Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

😂😂😂Na wasichojua ni kwamba my woman Hana chura ni flat moja hivi matata 😂😂

Nkiwa nae kwenye Gari akiona chura ananishtua oya cheki mzigo huo 😂😂

With all the success God has given me I love that woman c'mon 😂😂 I can't even think of cheat her churaless body
Bichwa🤣🤣🤣 nimecheka kama mjinga
 
Nimekusoma, mimi ni Muislam na naupenda sana Uislam. Ni dini pekee ambayo inamuacha binadam huru kumuabudu Muumba peke yake bila kushirikisha.

Falsafa yangu ni kutowa elimu bila hiyana. Baadhi ya mada zangu👇🏾

..


 
Hapana mrembo wa simba gani huyo anatukana hatari usije jikanyaga kwenye 18 zake ni mwendo wa kumwaga matusi kama jukebox limetiwa shilingi lianze kuimba
Ni kwa nadra sana kama ukini attack kwa kunitusi na mm lazima nikuporomoshee...
By the way usiponikubali ww atanikubali mwingine..that's life...huwezi kukubalika na kila mtu..
 
Back
Top Bottom