Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Wazee wa mbususucarlos the jackal.
huyu ana kanuni zote za kudeal na mwanamke yoyote bongo na reference za sms unapewa.
-Carlos the jackal
-mzabzab
-Mzee wa kupambania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa mbususucarlos the jackal.
huyu ana kanuni zote za kudeal na mwanamke yoyote bongo na reference za sms unapewa.
hiyo siyo falsafa, ni hash tag slogan yakeKuna jiwe angavu huaga na ile #Maendeleo hayana chama
The Boss na Nyani Ngabu (Mzee wa USA na Kimalkia kama chote) nao wana nafasi zao kubwa humu
Basi bana..carlos the jackal.
huyu ana kanuni zote za kudeal na mwanamke yoyote bongo na reference za sms unapewa.
Emotionally Intelligence yako ( ambayo unadai Mimi Sina utadhani Wewe ni Mke wangu unayenijua sana ) imekuondolea Upopoma na Umasikini mkubwa Ulionao?
Hovyo.......!!!!!!
Kuna Masihara ya Kinyarwanda ,tukutane kwenye ule Uzi wetu pendwa !!.Wazee wa mbususu
-Carlos the jackal
-mzabzab
-Mzee wa kupambania
vipi tena wakati umetajwa, ulitaka upewe sifa gani? Povu jingi limekutokaEmotionally Intelligence yako ( ambayo unadai Mimi Sina utadhani Wewe ni Mke wangu unayenijua sana ) imekuondolea Upopoma na Umasikini mkubwa Ulionao?
Hovyo.......!!!!!!
Extrovert ,raraa reree na Half american Wana sifa zao za kipekee,nadhani kila mtu anajua kuhusu Hili.
Mfano huyo smart911.Tatizo ni identity.
Yaani kitu kinachomtambulisha MTU.
Yaani kuna Uzi au comment ukiisoma huna Haja ya kusoma username ya MTU, unajua tuu huyu ni flani.
Duh kumbe kuna ligi humu
Hasa wake za Watucarlos the jackal.
huyu ana kanuni zote za kudeal na mwanamke yoyote bongo na reference za sms unapewa.
5. Jokajeusi.
Huyu yeye falsafa yake ni "Mwanamke anapaswa Aolewe Bikra"
Yeye kila kitu ni Bikra linapokuja suala la mahusiano.[emoji23]
You must be a blessed Dunce indeed.Mkuu sitaki Ligi na jemadari na kubwa la mapopoma.
Sifa ya Kukuweka.vipi tena wakati umetajwa, ulitaka upewe sifa gani? Povu jingi limekutoka
mkuu wewe umeshawaelewa wanawake vizuri,tafsiri yake unakaribia kutoeka dunianiBasi bana..
Mnakumbuka yule Mchepuko wangu mwenye Huduma fulan ambaye Huwa naenda kumsalimia? Kwenye ile orodha ya michepuko yangu baadhi ishirini na kitu nahivi nloiweka?.
Sasa Hana Ofisi yake Ile huduma yake Huwa inawateja wengi wakike.
Mara nyingi nikifika pale, Kuna ninaowakuta ,wengine wananikuta.
Bad thing niliondoka, wanaanza kumuuliza yule Mchepuko wangu..
Huo mkaka umnafahamiana? Mkaka msafi sana anaonekana anaakili, Mkaka nimetokea kumpenda jamani, unanamba yake?.
Kiukweli huyu Mchepuko mwanzon aliona kawaida, ila Wanawake wenzie wamezidi kumsumbua sanaaa .
Mpaka amefikia wakati, ananiuliza hivi G una Dawa??? Una tumia kizizi??
Hali hii imemfanya Mchepuko azidi kunipenda sana, na amekua na wivu sana, sahizi nikifika pale, muda wote ananiita 'Mume wangu'.
Juzi , Kagaombana na Wanawake wa pale karibu na kazin kwake ,Wanawake watatu.
Alafu hao Wanawake watatu, maajabu nikwamba, Kila mwanamke ananipenda kimoyomoyo.
Kiukweli huyu Mchepuko niwale Wanawake wnye Moyo wakupenda.
Ila Sasa tatizo anapenda Kwa dhati na anapenda sana daaah Mimi sitaki Ivo, na hao Wanawake wameshapata namba yangu na Lazima niwale !!.
Yaan Hawa Wanawake ukiwa Umeona au una mwanamke mzuriii au unajiweka safiii tuuu + uwe na kazi yako ,daaah watakufukuzia sanaaa.
hapa Ndipo nmekumbuka Maneno ya Mzee wangu aliwah niambia miaka ya nyumaa "Kijana wangu siku nilipoacha kufukuzana na Wanawake nikaanza fukuzana na Thaman yangu, Wanawake wakianza kunifukuzia wenyewe "
uniweke wapi? Unaanza ligi ukishindwa unakimbia jukwa kwa muda.Sifa ya Kukuweka.