Hawa ndio Warembo waliouawa kwa kutembea uchi huko Iran

Hawa ndio Warembo waliouawa kwa kutembea uchi huko Iran

BAKIIF Islamic

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2021
Posts
600
Reaction score
1,843
Biblia na Qur'an ziko pamoja na nchi ya Iran, unaweza usitamani kutembea uchi lakini ukawatetea wanaotembea uchi. Kufurahia mwanamke kutembea uchi elewa umefurahia mama wa mtu kuwa uchi.

Naanza kwa kumnukuu mwana JF Donatila aliwahi kuandika humu

''Kama mjuavyo utandawazi umezidi kukua, umekuja na faida lakini pia umekuja na hasara zake hasa katika upande wa mavazi ya wanawake yamezidi kuwa ya utupu.

Sasa mavazi ya utupu yamekuwa yanaonekana ya kawaida ila kiuhalisia ni aibu tena aibu kubwaa sana. Wanaume saivi wameshakomaa yani hata hawavurugwi tena na maungo ya kike. Sababu ni kuonyesha maungo hayo wazi, sasa hawaoni jipya maana wanaona hadharani kwa sana.

Yani sasa ivi utakuta mama mtu mzima anavaa nguo fupi ukiangalia utupu ulee. Njoo sasa maofosini utakuta wadada wanavaa visiketi yani akikaa unaona maini yaleeeee... Huko barabarani sasa utakuta vibinti yani vinejaliwa nyama sasa yani wanavaa vazi unaona utumbo ulee...

Sasa ukija kwa upande wa hawa watoto wetu wadogo wanaokuwa, wanajifunza vile vile...

Tunatengeneza kizazi cha namna gani? Kama watoto nao wataona ni kawaida.''

Mwisho wa kunukuu
.........................................
Leo hii dunia nzima imesimama juu ya kupinga vazi la hijabu na huku likihusishwa tukio la kuuwawa kwa Mahsa Amini ndani ya Iran na maandamano yake kua ni chachu ya kuvunjwa kwa haki za kibinaadamu.

Ajenda hii imekua kubwa ndani na nje ya Irani, na hasa kutokana na kubebwa na vyombo kadhaa vya habari ambavyo ajenda ya vyombo hivyo ni kuhakikisha wanasimamia na kuupeleka mbele ustaarabu wa kimagharibi ulimwenguni, kwa kuupamba na kuonyesha ubaya wa ustaarabu wowote ambao unapingana na wa kwao na hasa unalengwa sana uislamu kwasababu ukristo wamesha malizana nao.

Leo wanaadamu watakua sambamba na wamagharibi juu ya miito yao ya kutetea kuvuliwa kwa vazi la hijabu, lakini kesho watakua kinyume nao juu ya ajenda zao ima za ushoga au nyenginezo.

Imani hizi hizi ndio zimefundisha stara (mavazi ya heshima) lakini tunapinga hilo, ila imani hizi ndio zilizokataza ushoga, hapa tunaunga mkono dini.

Bila ya shaka mwanaadamu yupo njia panda hajui wapi pakuelekea.
Na pia mwanaadamu wa sasa amepoteza uwezo wake wa kufikiri, hali inayopelekea hata kutoelewa muelekeo wa siasa na ustaarabu wake ulimwengu unaelekea muelekeo gani.

Tafakari, tusaidiane kutafakari pia.


Nika Shakarami (16)
1665392838438.png


Hadis Najafi (23)
1665392956214.png

1665392999838.png


Sarina Esmailzadeh (16)
1665393715433.png


Hana Kia (20)
1665393912609.png
 
Watajuana na lidini lao hilo la kishetani
Biblia inasema nini kuhusu mavazi ya wanawake? Basi ukristo ndio itakuwa dini ya kishetani kama ni hivyo.

Suruali ni mojawapo ya mavazi yasiyo na adabu kwa wanawake.
Mwanzilishi wa mavazi ni Mungu mwenye aliyetufanyia sisi mavazi wanadamu [MWANZO 3:21]. Na kama Mungu hangekuwa hajali Wala haangalii issue ya mavazi, basi kwanini asingewaacha wanadamu bado wakaeendelea kuwa uchi?
Lakini Mungu hakufanya hivyo, bali aliwafanyia mavazi yake yaliyokuwa bora zaidi tofauti na yao yaliyokuwa hayawasitiri vizuri uchi wao [ MWANZO 3:7, 21]. Mwanamke asivae MAVAZI YAMPASAYO mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo NI MACHUKIZO KWA BWANA, Mungu wako. Tena bado hata katika Agano jipya kwa kukazia issue hiyo hiyo ya mavazi vilevile akaendeleaa kusema mwanamke na ajipambe kwa mavazi ya kujisitiri [1 TIMOTHEO 2:9].
 
