Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

Ww mbona huna matusi ???
Any way tuishi hivyo hivyo

Mimi ninamatusi Kwa wanaonitukana.
Umri wangu hauniruhusu Kutumia Busara.

Naishi na mtu vile anavyotaka yeye.
Ukintukana nitakutukana, ukiniheshimu nitakuheshimu, ukinipenda ntakupenda.

Sipendi kuonea MTU na sipendi kuonewa.
Sipendi MTU aonewe wala aonee wengine
 
Sasa si ndo na mimi nasemea hilo? Yani unakuta umeandika uzi mtu katikati katoa tusi bayaaa la kutweza unataka nicheke? Kumbe na ww huwezi vumilia..ndicho nachoongea
 
Mkuu Robert Heriel , kwanza asante kwa kunitaja, ila ningeomba unitendee haki, mimi ni Mzee wa "Kwa Maslahi ya Taifa", na "The Voices from Within" na the Voices Kuu inayosubiriwa ni hii, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke ambayo materialization ni 2025.
P
 

Dr. Mzizimkavu siku hizi umeadimika
Shukrani Sana Kwa mafundisho yake, bila Shaka ni msaada Kwa baadhi ya Watu.
 
Lakini Dream Queen kiboko yako anakutoa jasho,
Hebu nimuite nijionee

Dream Queen njoooo Robert anakuita [emoji2296]
 

😀😀
Sawasawa Mkuu, nitakutendea Haki, Kwa maana uliyoyasema ni Kweli tupu.
Kidogo ulikuwa unaviashiria vya unabii (muona mbali)

Hivi ni Kwa nini ukitoa hoja Watu wengi huzuka na kukushambulia? Uliwahi kujiuliza Jambo hilo?
Au ndio uchadema na uccm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…