mtetezi wa Haki za Binaadam, anatetea binaadam wote waishi sehemu salama bila kujali gender wala sexuality yao,
19. cocastic
Anatetea Wapenzi wa Jinsia moja, ana kifua cha kuvumilia mengi matusi, kejeli yeye hajali wala nini kikubwa msimamo wake kaushikilia, anachukiwa na wale cyber bullied sababu hajui kukasirika muda wote ni kicheko tu.
20. Dream Queen
Huyu wewe mwenyewe unamjua unaweza ukamuelezea anavyokubanaga ukikatiza angels zake za kusema Wanawake au wale wasema Watoto, hapendi kabisa kuona Watoto wanaonewa na ana pumzi za kuweka ligi hachoki hata iwe wiki nzima za mabishano, kuna watu wanamtambua kama rude member wa JF.
Na mm nlikua nawabishia watu kuwa ni mdada...kuna siki ndo nikaona uzi wake amejitambullisha yy ni mkakaHuyo Cocastic nilijuaga NI demu, niliwahi mfuata PM,😂😂
Kumbe ni dume
Ndo wanapenda mambo hizo🏃😂😂
Unautani Mbaya
Mbona tunasingiziana mambo ya ajabu ajabu? 😲😲😲😲
Si mnapenda tope Lazima mjulikaneMbona tunasingiziana mambo ya ajabu ajabu? 😲😲😲😲
Hapana mie napenda traaaakooooSi mnapenda tope Lazima mjulikane
Ni watu wema tuHao hawapendagi Fujo,.
Ni ngumu kuingia kwenye ringi, Ligi na hao members.
Hao hawakai Meza moja na watu wakorofi au wabishi na watata kama kina Sisi, au Popoma.
Ila sometimes wanakuwaga na kauchochchezi na kaumbea Ka hapa na pale
Si mnapenda tope Lazima mjulikane
Ulisema akikupea tope unafukua🤨Hapana mie napenda traaaakoooo
Na mm nlikua nawabishia watu kuwa ni mdada...kuna siki ndo nikaona uzi wake amejitambullisha yy ni mkaka