Yaache yauane hayo huko bwana sisi hayatuhusu. Dini gani haieleweki kutwa kutishana tu
Mwanzilishi wa mavazi ni Mungu mwenye aliyetufanyia sisi mavazi wanadamu [MWANZO 3:21]. Na kama Mungu hangekuwa hajali Wala haangalii issue ya mavazi, basi kwanini asingewaacha wanadamu bado wakaeendelea kuwa uchi?
Lakini Mungu hakufanya hivyo, bali aliwafanyia mavazi yake yaliyokuwa bora zaidi tofauti na yao yaliyokuwa hayawasitiri vizuri uchi wao [ MWANZO 3:7, 21]. Mwanamke asivae MAVAZI YAMPASAYO mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo NI MACHUKIZO KWA BWANA, Mungu wako. Tena bado hata katika Agano jipya kwa kukazia issue hiyo hiyo ya mavazi vilevile akaendeleaa kusema mwanamke na ajipambe kwa mavazi ya kujisitiri [1 TIMOTHEO 2:9].
 
Sheria nyingine ni non-sense.

Kwani kuvaa Hijab au baibui kufunika mwili wote ndio unakuwa sio muhuni?
Mwanzilishi wa mavazi ni Mungu mwenye aliyetufanyia sisi mavazi wanadamu [MWANZO 3:21]. Na kama Mungu hangekuwa hajali Wala haangalii issue ya mavazi, basi kwanini asingewaacha wanadamu bado wakaeendelea kuwa uchi?
Lakini Mungu hakufanya hivyo, bali aliwafanyia mavazi yake yaliyokuwa bora zaidi tofauti na yao yaliyokuwa hayawasitiri vizuri uchi wao [ MWANZO 3:7, 21]. Mwanamke asivae MAVAZI YAMPASAYO mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo NI MACHUKIZO KWA BWANA, Mungu wako. Tena bado hata katika Agano jipya kwa kukazia issue hiyo hiyo ya mavazi vilevile akaendeleaa kusema mwanamke na ajipambe kwa mavazi ya kujisitiri [1 TIMOTHEO 2:9]
 
Wapambabene na nchi zao

wafuate utaratibu waliozaliwa wakaukuta shida nini
Ni swala la muda tu, jiandae kufikiwa na utawala wa kimagharibi unaohalalisha ushoga na kutembea uchi.

Mwanzilishi wa mavazi ni Mungu mwenye aliyetufanyia sisi mavazi wanadamu [MWANZO 3:21]. Na kama Mungu hangekuwa hajali Wala haangalii issue ya mavazi, basi kwanini asingewaacha wanadamu bado wakaeendelea kuwa uchi?
Lakini Mungu hakufanya hivyo, bali aliwafanyia mavazi yake yaliyokuwa bora zaidi tofauti na yao yaliyokuwa hayawasitiri vizuri uchi wao [ MWANZO 3:7, 21]. Mwanamke asivae MAVAZI YAMPASAYO mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo NI MACHUKIZO KWA BWANA, Mungu wako. Tena bado hata katika Agano jipya kwa kukazia issue hiyo hiyo ya mavazi vilevile akaendeleaa kusema mwanamke na ajipambe kwa mavazi ya kujisitiri [1 TIMOTHEO 2:9]
 
Biblia na Qur'an ziko pamoja na nchi ya Iran, unaweza usitamani kutembea uchi lakini ukawatetea wanaotembea uchi. Kufurahia mwanamke kutembea uchi elewa umefurahia mama wa mtu kuwa uchi.

Naanza kwa kumnukuu mwana JF Donatila aliwahi kuandika humu

''Kama mjuavyo utandawazi umezidi kukua, umekuja na faida lakini pia umekuja na hasara zake hasa katika upande wa mavazi ya wanawake yamezidi kuwa ya utupu.

Sasa mavazi ya utupu yamekuwa yanaonekana ya kawaida ila kiuhalisia ni aibu tena aibu kubwaa sana. Wanaume saivi wameshakomaa yani hata hawavurugwi tena na maungo ya kike. Sababu ni kuonyesha maungo hayo wazi, sasa hawaoni jipya maana wanaona hadharani kwa sana.

