LegalGentleman
Member
- Oct 26, 2021
- 99
- 294
- Thread starter
-
- #41
Amina English beatiful lady. May Almight GOD who sent his beloved son be with you this day tooMungu alikuwepo, yupo na atakuwepo.
Kifo kakiweka yeye baada ya mwanadamu kufanya dhambi.
Na tunakufa ili twende kuishi maisha ya milele.
Tuambie wewe basi fikira zilizopevu, akili na maarifa tuachane na ujinga basiujinga mtupu
Unaweza kuta umri wa Kiranga Ni sawa na Palamaganda Ila ndio hivyo ..Kama kwenye hiyo list kiranga ayupo nistory za kutunga
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nachozungumzia ni kuwa matatizo humkuta yeyote hiyo ni nature wala haitegemeani na jinsi unavyo mcha sana Mungu kwamba utakua upo salama.Nadhani tusome zaidi na kuelewa. Thank you for your big support in replying my thread ila mimi nimezungumzia waliomdhihaki Allah/Mungu moja kwa moja mbele ya umati au watu kadhaa. Pengine kuna waliowengi waliofanya hivyo na kuendelea kupata tabu kwenye hii dunia bila sisi kufahamu, tunazungumzia wale waliojitokeza wazi mbele ya adhara. Na sio kila kifo, Ajali, Maradhi kinatokana na kudhihaki kwa Allah. Mwisho Ndgu. SCARS unaamini katika Materialism au Idealism?
Hizo ni conspiracy tu zinawekwa kwa lengo la kuwaogopesha watu wasijaribu kumdhihaki MunguBinafsi nakubali Mungu yupo na anatenda.
Ila naona vifo vya hao waliotajwa inawezekana ni Coincidences tu watu wakaunganisha matukio ya mwisho walisems vipi au ni vifo kutokana na wale wanaoilinda dini ili izidi kuwa imara na kubrainwash binadamu juu ya ubora wa dini.
Umechangia vyema sana, na ambao hawakumdhihaki Mungu ndio asilimia kubwa sana na wanakufa vifo vibaya mno.
Namba 8 umetulisha tango pori chanzo cha kifo chake kilijulikana overdose ya madawa sasa Hao waliosema hawakupata chanzo waongo1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)
Wakati alipokuwa akihojiwa na mwandishi wa habari wa gazeti la American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966. Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.
2. TANCREDO NEVES (RAIS WA BRAZIL)
Alisema kwamba endapo angepata kura laki tano kutoka katika uchaguzi mkuu wa Brazil na kuwa rais, hata MUNGU asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa, akapata kura zaidi ya hizo, akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa, akafariki dunia.
3. CAZUZA (MWANAMUZIKI WA BRAZIL)
Alipokuwa katika shoo yake ndani ya jiji la Rio De Janeiro, alichukua sigara, akaanza kuivuta, akachukua nyingine na kisha kuirusha juu na kusema "Mungu, hiyo yako, chukua nawe uvute" Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu ambayo iliyaharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote yule.
4. MTENGENEZAJI WA MELI YA TITANIC.
Baada ya kutengeneza meli ya Titanic, mwanahabari akamuuliza ni kwa kiasi gani ilikuwa salama nae akajibu "Ni salama sana, haiwezi kuzama na hata Mungu hawezi kuizamisha" Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu Titanic.
5. BON SCOTT (MUIMBAJI)
Mwimbaji huyu ambaye alitamba miaka ya 70 alitoa wimbo wake mmoja mwaka 1979 wenye maneno haya "Don't stop me; I'm going down all the way, down the highway to hell'. Tarehe 19 February mwaka 1980, alikutwa amekufa baada ya kupaliwa na matapishi yake.
6. Mwanamke mmoja alikuwa akihofia sana kuhusu ulevi wa marafiki wa mtoto wake.
Wakati wanataka kuondoka na gari, akamshika mtoto wake mkono garini na kumwambia "Binti yangu, Mungu awatangulie katika safari yenu" Yule binti akajibu "Gari imejaa mama, huyo Mungu labda akae kwenye boneti la gari". Baada ya masafa fulani ya safari yao, gari lile lilipata ajali kiasi ambacho hata polisi hawakujua ni aina gani ya gari lilikuwa. Lilikuwa limebondeka sana na watu wote walikutwa wamekufa. Kilichowashangaza polisi, trey la mayai wala halikuonekana kuguswa na hakuna hata yai moja lililokuwa limevunjika na wakati gari lilibondeka mpaka kutokutambulika.
