torvic
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 3,978
- 9,841
umeweka na screenshots za text nikachukue tipsKuna Masihara ya Kinyarwanda ,tukutane kwenye ule Uzi wetu pendwa !!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeweka na screenshots za text nikachukue tipsKuna Masihara ya Kinyarwanda ,tukutane kwenye ule Uzi wetu pendwa !!.
kumbe ana base sana na wake za watu, hapo tukatae ndoa kwa nguvu zoteHasa wake za Watu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tapeli la wake za watucarlos the jackal.
huyu ana kanuni zote za kudeal na mwanamke yoyote bongo na reference za sms unapewa.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Kuna jiwe angavu huaga na ile #Maendeleo hayana chama
Nani huyo? Wapenda chura wako wengiHivi yule jamaa mpenda Chura siku hizi yuko wapi?
🤣🤣🤣 Tusiombeane huko , ndo kwanza panabambazukamkuu wewe umeshawaelewa wanawake vizuri,tafsiri yake unakaribia kutoeka duniani
Kuna yule mshamba wa kisukuma yey anasifia misambwanda tu
[emoji1787] [emoji1787] Wazee wenye mindset zao huwabadilishi hao5. Jokajeusi.
Huyu yeye falsafa yake ni "Mwanamke anapaswa Aolewe Bikra"
Yeye kila kitu ni Bikra linapokuja suala la mahusiano.[emoji23]
Nyie wengine ni wazee wa ngoja niwahi siti mnatakiwa mle hata banHahah sisi wengine ni wadau tu
Hiyo trait ni yakoEmotionally Intelligence yako ( ambayo unadai Mimi Sina utadhani Wewe ni Mke wangu unayenijua sana ) imekuondolea Upopoma na Umasikini mkubwa Ulionao?
Hovyo.......!!!!!!
carlos the jackal.
huyu ana kanuni zote za kudeal na mwanamke yoyote bongo na reference za sms unapewa.
Hawa wazee Extrovert raraa reree Half american ni wale wasiofungamana na pande yoyote huwa wanaamini kwenye falsafa mtazamo chanya yExtrovert ,raraa reree na Half american Wana sifa zao za kipekee,nadhani kila mtu anajua kuhusu Hili.
Anaitwa Baba Swalehe.Nani huyo? Wapenda chura wako wengi