Yani sasa ivi utakuta mama mtu mzima anavaa nguo fupi ukiangalia utupu ulee. Njoo sasa maofosini utakuta wadada wanavaa visiketi yani akikaa unaona maini yaleeeee... Huko barabarani sasa utakuta vibinti yani vinejaliwa nyama sasa yani wanavaa vazi unaona utumbo ulee...

Sasa ukija kwa upande wa hawa watoto wetu wadogo wanaokuwa, wanajifunza vile vile...

Tunatengeneza kizazi cha namna gani? Kama watoto nao wataona ni kawaida.''

Mwisho wa kunukuu
.........................................
Leo hii dunia nzima imesimama juu ya kupinga vazi la hijabu na huku likihusishwa tukio la kuuwawa kwa Mahsa Amini ndani ya Iran na maandamano yake kua ni chachu ya kuvunjwa kwa haki za kibinaadamu.

Ajenda hii imekua kubwa ndani na nje ya Irani, na hasa kutokana na kubebwa na vyombo kadhaa vya habari ambavyo ajenda ya vyombo hivyo ni kuhakikisha wanasimamia na kuupeleka mbele ustaarabu wa kimagharibi ulimwenguni, kwa kuupamba na kuonyesha ubaya wa ustaarabu wowote ambao unapingana na wa kwao na hasa unalengwa sana uislamu kwasababu ukristo wamesha malizana nao.

Leo wanaadamu watakua sambamba na wamagharibi juu ya miito yao ya kutetea kuvuliwa kwa vazi la hijabu, lakini kesho watakua kinyume nao juu ya ajenda zao ima za ushoga au nyenginezo.

Imani hizi hizi ndio zimefundisha stara (mavazi ya heshima) lakini tunapinga hilo, ila imani hizi ndio zilizokataza ushoga, hapa tunaunga mkono dini.

Bila ya shaka mwanaadamu yupo njia panda hajui wapi pakuelekea.
Na pia mwanaadamu wa sasa amepoteza uwezo wake wa kufikiri, hali inayopelekea hata kutoelewa muelekeo wa siasa na ustaarabu wake ulimwengu unaelekea muelekeo gani.

Tafakari, tusaidiane kutafakari pia.


Nika Shakarami (16)
View attachment 2382504

Hadis Najafi (23)
View attachment 2382508
View attachment 2382509

Sarina Esmailzadeh (16)
View attachment 2382521

Hana Kia (20)
View attachment 2382529
Kwani kuvaa hijabu ndio kuwa mcha Mungu!? Mioyo yetu anaijua Mwenyezi Mungu, kumhukumu mtu kwa kumuua kisa eti hajavaa hijabu ni ujinga wa hizi imani zilizoletwa kwenye majahazi
 
Yaache yauane hayo huko bwana sisi hayatuhusu. Dini gani haieleweki kutwa kutishana tu
Kweli kabisa, dini ya kuchinjana kulipuana na mabomu, kulazimishana kusilimu, sijui Mungu wao anakwama wapi!!? Wafuasi wake wanatumia nguvu kubwa Sana kutangaza imani yao
 
Nyie Ma-mullah na Ma-Ayatollah wapeni waacheni wanawake wa Iran wawe huru. Hamna haki yoyote ya kuwapingia wavae kadri ya matakwa yenu.
Biblia na Qur'an ziko pamoja na nchi ya Iran, unaweza usitamani kutembea uchi lakini ukawatetea wanaotembea uchi. Kufurahia mwanamke kutembea uchi elewa umefurahia mama wa mtu kuwa uchi.

Naanza kwa kumnukuu mwana JF Donatila aliwahi kuandika humu

''Kama mjuavyo utandawazi umezidi kukua, umekuja na faida lakini pia umekuja na hasara zake hasa katika upande wa mavazi ya wanawake yamezidi kuwa ya utupu.

Sasa mavazi ya utupu yamekuwa yanaonekana ya kawaida ila kiuhalisia ni aibu tena aibu kubwaa sana. Wanaume saivi wameshakomaa yani hata hawavurugwi tena na maungo ya kike. Sababu ni kuonyesha maungo hayo wazi, sasa hawaoni jipya maana wanaona hadharani kwa sana.

Yani sasa ivi utakuta mama mtu mzima anavaa nguo fupi ukiangalia utupu ulee. Njoo sasa maofosini utakuta wadada wanavaa visiketi yani akikaa unaona maini yaleeeee... Huko barabarani sasa utakuta vibinti yani vinejaliwa nyama sasa yani wanavaa vazi unaona utumbo ulee...

Sasa ukija kwa upande wa hawa watoto wetu wadogo wanaokuwa, wanajifunza vile vile...

