Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani


Huyo Cocastic nilijuaga NI demu, niliwahi mfuata PM,😂😂
Kumbe ni dume
 
Lovelovie sophy27 Kapeace Kalpana hongera Kwa kujaaliwa kamoyo Ka upendo

Hao hawapendagi Fujo,.
Ni ngumu kuingia kwenye ringi, Ligi na hao members.
Hao hawakai Meza moja na watu wakorofi au wabishi na watata kama kina Sisi, au Popoma.
Ila sometimes wanakuwaga na kauchochchezi na kaumbea Ka hapa na pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…