Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kabisaa hatupo hapa kubembelezana ww toa yako ya moyoni kama unavyofanya..sema watu wanapenda kufake kufake maisha..Mwambie Taikon anakukubali licha ya kuwa kila Siku anakesi na ninyi Wadada.😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaa hatupo hapa kubembelezana ww toa yako ya moyoni kama unavyofanya..sema watu wanapenda kufake kufake maisha..Mwambie Taikon anakukubali licha ya kuwa kila Siku anakesi na ninyi Wadada.😊
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mwamba huyu hapaMimi sio mwalimu mkuu tafadhari nitake radhi, siwezi kuwa sehem ya laana
Kabisaa hatupo hapa kubembelezana ww toa yako ya moyoni kama unavyofanya..sema watu wanapenda kufake kufake maisha..
Kabisaaaa kabisaaa...umemalizaNi kweli Watu wengi wanapenda ku-fake ili wapendwe na watu wengi hata kama wao hawapo hivyo.
Sisi wengine muda wa ku-fake hatuna.
Watakotupenda watatupenda vivihivi.
Hatufanyi kitu ili tupendwe,
Kupishana mitazamo au utofauti ndio Maisha yenyewe.
Ni Bora nipendwe na watu Wawili wanaonipenda kweli, kuliko kupendwa na watu elfu waliowanafiki.
Ambao wanataka tuu niwapambe pambe, niwabembeleze bembeleze.
He's boldcarlos the jackal.
huyu ana kanuni zote za kudeal na mwanamke yoyote bongo na reference za sms unapewa.
[emoji23][emoji23][emoji23] Nilijua tuEmotionally Intelligence yako ( ambayo unadai Mimi Sina utadhani Wewe ni Mke wangu unayenijua sana ) imekuondolea Upopoma na Umasikini mkubwa Ulionao?
Hovyo.......!!!!!!
Nimekusoma, mimi ni Muislam na naupenda sana Uislam. Ni dini pekee ambayo inamuacha binadam huru kumuabudu Muumba peke yake bila kushirikisha.
Falsafa yangu ni kutowa elimu bila hiyana. Baadhi ya mada zangu👇🏾
..Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa
General Knowledge. Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu. Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo...www.jamiiforums.com
Kariakoo na Dar es Salaam: Wanahistoria tendeeni haki Historia za majina hayo
Tafiti ndogo tu, yangu binafsi na isiyo na shaka kabisa niliyoifanya kuhusu jina la jiji letu kuu "Dar Es Salaam" na jina la soko letu kuu "Kariakoo" ninaihitimisha kwa ufupi (summary) hapa chini kwa kusema wanahistoria hususan wa hapa Tanzania hawayatendei haki hayo majina kwa kutuaminisha...www.jamiiforums.com
Maana ya Jina la Rais wa Tanzania, Samia Suluhu
Jina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu. 1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam anaposali, akinyanyuka kwenye rukuu husema "Samia Llahu liman Hamida". maana yake, Ni "Allah humsikia mwenye...www.jamiiforums.com
Tafakuri ya Faizafoxy 5: Mtego wa panya, Rushwa, Ufisadi, Siasa, Uchumi, vimenasa vyote?
Kwetu Mkuranga, kuna mitego ya panya maarufu sana. Hutengenezwa kama dema la samaki na wengine hadi leo hii huiita "dema la panya". Mitego hii ni mizuri sana lakini kila kizuri huwa na changamoto zake. Mtego huo ukitegwa hunasa panya na vinginevyo. Tanzania kabla ya hapo, Tanganyika...www.jamiiforums.com
Ñipo mkuu,sema katikati hapa ka ubize kidogo,instanbul akapata ahueni[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Huyu jamaa siku hizi sijui kapotea wapi
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tunailinda Jf isiibiwe Half american Dahan Bantu Lady To yeye Mwachiluwi Palina mtu chake Half american mkwepu jr Poor Brain National Anthem Analyse
Muongeze na mganga wa kipare Mshana JrKwenye siasa kuna johnthebaddest na Lucas mwashambwa hawa ni watetezi nguli wa ccm usiiseme ni ccm vibaya watakuja lkn upande wa pili kuna OKW BOBAN SUNZU, Sky Eclat, Salary Slip dah na mwingine sijui nani jina lake la dawa hivi sijui encr... linashinda hao na chadema chupi na tako wao ndo wazee wa kumponda magu na sukuma gang kwenye sports aisee Labani og humwambii kuhusu yanga
Ñipo mkuu,sema katikati hapa ka ubize kidogo,instanbul akapata ahueni[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kabisaaa,siye ndo walinz wao💪[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tunailinda Jf isiibiwe Half american Dahan Bantu Lady To yeye Mwachiluwi Palina mtu chake Half american mkwepu jr Poor Brain National Anthem Analyse
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] chedi avaeNgoja niongeze List,
Maana kombe unajua kulipambania,[emoji23][emoji23][emoji23]
Umemuacha Mzee mwenzako mkiwa Instanbul.
Akija humu Hana WA kujibishana naye[emoji3][emoji3]
Unajua Watu wabishi wakikosa wakubishana nao wanakuwa wanyonge na wengine hupata mpaka maradhi na Kufa kabisa
18. Culture Me
Mtetezi wa Haki za Binaadam, anatetea binaadam wote waishi sehemu salama bila kujali gender wala sexuality yao,
19. cocastic
Anatetea Wapenzi wa Jinsia moja, ana kifua cha kuvumilia mengi matusi, kejeli yeye hajali wala nini kikubwa msimamo wake kaushikilia, anachukiwa na wale cyber bullied sababu hajui kukasirika muda wote ni kicheko tu.
20. Dream Queen
Huyu wewe mwenyewe unamjua unaweza ukamuelezea anavyokubanaga ukikatiza angels zake za kusema Wanawake au wale wasema Watoto, hapendi kabisa kuona Watoto wanaonewa na ana pumzi za kuweka ligi hachoki hata iwe wiki nzima za mabishano, kuna watu wanamtambua kama rude member wa JF.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] chedi avae