Tunatengeneza kizazi cha namna gani? Kama watoto nao wataona ni kawaida.''

Mwisho wa kunukuu
.........................................
Leo hii dunia nzima imesimama juu ya kupinga vazi la hijabu na huku likihusishwa tukio la kuuwawa kwa Mahsa Amini ndani ya Iran na maandamano yake kua ni chachu ya kuvunjwa kwa haki za kibinaadamu.

Ajenda hii imekua kubwa ndani na nje ya Irani, na hasa kutokana na kubebwa na vyombo kadhaa vya habari ambavyo ajenda ya vyombo hivyo ni kuhakikisha wanasimamia na kuupeleka mbele ustaarabu wa kimagharibi ulimwenguni, kwa kuupamba na kuonyesha ubaya wa ustaarabu wowote ambao unapingana na wa kwao na hasa unalengwa sana uislamu kwasababu ukristo wamesha malizana nao.

Leo wanaadamu watakua sambamba na wamagharibi juu ya miito yao ya kutetea kuvuliwa kwa vazi la hijabu, lakini kesho watakua kinyume nao juu ya ajenda zao ima za ushoga au nyenginezo.

Imani hizi hizi ndio zimefundisha stara (mavazi ya heshima) lakini tunapinga hilo, ila imani hizi ndio zilizokataza ushoga, hapa tunaunga mkono dini.

Bila ya shaka mwanaadamu yupo njia panda hajui wapi pakuelekea.
Na pia mwanaadamu wa sasa amepoteza uwezo wake wa kufikiri, hali inayopelekea hata kutoelewa muelekeo wa siasa na ustaarabu wake ulimwengu unaelekea muelekeo gani.

Tafakari, tusaidiane kutafakari pia.


Nika Shakarami (16)
View attachment 2382504

Hadis Najafi (23)
View attachment 2382508
View attachment 2382509

Sarina Esmailzadeh (16)
View attachment 2382521

Hana Kia (20)
View attachment 2382529
 
Waarabu na watu wengine wengi wa dini yako kila siku wanakimbilia kujazana Ulaya na Marekani, wengine hadi wanafia baharini.
Ni swala la muda tu, jiandae kufikiwa na utawala wa kimagharibi unaohalalisha ushoga na kutembea uchi.

Mwanzilishi wa mavazi ni Mungu mwenye aliyetufanyia sisi mavazi wanadamu [MWANZO 3:21]. Na kama Mungu hangekuwa hajali Wala haangalii issue ya mavazi, basi kwanini asingewaacha wanadamu bado wakaeendelea kuwa uchi?
Lakini Mungu hakufanya hivyo, bali aliwafanyia mavazi yake yaliyokuwa bora zaidi tofauti na yao yaliyokuwa hayawasitiri vizuri uchi wao [ MWANZO 3:7, 21]. Mwanamke asivae MAVAZI YAMPASAYO mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo NI MACHUKIZO KWA BWANA, Mungu wako. Tena bado hata katika Agano jipya kwa kukazia issue hiyo hiyo ya mavazi vilevile akaendeleaa kusema mwanamke na ajipambe kwa mavazi ya kujisitiri [1 TIMOTHEO 2:9]
 
Biblia inasema nini kuhusu mavazi ya wanawake? Basi ukristo ndio itakuwa dini ya kishetani kama ni hivyo.

Suruali ni mojawapo ya mavazi yasiyo na adabu kwa wanawake.
Mwanzilishi wa mavazi ni Mungu mwenye aliyetufanyia sisi mavazi wanadamu [MWANZO 3:21]. Na kama Mungu hangekuwa hajali Wala haangalii issue ya mavazi, basi kwanini asingewaacha wanadamu bado wakaeendelea kuwa uchi?
Lakini Mungu hakufanya hivyo, bali aliwafanyia mavazi yake yaliyokuwa bora zaidi tofauti na yao yaliyokuwa hayawasitiri vizuri uchi wao [ MWANZO 3:7, 21]. Mwanamke asivae MAVAZI YAMPASAYO mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo NI MACHUKIZO KWA BWANA, Mungu wako. Tena bado hata katika Agano jipya kwa kukazia issue hiyo hiyo ya mavazi vilevile akaendeleaa kusema mwanamke na ajipambe kwa mavazi ya kujisitiri [1 TIMOTHEO 2:9].
Hajasema wabakishe vimacho tu, amesema wasivae mavazi ya kiume Sasa huko uingereza askari wa mfalme wanavaa sketi, sijui unasemeaje hilo!!
 
Back
Top Bottom