Heavy Metal
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 881
- 2,077
Winga moja matata sana alikua anateleza kama risasi ndo maana akapewa jina la SMG. Kacheza Simba na Yanga ila Yanga ndo alidumu zaidi pakawa nyumbani kwake, hata alipoondoka kwenda Angola kucheza soka la kulipwa alivyorudi akapewa kazi Yanga hadi leo anatumika kama kocha wa timu za vijanahuyu 14:Said maulid SmG nasikia ulikua moto wa tanuru ,kaa nae mbali kabisa
Naongezea kidogoWewe tutakuwa tunalingana kiumri, mimi pia nilikuwa shule ya msingi na nilimpenda zaidi Nadir Haroub Cannavaro.
Ngoja niongeze list
12. Shadrack Nsajigwa
13. Amri Kiemba
14. Jerry Tegete
15. Erasto Nyoni
16. Ulimboka Mwakingwe
17. Mgosi
18. Victor Costa
19. Selemani Matola
N.k
Kwanini aliitwa zigzag?Said mwamba kizota ilikuwa machine ya ufungaji nayo
Nmewakumbuka wakina gagarino,kuna huyu wa nyuma kdg
John makelele zigzag
Ova
30. Athumani Idd ‘chuji’Naongezea kidogo
20. Amiri maftah
21. Ramadhan chombo "Redondo"
22. Mohammed banka
23. Mwinyi kazimoto
24. Henry Joseph shindika
25. Haruna moshi Boban
26. Juma K Juma
27. Ivo mapunda
28. Jaja mabao..😁
29. Jeri santo
30.
Hahahaa kumbe bado watoto sana nyie 😀.Hzi
Hizi ndio zilikuwa zama zetu, Edibili Lunyamila, Steven Nemes, Method Mogela, Zamoyoni Mogella, Said Mwamba Kizota, nk nk.
kumbe bado yupo, sioni akipewa airtime kwenye mediaWinga moja matata sana alikua anateleza kama risasi ndo maana akapewa jina la SMG. Kacheza Simba na Yanga ila Yanga ndo alidumu zaidi pakawa nyumbani kwake, hata alipoondoka kwenda Angola kucheza soka la kulipwa alivyorudi akapewa kazi Yanga hadi leo anatumika kama kocha wa timu za vijana
daah kuna braza alikua maarufu sana mitaa ya kwetu miaka ya 2002 ,kumbe jina la kidilu alitoa hukoNakuongezea na hiki kizazi cha dhahabu cha Mtibwa Sugar wazee wa Manungu Turiani Morogoro:
1. Godfrey Kikumbikizi
2. Geoffrey Magoli
3. Steven Nemes
4. Monja Liseki
5. John Mabula
6. Rajab Msuoma
7. Kassim Mwabuda
8. Ramadhan Hamza ‘Kidilu’
9. Kamba Luffo
10. Mecky Maxime
11. Salhina Mjengwa
12. Abubakar Mkangwa
13. Kassim Issa Bedwi
14. Noah Kilimanjaro
15. Zuberi Katwila..
my agemate for sure.Wewe tutakuwa tunalingana kiumri, mimi pia nilikuwa shule ya msingi na nilimpenda zaidi Nadir Haroub Cannavaro.
Ngoja niongeze list
12. Shadrack Nsajigwa
13. Amri Kiemba
14. Jerry Tegete
15. Erasto Nyoni
16. Ulimboka Mwakingwe
17. Mgosi
18. Victor Costa
19. Selemani Matola
N.k
huyu mohamed mwameja nilisikia tetesi kuwa amewahi kuihujumu simba , na wanadai mpaka sasa yuko njema sana kiuchumi!1. Stivin Nemmence (jamaa alikuwa bonge bonge lakini bonge moja la kipa kuwahi kutokea.
2. Sekilojo Chambua (Tukuyu stars akaja YANGA
3. Niko Bambaga (Tukuyu stars
4. Asanga Aswile (Tukuyu stars
5. David Kufakunoga (Tukuyu stars
6. Likupilika Mkoba (Tukuyu stars
TUKUYU STARS ENZI HIZO IKIJULIKANA BANYAMBALA yaani WANAUME.
Nimewataja wengi wa Tukuyu stars ksbb mkoa wa Mbeya hususani wilaya zake una historia kubwa kwenye soka la bongo. Huo mkoa umezalisha wachezaji wengi ligi ya bongo.
