Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Mtume Muhammad naye alikufa na alikuwa mwema sana. Kifo sio ishara ya dhambi. Ni nature
 
Imani si tamko lenye asili ya kiarabu.
Kwanini unabisha jambo ambalo ukiombwa ushahidi huwezi kuuweka ?

Niambie tamko Imani ni tamko lenye asili ya lugha gani ?
Dhana ya imani ilikuwepo kabla ya kiarabu kuwepo.
Kwanini unatumia tamko "Dhana" katika sehemu isiyo na shaka bali hakika kabisa ?

Kiarabu kimeanza kuwepo lini ?

Kingine ambacho hujaelewa na nanona unakurupuka kwa ujinga,umeuliza maana ya Imani, hili ni neno la Kiswahili lilitoholewa tola lugha ya Kiarabu. Sasa unakataa vipi ya kuwa tamko Imani si tamko lenye asili ya Kiarabu ?
Hjaelewa hata nilichokuuliza ni nini.
Wew ndiyo hujakielewa ulichojibiwa.
 
Namuuliza imani ni nini, anaanzia kwa Waarabu, kama vile kabla ya Waarabu hakukuwa na imani!
Naona pipa na mfuniko mnafarijiana.

Sasa unakataa kama tamko Imani si tamko la Kiarabu ? Unafikiri tamko Imani ni la asili ya Kibantu ?

Sasa mimi nakupa kazi niambie tamko Imani ni tamko la asili ya wapi ?
 
Kwanini unabisha jambo ambalo ukiombwa ushahidi huwezi kuuweka ?

Niambie tamko Imani ni tamko lenye asili ya lugha gani ?

Kwanini unatumia tamko "Dhana" katika sehemu isiyo na shaka bali hakika kabisa ?

Kiarabu kimeanza kuwepo lini ?

Kingine ambacho hujaelewa na nanona unakurupuka kwa ujinga,umeuliza maana ya Imani, hili ni neno la Kiswahili lilitoholewa tola lugha ya Kiarabu. Sasa unakataa vipi ya kuwa tamko Imani si tamko lenye asili ya Kiarabu ?

Wew ndiyo hujakielewa ulichojibiwa.
Ni bora ukaijadili vyema hoja iliyopo na uachane hizo habari za uarabu na hiko unachokidhania. Ama wataka tuanze kuifukua hiyo dini yenu ya kiislam!?
 
Naona pipa na mfuniko mnafarijiana.

Sasa unakataa kama tamko Imani si tamko la Kiarabu ? Unafikiri tamko Imani ni la asili ya Kibantu ?

Sasa mimi nakupa kazi niambie tamko Imani ni tamko la asili ya wapi ?
Kwani mimi nimekuuliza "tamko imani ni nini" au nimekuuliza imani ni nini?

Unajua kusoma kwa ufahamu wewe?
 
Ni bora ukaijadili vyema hoja iliyopo na uachane hizo habari za uarabu na hiko unachokidhania. Ama wataka tuanze kuifukua hiyo dini yenu ya kiislam!?
Kiarabu chenyewe ni lugha ya Kisemiti ambayo imerithi maneno kutoka lugha nyingine.

Kwa mfano, kuna kurandana kati ya Kiarabu na lugha nyingine za Kisemiti kama Kiyahudi.

Ndiyo maana kwenye Kiarabu wanasema Salaam, kwenye Kiyahudi wanasema Shalom, wakimaanisha amani.

Sasa katika mfumo ambao lugha zimerithiana na kutohoa hayo maneno sana, utasemaje hata neno imani limetokana na kiarabu, wakati kiarabu chenyewe kimetohoa maneno kwenye lugha zilizokuwepo kabla ya Kiarabu kuwepo?

Aende kusoma "A History of The Arab Peoples" cha Professor Albert Hourani.

Au kama hapendi kusoma, siku hizi kuna videos aangalie hii Youtube, elimu ya bure.

 
Sitaki habari za mantiki katika Mungu, ha ha ha

Lakini kwaajili ya kujifunza

Shusha mistari
Hutaki habari za mantiki katika Mungu wakati wewe kuniuliza swali tu kuhusu Mungu ni lazima ushatumia mantiki.

