Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa noma sana😀😀
Nilivyogundua ni dume jike nilitoka nduki,
Nikasema haya mambo ya kuparamia paramia haya
Sio mbaya mkuu, wazee wa hovyo hovyo hua hatukosekani...😜
Uko poa Kaz yako ni kufurahi tu sijawahi ona comment yako yenye kukwazana na watu💕Sio mbaya mkuu, wazee wa hovyo hovyo hua hatukosekani...😜
Hahahaaa noma sana
Utaona moto wake...joke 😄 😄 😄Ila wewe upo peace Sana upo peace Sana.
Natamani siku moja nikukorofishe😊😊 nione unavyokuwa😉😉
Asante dear
Sure binti mpole hana tabu na mtu...Mtoto wa JF huyo.
Nawaambia Vijana wachangamke.
Wakichelewa wazee tutashika hatamu, wasije sema ooh! Sisi wazee hatujiheshimu
💖💖💖Thanks, heri ya siku ya wanawake na kwako pia na kwa wanawake wote waliomo humu,
Utaona moto wake...joke 😄 😄 😄
Ila mm sipendi tuu mtu anitukane bila kosa au kuutweza utu wangu...
Asante love you, uko muwazi sana hada mambo yetu yalee😂
Ww mbona huna matusi ???😂😂😂
Kalpaaa!
Usichokipenda Sisi ndio tunakipenda
Muhimu ujifunze kupuuzia na kudharau ndio utadili vizuri na watu wenye matusi na wanaotweza utu wako.
Ukiwamaindi wao ndio furaha Yao😃
💖💖💖Thanks, heri ya siku ya wanawake na kwako pia na kwa wanawake wote waliomo humu,
Sifa pekee ya wwnawake wa humu ni kujiamini pamoja na mashambulizi mengi ya mada hasi juu ya wanawake lakini tumekuwepo pasipo kutishika, jf ni mtandao unaoongoza kwa wanaume kukandia, kutweza na kudhalilisha wanawake, kama ingekuwa uoga nadhani kusingekuwemo ke yeyote ni dhahiri, sisi ndo tunaiendesha dunia kwa sasa
Ni wakorofi tu,, [emoji2089][emoji2089]rusha pillow akurushie pig iron ufe[emoji178][emoji178][emoji178]Thanks, heri ya siku ya wanawake na kwako pia na kwa wanawake wote waliomo humu,
Sifa pekee ya wwnawake wa humu ni kujiamini pamoja na mashambulizi mengi ya mada hasi juu ya wanawake lakini tumekuwepo pasipo kutishika, jf ni mtandao unaoongoza kwa wanaume kukandia, kutweza na kudhalilisha wanawake, kama ingekuwa uoga nadhani kusingekuwemo ke yeyote ni dhahiri, sisi ndo tunaiendesha dunia kwa sasa
Tena wewe ndo mwenyekiti, mnaletaga unyumbani kwenu hadi humu hamtaki kukosolewa wala kujibiwa mbovu mnataka kutufanya km wote mmetuoa humu, 😂, hamna kazi za kufanya mpaka muwe mnatukandia siku saba za wiki?Kundiwa ni muhimu kama kuna vijitabia vya hovyo mtavionyesha.
Hata hivyo hongereni ambao mnaendelea kulinda heshima ya Mwanamke. Jitahidi I kuwakanya Wanawake WENZENU wanaoifanya vitu vya hovyo.
Japo najua Wanawake Hawana uwezo wa kukanyana Kwa sababu hawaheshimiani, wengi mnadharauliana.
Sasa Sisi tukiwakanya mnasema tunawakandia.
Ingia mtandaoni Huko uone Wanawake wachache waliojifanya wanawaonya Wanawake wenzao uone walichoambulia.
Tatizo kubwa la Wanawake ni kupenda kusifiwa muda wote, na ukitaka ugombane na Wanawake wengi basi wakanye au waonye onye uone Moto.
Kheri ya siku ya Wanawake Duniani, Maua na mapambo yetu
😘 To yeye usiejua kununa