7. CHRISTINA HEWITT (MWANDISHI WA HABARI)
Huyu alikaririwa akisema hivi "Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya...kibaya na kibaya kama Biblia" Siku chache baada ya kusema maneno hayo, mwili wake ulikutwa umeunguzwa na moto ambao haikujulikana mpaka leo ule moto ulisababishwa na nini.
8. MARILYN MONROE (MUIGIZAJI)
Huyu alifuatwa na Bill Graham na kumwambia kwamba alitumwa na Roho wa Mungu kwa ajili ya kumhubiria. Alimkaribisha ndani, akamsikiliza kwa makini, alipomaliza akasema "Simuhitaji Yesu wako, unaweza kuondoka nae". Wiki moja baadae, alikutwa amekufa katika makazi yake. Polisi walijaribu kuchunguza kipi kilimuua, mpaka leo hawajapata jibu
hakuna kama Mungu.
Follow me on twiiter as LegalGentleman
Jibu hoja achana na vitisho!? Usiyaishi maisha ya kanisani, kila unachohubiriwa hutakiwi ku rethink logically wewe ni kusema Amen tu. Umiza kichwa hapo ndugu.Aiseee.
1. Mungu aliweka chaguo kati ya uzima na mema, kifo na mauti...akakuacha uchague,na Mungu anatupima tu utii na kumwamini yeye, suala la shetani halihusiki. Ni wewe tu kutii, hata hivyo shetani kafungwa kuzima miaka elfu.
2. Mungu anauwezo wa kufanya kila kitu lakini anapenda sana kutumia watu, alijionyesha kwa Adamu na Hawa kabla ya kukosa utii, alijionyesha au kuongea nao kwa aliowataka, Ibrahim na Musa lakini maeneo mengine yote alitumia watu, kwahiyo hata waafrika kusikia toka kwa mkoloni sio kosa, ni kazi ya Mungu.
Wewe acha tu kumfuata ila usijenhe hoja ili wenzako waache kuamini,
Kumchagua Mungu is a choice, Ila usimpomchagua jua kuwa umemchagua shetani.
Na kwa nini asingemuua tu huyo mtengeneza meli na kuipindua meli halafu watu wote wakaopolewa wakiwa hai ili kuuonesha ukuu wake!?Nachozungumzia ni kuwa matatizo humkuta yeyote hiyo ni nature wala haitegemeani na jinsi unavyo mcha sana Mungu kwamba utakua upo salama.
Kwa hiyo hata kwa hao uliowataja ifahamike kiujumla kua walipata matatizo ya kawaida tu bila kuhusisha element za laana.
Ukiniruhusu nitumie mfano wako wa huyo mmiliki wa meli ya titanic na kwa namna ulivyoeleza kua Mungu alizamisha meli kwasababu ya maneno ya dhihaka aliyoyatoa huyo mmiliki basi mwishoni hata mimi nitakosa busara ya uvumilivu hata mimi pia nitamdhihaki Mungu huyo
Kwasababu ile meli ilivyozama haikumuua mmiliki pekee, iliua watu wengi wakiwemo watoto wadogo wasio na hatia.
Kwanini Mungu anakua mpumbavu na kukosa huruma kwa watoto wadogo kuwaangamiza kwenye dhambi ambayo hawajahusika?
Watoto walichangia vipi kwenye hiyo dhihaka?
Haki ya Mungu hiyo paragraph ya mwisho imeniogepesha. Kuna watu wanajiamini sana.Duhhh! Taratibu basi jamaa!...
Hapo balance kdg sentensi kabla hali ya hewa haijachafuka humu😂Hizo ni conspiracy tu zinawekwa kwa lengo la kuwaogopesha watu wasijaribu kumdhihaki Mungu
Hii inafanana na ile ya kuwadanganya watu kua ukichana msaafu unageuka kiumbe cha ajabu.
Jibu hoja achana na vitisho!? Usiyaishi maisha ya kanisani, kila unachohubiriwa hutakiwi ku rethink logically wewe ni kusema Amen tu. Umiza kichwa hapo ndugu.
Imani ni ndio ndio mzee.Na kwa nini asingemuua tu huyo mtengeneza meli na kuipindua meli halafu watu wote wakaopolewa wakiwa hai ili kuuonesha ukuu wake!?
Mambo ya imani haya ukiwa wa ndio, ndio utapelekwa hovyo mnoo
Nimeshauelewa uelewa wako. AsanteImani ni ndio ndio mzee.
