Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli za mchongo lol.
 
Wewe fala sana,kwa hiyo unataka kuleta Upinzani gani hapa?
Genesis 6:6 Mwenyezi-Mungu alisikitika sana kwa kumuumba binadamu duniani. Mwenyezi-Mungu alihuzunika sana moyoni mwake

Hivi mimi na huyo Mungu wako nani fala?
 
Wala tusiende Mbali Afande sele aliwahi kumdhihaki Mungu na bado tuko nae anadunda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duniani kuna miungu mingi sana huyo jehova au allah ni mungu wa juzi juzi tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aiseeeh mie pia nimeshashindwa hata kujilazumisha kukubali huo ufuasi wa dini.
 
Hakna lolote n uongo mtupu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umemaliza kabisaaa, ndyo ukweli wenyewe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu ni uongo wa wazi kabisaa, nyie wafia dini hapana kwa kweli. Khaaaah
 
Ewaaaaaaaah.
 
Mimi nina hoja ya kuthibitisha Mungu hayupo

Kwasababu mimi ndio Mungu wa kweli na Mungu unayemdhania wewe sio wa kweli hayupo

Unabisha?

Kama unabisha thibitisha mimi sio Mungu wa kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walisema ameomba radhi ila baada ya kusikia kuna njama za watu kumfata na mapanga usiku

So wangemkata na mapanga halafu wanegekuja na kauli kua ni laana ya Mungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseeeeeh kwa kweli lol.
 
kwahiyo unataka utuambie ugonjwa wa Hawking ulitokana na yeye kutomuamini huyo mungu wenu?
Acha vioja bwana mkubwa!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nani aliyewahi huthibitishwa vipimo na dr Kwamba hatakuja kuzaa watoto na akaenda mbele za mungu na akapata huyo mtoto?
Lete uthibitisho Sio maneno maneno ya hear say hapa!
Tu prove wrong maana nyie watu hamuishiwi uongo uongo na dramas!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa ajali ya chombo halafu mnasema hakionekani[emoji1787][emoji1787][emoji2962][emoji2962][emoji2962]story za mavampaya

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full vituko khaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…