Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Naona pipa na mfuniko mnafarijiana.

Sasa unakataa kama tamko Imani si tamko la Kiarabu ? Unafikiri tamko Imani ni la asili ya Kibantu ?

Sasa mimi nakupa kazi niambie tamko Imani ni tamko la asili ya wapi ?
Sio la kiarabu tu, hebrew wanalitumia hilo na lina maana tofauti na hiyo unayoijua wewe
 
Kwani hivi ni kwamba haya mambo mnaya update au vipi mbona hii kitu niliisoma humu siku za nyuma sana na comments zakina Kiranga lakini leo tena nausoma ukiwa kama mpya kabisa eti 22 hours ago?
 
Ukiweka list ya watu waliomdhihaki Mungu wakapata shida, wakati kuna watu hawajamdhihaki Mungu na wamepata shida hizo hizo, na hata zaidi, list yako ni pointless.

Ni list ya ujuha mtupu.

usipanic sana kufa hakuhusiani na kumdhihaki Mungu au la wala kumkanusha au kumkubali.
Kifo ni kiumbe kama ulivyo wewe la muhimu kwako umejipangaje kuepuka kifo cha KIBUDU?
 
Kwani hivi ni kwamba haya mambo mnaya update au vipi mbona hii kitu niliisoma humu siku za nyuma sana na comments zakina Kiranga lakini leo tena nausoma ukiwa kama mpya kabisa eti 22 hours ago?
Hawana jipya, wanarudia na hata wanaporudia hawana hoja.
 
usipanic sana kufa hakuhusiani na kumdhihaki Mungu au la wala kumkanusha au kumkubali.
Kifo ni kiumbe kama ulivyo wewe la muhimu kwako umejipangaje kuepuka kifo cha KIBUDU?
Sasa kama kufa hakuhusiani na kumdhihaki Mungu, kwa nini mleta mada kakuhusisha na kumdhihaki Mungu?
 
Kwani mimi nimekuuliza "tamko imani ni nini" au nimekuuliza imani ni nini?

Unajua kusoma kwa ufahamu wewe?
Safi kabisa sasa kilicho kufanya ukanushe ya kuwa Imani si tamko la asili ya Kiarabu ni nini ? Bila shaka ni ujinga wako wa kujadili mambo usiyo yajua.

Nimekupa kazi sasa onyesha ya kuwa asili ya tamko Imani si Kiarabu.
 
Mimi sitaki kujua ya ibilisi, nilikua nawaumbusha tu watu ambao walikua wanafikiri shida zinawapata walio mdhihaka tu Mungu kua hata huyo Mungu alishapata shida hapo mwanzo
Ndiyo nimekupa sasa maana oana ya utendaji wa Mola.
 
Mtoa uzi inaonekana ni conservative.. sijui kama familia yake inafuraha nae. Kaja na mada za ajabu sana. Yaani mtu kama huyu anaweza kuwa muongo hata kwa familia yake au kuitesa kwa mafikirio yake.
Kwanza namba sita kaijazia tu ili awe na watu wengi😂😂😂😂.
1. Jonh lennon alikua assasinated mwaka 1980 december 8 sio 1966

2. Tancredo pia aliumwa hata kabla.. alikua anasumbuliwa na maradhi hayo muda mrefu. Na alipendwa na wabrazil hajawahi kutamba hivo

3. Marilyn monroe alijioverdose..huyu alikua mla unga kweli kweli.. pisi kali ila ni sex machine.. yaani huyu ngono ilikua damuni na anasa zote.

4 huyo hewit unatupiga changa la macho.
 
Safi kabisa sasa kilicho kufanya ukanushe ya kuwa Imani si tamko la asili ya Kiarabu ni nini ? Bila shaka ni ujinga wako wa kujadili mambo usiyo yajua.

Nimekupa kazi sasa onyesha ya kuwa asili ya tamko Imani si Kiarabu.
Mimi nakuuliza dhana inayopita lugha, wewe unajibu neno la lugha moja.

Hiyo ndiyo tofauti yangu na wewe.

Ni kama tofauti ya guluguja na mtu aliyekamilika.
 
Habari za mungu ni zakutunga , ngoja nikuambie tuu
story za mungu, wachawi , mavampire ,mazombie na majini ni story zinazofanana zinazosadikika
ndio maana waswahili tukaziita nomino za kusadikika maana huwezi ziona au zihisi
 
unaposema kama mungu angekuwepo asinge kufa mtu. Ndio nakuuliza hiki kifo wewe unakielewaje?
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao viumbe wake anaowapenda wanakufa, wakati wao wanapenda kuishi, ni contradiction.

Unaelewa hilo?

Unaelewa contradiction ni nini?
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao viumbe wake anaowapenda wanakufa, wakati wao wanapenda kuishi, ni contradiction.

Unaelewa hilo?

Unaelewa contradiction ni nini?
Hawa watu wanihisi kifo ni matakwa ya mungu[emoji1787][emoji2962][emoji2962] hivi wanajua kuwa maisha ya viumbe yapo kwasababu seli hai zinafanya kazi . Tukimueleza kuwa kuna cancer cell haziwaji kufa(seli zenye kansa kutoka kwa mwanamke henrietta lacks a.k.a hela cells) sasa atasema nani anaamua kifo mungu au just biological processes [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hawa watu wanihisi kifo ni matakwa ya mungu[emoji1787][emoji2962][emoji2962] hivi wanajua kuwa maisha ya viumbe yapo kwasababu seli hai zinafanya kazi . Tukimueleza kuwa kuna cancer cell haziwaji kufa(seli zenye kansa kutoka kwa mwanamke henrietta lacks a.k.a hela cells) sasa atasema nani anaamua kifo mungu au just biological processes [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani wanakubali hata kwamba seli zipo?
 
Nadhani hoja ya mtoa mada ni kufanya kufuru kwakutokubali uwepo wa Mungu na hukumu ya haraka sana baada ya kukufuru.
Hoja sio kifo bali nikifo cha haraka sana baada ya kuona kwamba hakuna ukuu wa Mungu na mamlaka yake
 
Back
Top Bottom