Hawa ndio Wenye Kurithi Pepo ya Firdaus

Shukran baby zu Uzi swafi japo mleta Uzi anauwasilisha kimasihara....haraka haraka nikachungulia Surat Muuminuna ,,,Basi ukhty Nuzulati Uzi unamfaa Sana...

Swala za eid mpk eid SubhanaLLAH Mtihani Sana..
Madam Nurain wakati mwingine ili ujumbe ufike vizur inabidi uuwasilishe Kwa namna ambayo haiboi na inafurahisha ili msomaji apate ujumbe.

Ebu imagine hapa Jf halafu unaleta mawaidha Kama upo msikitini au kanisani inakuwaje madam!
 

Mkuu kama shetani hana nguvu kwa binadamu, mbona inataarifiwa kwamba Shetani alim-control Mtume wenu muhammad kuongea maneno ya shetani ie "satanic verses"......lakini kama hiyo haitoshi mtume wenu alirogwa na kupagawa na majini.....hii imekaaje mkuu?
 
Wapendwa nitakuja kujibu hoja nyingine baadae,Leo ijumaa najitayarisha kwenda masjid mapema

Shukrani.
 

Hiyo pepo ya firdaus ndo mahouri 72 na mito ya pombe au?
 
wale bikira 72 na kamto ka wine ni daraja la ngapi shehe?ili nisije nikachanganya
 
Ameuleta vema ili uwafikie na wale wa kulana kimasihara maana angeeka tu zile aya kumi za mwazo za suraht muuminun wala wasingeusoma kwan wao wanataka masihara nyakati zote
Shukran baby zu Uzi swafi japo mleta Uzi anauwasilisha kimasihara....haraka haraka nikachungulia Surat Muuminuna ,,,Basi ukhty Nuzulati Uzi unamfaa Sana...

Swala za eid mpk eid SubhanaLLAH Mtihani Sana..
 
Asante sana mkuu Kwa andiko zuri. Naomba uendelee kufafanua sadaka na zaka. Jummah Kareem
 

Ngoja kopostiwe kiti cha kopbavu utaona comment zikitiririka
 
Ukweli ni kwamba jambo kuu kwa binadamu yeyote kulifanya wakati wa maisha yake ni kumpenda Bwana Mungu Mwenyezi kwa moyo wote na kumpenda jirani kama nafsi yake. Mengine ni mambo ya kimwili tu na hayana maana sana.
 
"Hakika katika pepo kuna daraja mia moja ameziandaa allah kwaajili ya wenye kupigana katika njia ya allah, baina ya daraja mbili ni kama baina ya mbingu na ardhi".
الرسول عليه الصلاة والسلام
 
Hizi dini za michongo bila kutishana tishana mara kifo mara sijui kaburi..yani ni full vitisho.

Halafu mungu mbaguzi yani kaweka watu kwa mafungu mafungu..kwahiyo wale watakao pewa mabikra na mito ya pombe wao pepoyao namba ngapi.??

Inahitaji kujitoa akili kuamini hizi ngonjera.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ameuleta vema ili uwafikie na wale wa kulana kimasihara maana angeeka tu zile aya kumi za mwazo za suraht muuminun wala wasingeusoma kwan wao wanataka masihara nyakati zote
Sahihi kabisa,,vijana lazma tuambiane ukweli,,,silaha ya muislamu Ni kumcha Allah kinyume chake lazma tuambiwe kuwa tutaingia Jahannam.
 
Kila pepo ina Allah wake au Allah huyu huyu atakua anatembelea pepo zote kwa wakati tofauti
Kwani kila mkoa una rais wake? Au rais wa nchi ndie huwa wa mikoa yote?.
Firauni alikuwa mwenye kiburi zaidi ya wanaadamu wote, mwenye jeshi na nguvu mpaka leo makaazi yake yapo Egypt. Lakini muda wake wa kuishi ulipofika aliondoka, usiwe na kiburi ndugu kwenye imani.
 
Hakuna aliyekutisha ,,wewe baki na msimamo wako na hulazimishwi na Wala hakuna wa kukushikia mtutu ila ukweli lazima usemwe,

,Allah amebainisha njia mbili tu eidha tushukuru au tukufuru..Kwamba Kuna Haki na batili,,pepo na Moto,,,wema na uovu, nk ... Kwhy kazi kwako kufuata utakacho na sisi hatuwezi kufuata wapotevu eti dini zililetwa na mashua na meli,,


Allah mtukuka anasema ..Enyi waumini msichanganye haki na batili na mkaiacha haki hali ya kuwa mnaijua...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…