Pia Tukuyu stars ilipanda daraja moja kwa moja na kuchukua ubingwa wa bara. Kuna mwaka Tukuyu stars iliiokoa simba kushuka daraja. Hiyo mechi japo nilikuwa mdogo,lakini nakumbuka,ilichezewa Sokoine mjini mbeya,ili kunusuru simba isishuke Tukuyu stars ikafungwa goli kitu kama 6. Hiyo mechi ilikuwa ya mwisho wa ligi. Simba ingedroo au hata kushinda chini ya magoli 6 ingeshuka daraja. Kwa sababu ya historia YANGA na simba ingekuwa aibu simba kushuka. Kwa hiyo Tukuyu stars ikashuka badala ya simba. Mwaka uliofuata ikapanda tena daraja.
Wenye kujua zaidi hapa wanaweza kujazia na kunisahihisha. HISTORIA
7. Edibilly Jonas Lunyamila (bonge moja la mshambuliji(alitokea nadhani Tabora huko,akachezea kwa mafanikio sana YANGA. (Sasa hivi nafikiri yuko kwenye uongozi TFF)
8. Fumo Ferisian
9. Pawasa (kutoka pamba,enzi hizo ikisifika wana TP Lindanda-sijui ilikuwa na maana gani? Akachezea kwa mafanikio simba
10. George Masatu pia alitokea pamba akaenda simba
10. Mhamed mwameja (Simba)
hahaaa hapo kwa majajaNaongezea kidogo
20. Amiri maftah
21. Ramadhan chombo "Redondo"
22. Mohammed banka
23. Mwinyi kazimoto
24. Henry Joseph shindika
25. Haruna moshi Boban
26. Juma K Juma
27. Ivo mapunda
28. Jaja mabao..😁
29. Jeri santo
30.
nilikua bado kid or sijazaliwa kabisaBila shaka wewe ni mdogo angu. Mimi nimeanza kufatilia mpira around darasa la 3-4 hivi nimekuta kizazi cha wakina Lunyamila, sekilojo chambua, madaraka selemani, mwamed mwameja, peter manyika n.k
haloo, faza sio poa.Hahahaa kumbe bado watoto sana nyie 😀.
Enzi zangu mimi: Iddi Pazi, Juma Pondamali, Hamisi Gaga, Nteze John, Malota Soma, Moses Mkandawile, Musa Kihwelu, Mohammed Kajole, Lilla Shomari, Nico Njohole, Sunday Juma, Mohammed Mwameja, Ramadhani Leny, Hussein Masha, Laurence Mwalusako, Godwin Aswile, kasongo Athumani….
Naweza hata kwenda kwa majirani kwa akina Wilberforce Mulamba au hata kwa akina Kalusha Bwalya. Nikiamua naweza kufika hadi kwa akina Rashidi Yekini na akina Cyril Makanaky 🤣🤣
Nami nipo around age iyo iyo, nilianza shule mapema sana.nilikua bado kid or sijazaliwa kabisa
coz mpaka sasa niko around 27yr
basi umezaliwa town, ki bush bush miaka 7-8 ndio unaanza primaryNami nipo around age iyo iyo, nilianza shule mapema sana.
huyu Hassan Affif ndio baba yake na akram affif anayechezea Quatar?Kitwana selemani,Hussein mwakuruzo,Clement kahabuka,mkama Ntale,issa manofu,kufa kunoga,mtemi Ramadhan,Hassan Afif,mavumbi Omari,makumbi juma,juma mkambi,sahau kambi,Lila shomari,Twarib Hilali,Twaha Hamidu,Abdul Meets,Thomas kipese,saidi korongo,idrisa ngulungu,Thomas nkoma,ibrahimu magongo
Hzi
Hizi ndio zilikuwa zama zetu, Edibili Lunyamila, Steven Nemes, Method Mogela, Zamoyoni Mogella, Said Mwamba Kizota, nk nk.
Kuna akina abedi mziba, Moses mkandawile, Niko bambaga, mandata rubigisa , fumo felisian, Makumbi Juma, athumani china, jastin mtekele, malota soma, Christian sikinde mbunga, deogratias muhani, Juma mgunda, sahau kambi , smart boy husein Masha, twaha hamidu, idrisa ndunguru, fled Felix minziro, na wengine wengi
Hapa hapanifai kutokana na umri, nikajua ningeona majina ya Kina Kenneth Mkapa, Zamoyoni Mogela, Issa Athumani, Fumo Felician, George Masatu na wengineo.