Unaelewa unachoandika? Au unaandika tu?
 
Hujiulizi kwanini Ibilisi alifanya kibri na akaomba kwa Allah abakishwe mpama Kiyama kitakapo karibia na Allah akakubali ombi lake ?

Usipo mjua Allah huwezi kujua namna ya ufanyaji wa mambo yake.
Mimi sitaki kujua ya ibilisi, nilikua nawaumbusha tu watu ambao walikua wanafikiri shida zinawapata walio mdhihaka tu Mungu kua hata huyo Mungu alishapata shida hapo mwanzo
 
Hutaki habari za mantiki katika Mungu wakati wewe kuniuliza swali tu kuhusu Mungu ni lazima ushatumia mantiki.

Unaelewa unachoandika? Au unaandika tu?
Hebu thibitisha hakuna Mungu bwana weeee maneno mengi ya nini?
 
From Biblical point of view, kuna wafalme wawili ambao walikutana na Mungu in action (wapo wengi zaid, just to mention few). Wakwanza ni mfalme Belshaza, huyu alipigwa tukio Live , alitumiwa ujumbe ukasomeka ukutani (Maneno) cz alilewa madaraka, akaambiwa kua Ufalme wako umefika mwisho wanakuja kuuchukua maadui zako.
Wapili ni King Herode, huyu alimchukua Yakobo akamuua, halaf akamkamata tena Petro , Mungu akachukia sn ... Akamtuma malaika usiku kumtoa Petro gerezani , Herode alivoamka akaamuru askari wachinjwe hadharani akidhani wao ndio wamemtorosha Petro, jamaa(Herode) alikufa huku anajikuna. That can explain the Wrath of God.
 
K
From Biblical point of view, kuna wafalme wawili ambao walikutana na Mungu in action (wapo wengi zaid, just to mention few). Wakwanza ni mfalme Belshaza, huyu alipigwa tukio Live , alitumiwa ujumbe ukasomeka ukutani (Maneno) cz alilewa madaraka, akaambiwa kua Ufalme wako umefika mwisho wanakuja kuuchukua maadui zako.
Wapili ni King Herode, huyu alimchukua Yakobo akamuua, halaf akamkamata tena Petro , Mungu akachukia sn ... Akamtuma malaika usiku kumtoa Petro gerezani , Herode alivoamka akaamuru askari wachinjwe hadharani akidhani wao ndio wamemtorosha Petro, jamaa(Herode) alikufa huku anajikuna. That can explain the Wrath of God.
Kwa nin Biblia inajicontradict yenyewe?
 
Mbona kwenye orodha hakuna Magufuli aliyesema atakuwa kiongozi wa malaika mbinguni? Nadhani utakuwa umemsahau kumuorodhesha.
 
walijuaje hao watu wali rip kwa kutamka hayo waliyoyasema dhid ya allah,!?, pengine Allah aliwasameh kwa kuwa hawajui walitendalo!!binadamu wakamsingizia Allah ndo amefanya wa rip.mm hz mada sipendagi saaaana kuzijadili.
 
From Biblical point of view, kuna wafalme wawili ambao walikutana na Mungu in action (wapo wengi zaid, just to mention few). Wakwanza ni mfalme Belshaza, huyu alipigwa tukio Live , alitumiwa ujumbe ukasomeka ukutani (Maneno) cz alilewa madaraka, akaambiwa kua Ufalme wako umefika mwisho wanakuja kuuchukua maadui zako.
Wapili ni King Herode, huyu alimchukua Yakobo akamuua, halaf akamkamata tena Petro , Mungu akachukia sn ... Akamtuma malaika usiku kumtoa Petro gerezani , Herode alivoamka akaamuru askari wachinjwe hadharani akidhani wao ndio wamemtorosha Petro, jamaa(Herode) alikufa huku anajikuna. That can explain the Wrath of God.
Unajuaje huyo anayesemwa kaona muandiko wa Mungu kaona muandiko wa Mungu kweli na hajachezewa shere na watu tu?
 
Back
Top Bottom