Ni hakika ya mambo yatarajiwayo bayana yasiyoonekana.
Hatutumij logic.
HOJA YAKO INAWEZA KUWA NA MASHIKO KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE. HATA HIVYO, UTENDAJI WA MUNGU (WA IBRAHIMU, ISAKA, NA YAKOBO; BABA WA BWANA WETU NA MWOKOZI WETU YESU KRISTO) UMEBADILIKA KWA NAMNA FULANI KTK AGANO HILI JIPYA LA KWELI NA NEEMA AMBAPO UHUSIANO WA BINADAMU NA MUNGU UNAJENGWA KWA IMANI ILIYO JUU YA MSINGI WA UPENDO. SIYO KWA MSINGI WA SHERIA KAMA ILIVYOKUWA WAKATI WA AGANO LA KALE. KUMBUKA KTK AGANO HILI MUNGU AMEWEKA SIKU MOJA TU ATAKAYOWAHUKUMU WANADAMU. ALIYEISHI KWA KUMWABUDU MUNGU KTK ROHO NA KWELI (ALIYEOKOKA) - HUKUMU YA KUURITHI UFALME WA MUNGU; ALIYEISHI MAISHA YA DHAMBI - HUKUMU YA KWENDA KUTUMIKIA ADHABU YA MOTO JEHANAMU.1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)
Wakati alipokuwa akihojiwa na mwandishi wa habari wa gazeti la American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966. Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.
2. TANCREDO NEVES (RAIS WA BRAZIL)
Alisema kwamba endapo angepata kura laki tano kutoka katika uchaguzi mkuu wa Brazil na kuwa rais, hata MUNGU asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa, akapata kura zaidi ya hizo, akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa, akafariki dunia.
3. CAZUZA (MWANAMUZIKI WA BRAZIL)
Alipokuwa katika shoo yake ndani ya jiji la Rio De Janeiro, alichukua sigara, akaanza kuivuta, akachukua nyingine na kisha kuirusha juu na kusema "Mungu, hiyo yako, chukua nawe uvute" Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu ambayo iliyaharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote yule.
4. MTENGENEZAJI WA MELI YA TITANIC.
Baada ya kutengeneza meli ya Titanic, mwanahabari akamuuliza ni kwa kiasi gani ilikuwa salama nae akajibu "Ni salama sana, haiwezi kuzama na hata Mungu hawezi kuizamisha" Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu Titanic.
5. BON SCOTT (MUIMBAJI)
Mwimbaji huyu ambaye alitamba miaka ya 70 alitoa wimbo wake mmoja mwaka 1979 wenye maneno haya "Don't stop me; I'm going down all the way, down the highway to hell'. Tarehe 19 February mwaka 1980, alikutwa amekufa baada ya kupaliwa na matapishi yake.
6. Mwanamke mmoja alikuwa akihofia sana kuhusu ulevi wa marafiki wa mtoto wake.
Wakati wanataka kuondoka na gari, akamshika mtoto wake mkono garini na kumwambia "Binti yangu, Mungu awatangulie katika safari yenu" Yule binti akajibu "Gari imejaa mama, huyo Mungu labda akae kwenye boneti la gari". Baada ya masafa fulani ya safari yao, gari lile lilipata ajali kiasi ambacho hata polisi hawakujua ni aina gani ya gari lilikuwa. Lilikuwa limebondeka sana na watu wote walikutwa wamekufa. Kilichowashangaza polisi, trey la mayai wala halikuonekana kuguswa na hakuna hata yai moja lililokuwa limevunjika na wakati gari lilibondeka mpaka kutokutambulika.
7. CHRISTINA HEWITT (MWANDISHI WA HABARI)
Huyu alikaririwa akisema hivi "Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya...kibaya na kibaya kama Biblia" Siku chache baada ya kusema maneno hayo, mwili wake ulikutwa umeunguzwa na moto ambao haikujulikana mpaka leo ule moto ulisababishwa na nini.
8. MARILYN MONROE (MUIGIZAJI)
Huyu alifuatwa na Bill Graham na kumwambia kwamba alitumwa na Roho wa Mungu kwa ajili ya kumhubiria. Alimkaribisha ndani, akamsikiliza kwa makini, alipomaliza akasema "Simuhitaji Yesu wako, unaweza kuondoka nae". Wiki moja baadae, alikutwa amekufa katika makazi yake. Polisi walijaribu kuchunguza kipi kilimuua, mpaka leo hawajapata jibu
hakuna kama Mungu.
Follow me on twiiter as LegalGentleman