Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
- Thread starter
- #41
Mimi nipo sehemu ambayo nimeajiri watu zaidi ya 10 na wote wanaishi vizuri sasa unazungumzia ajira tenaKwa behaviour kama hizi utasota sana mtaani, sababu shida ni wewe. Watu wa NGO wengi wanaajirika watapata kwenye NGO nyingine wewe utaendelea kusota mtaani.