Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Kikukwa cha kufahamu ni kwamba Mungu hadhihakiwi kwa namna yytNakupa list ya wachungaji na masheikh ambao hawakumdhihaki Mungu na walipata shida na kufariki
1. TB JOSHUA
2. MAMA LWAKATALE
3. STEPHEN AKNOLA
4. ISSA TURAY
5. WILSON BADEJO
Sheikh nooren mohammed hakumdhihaki Mungu lakini alikufa kwa ajali mbaya sana.
Sheikh Saeed bin nahynan huyu kafa siku nne zilizopita naye kwa ajali mbaya sana na hakumdhihaki Allah
Rashid bin Mohammed naye alikufa kwa shambulio la moyo na hakuwahi mdhihaki Mungu.
Na sio tu hao wapo wengi sana wamekufa na wengine wakipata shida pasipo hata kumdhihaki Mungu.
Kinachokufanya uone hao watu uliowataja kua wamepatwa na shida kutokana na wao kumdhihaki Mungu ni kipi? Nani asiyepata tabu hapa ulimwenguni?
Huyo Mungu wako historia ya dini inaonesha yeye ndio alikua muanzilishi wa kupata tabu baada ya vita yake na shetani ambapo shetani alizua utata huko juu mpaka akafanikisha kusepa na robo tatu ya malaika unafikiri tabu aliyoipata huyo Mungu ilikua ndogo?
Kwa hiyo nayeye tuseme alimdhihaki nani mpaka ikamfika hiyo tabu?