Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

Dr. Mzizimkavu siku hizi umeadimika
Shukrani Sana Kwa mafundisho yake, bila Shaka ni msaada Kwa baadhi ya Watu.
Mkuu nimezeeka na nina kazi myingi za kuwatibu watu Magonjwa sugu kama maradhi ya ini, maradhi ya ukimwi , maradhi ya Saratani. Maradhi ya kiharusi aka stroke na maradhi Uchawi na mapepo wachafu nibo busy sana katika kuwatibia watu hayo maradhi sugu
 
Umbea unatibu shoga angu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…