Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Umeamua kuongeaBinti kuwa na heshima nina 57 years nina uwezo wa kukuzaa ww hata kukuzalisha kaa chonjo sio wote ni watoto humu ndani 😠
57-40= 17
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeamua kuongeaBinti kuwa na heshima nina 57 years nina uwezo wa kukuzaa ww hata kukuzalisha kaa chonjo sio wote ni watoto humu ndani 😠
😂😂😂Anatafuta kuonekana
Anatafuta tunote kama na kenyewe kapo hewani
Vitoto hivyo vya baleghe ya 2000s
Sio kukariri mkuu bali hawa akina Robert Heriel ni wanafasihi na fasihi ya sasa sio ya kusoma vitabu tu bali hata haya madudu ya social networkWatu Wengine humu Jukwaani mnajitahidi kukariri ID za watu, hongera sana
Kuna dogo anajina la Sinza we huyo na WCB ni maji na samaki,tena ukiongelea vibaya wasafi yuko tayar uyaoge matusiCategory ya mziki hakuna mtetezi?
Jasiri haachi asiliiiKwenye chama chenu cha mizagamuano mnitoe bob .. nimebaki kwenye cha wizi tu
Mara oohHaina show show
Hainaga shobo wallah
Huwa siwakawizi Wapuuzi na Wanafiki kama huyo. Na hapo Nimemstahi tu kwani siku hizi nakaribia Kuokoka.
Asante sana mtani Kalpana 👏👏👏👏👏 tuko pamoja. Leo tunawakaribisha muone kandanda ya kimataifa kutoka 💛💚 😂😂😂😂😂😂Kwenye Ushindani wa mpira yani iwe Simba iwe Yanga yumo nampa credits mtani wangu Bantu Lady...ww ni mwana Uto ila nakukubali
Sio kukariri mkuu bali hawa akina Robert Heriel ni wanafasihi na fasihi ya sasa sio ya kusoma vitabu tu bali hata haya madudu ya social network
mbona mimi simo mkuu au mpka bahasha ndo niingie kwenye hiyo list?
Kweli bwana na sasa hivi ukikaa kizembe unajikuta mfumo umekutema siku nyingi,ila shida kwa serikali zetu hizi za Tz & Burundi wanashindwa kuandaa mazingira wezeshi kwa wajasiriamali wa kidigitali kuweza kupiga pesa sijui tatizo ni nini🤣🤣🤣
Dunia iko kasi Mkuu
Kweli bwana na sasa hivi ukikaa kizembe unajikuta mfumo umekutema siku nyingi,ila shida kwa serikali zetu hizi za Tz & Burundi wanashindwa kuandaa mazingira wezeshi kwa wajasiriamali wa kidigitali kuweza kupiga pesa sijui tatizo ni nini
chukua time fala we,mbona hujajitaja kama unachukia wanawake..........................