Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

Hahahahaha ikawaje sasa alikwambia yeye ni dume au ilikuaje kuaje, [emoji1783]

😀😀

Unajua Sisi Vijana tukishaona jina zuri la kike au Dp yenye pisikali tunapagawa, tunadhani jina na Do jinsi ilivyo ndivyo mhusika alivyo.
Ndivyo ilivyokuwa, sitaki hata kukumbuka.
Nimejipa likizo ya Mwaka mmoja sitoingia kwneye pm za watu nijipe mapumziko kidogo, sisemi Kuwa sitaingia kabisa maana huo utakuwa Uongo,
 
Back
Top Bottom