Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

carlos the jackal.
huyu ana kanuni zote za kudeal na mwanamke yoyote bongo na reference za sms unapewa.
Basi bana..

Mnakumbuka yule Mchepuko wangu mwenye Huduma fulan ambaye Huwa naenda kumsalimia? Kwenye ile orodha ya michepuko yangu baadhi ishirini na kitu nahivi nloiweka?.


Sasa Hana Ofisi yake Ile huduma yake Huwa inawateja wengi wakike.

Mara nyingi nikifika pale, Kuna ninaowakuta ,wengine wananikuta.

Bad thing niliondoka, wanaanza kumuuliza yule Mchepuko wangu..

Huo mkaka umnafahamiana? Mkaka msafi sana anaonekana anaakili, Mkaka nimetokea kumpenda jamani, unanamba yake?.


Kiukweli huyu Mchepuko mwanzon aliona kawaida, ila Wanawake wenzie wamezidi kumsumbua sanaaa .


Mpaka amefikia wakati, ananiuliza hivi G una Dawa??? Una tumia kizizi??

Hali hii imemfanya Mchepuko azidi kunipenda sana, na amekua na wivu sana, sahizi nikifika pale, muda wote ananiita 'Mume wangu'.


Juzi , Kagaombana na Wanawake wa pale karibu na kazin kwake ,Wanawake watatu.

Alafu hao Wanawake watatu, maajabu nikwamba, Kila mwanamke ananipenda kimoyomoyo.

Kiukweli huyu Mchepuko niwale Wanawake wnye Moyo wakupenda.


Ila Sasa tatizo anapenda Kwa dhati na anapenda sana daaah Mimi sitaki Ivo, na hao Wanawake wameshapata namba yangu na Lazima niwale !!.


Yaan Hawa Wanawake ukiwa Umeona au una mwanamke mzuriii au unajiweka safiii tuuu + uwe na kazi yako ,daaah watakufukuzia sanaaa.

hapa Ndipo nmekumbuka Maneno ya Mzee wangu aliwah niambia miaka ya nyumaa "Kijana wangu siku nilipoacha kufukuzana na Wanawake nikaanza fukuzana na Thaman yangu, Wanawake wakianza kunifukuzia wenyewe "
 
Basi bana..

Mnakumbuka yule Mchepuko wangu mwenye Huduma fulan ambaye Huwa naenda kumsalimia? Kwenye ile orodha ya michepuko yangu baadhi ishirini na kitu nahivi nloiweka?.


Sasa Hana Ofisi yake Ile huduma yake Huwa inawateja wengi wakike.

Mara nyingi nikifika pale, Kuna ninaowakuta ,wengine wananikuta.

Bad thing niliondoka, wanaanza kumuuliza yule Mchepuko wangu..

Huo mkaka umnafahamiana? Mkaka msafi sana anaonekana anaakili, Mkaka nimetokea kumpenda jamani, unanamba yake?.


Kiukweli huyu Mchepuko mwanzon aliona kawaida, ila Wanawake wenzie wamezidi kumsumbua sanaaa .


Mpaka amefikia wakati, ananiuliza hivi G una Dawa??? Una tumia kizizi??

Hali hii imemfanya Mchepuko azidi kunipenda sana, na amekua na wivu sana, sahizi nikifika pale, muda wote ananiita 'Mume wangu'.


Juzi , Kagaombana na Wanawake wa pale karibu na kazin kwake ,Wanawake watatu.

Alafu hao Wanawake watatu, maajabu nikwamba, Kila mwanamke ananipenda kimoyomoyo.

Kiukweli huyu Mchepuko niwale Wanawake wnye Moyo wakupenda.


Ila Sasa tatizo anapenda Kwa dhati na anapenda sana daaah Mimi sitaki Ivo, na hao Wanawake wameshapata namba yangu na Lazima niwale !!.


Yaan Hawa Wanawake ukiwa Umeona au una mwanamke mzuriii au unajiweka safiii tuuu + uwe na kazi yako ,daaah watakufukuzia sanaaa.

hapa Ndipo nmekumbuka Maneno ya Mzee wangu aliwah niambia miaka ya nyumaa "Kijana wangu siku nilipoacha kufukuzana na Wanawake nikaanza fukuzana na Thaman yangu, Wanawake wakianza kunifukuzia wenyewe "
mkuu wewe umeshawaelewa wanawake vizuri,tafsiri yake unakaribia kutoeka duniani
 
Back
Top Bottom