Hawa wabongo ndugu zetu waliokuwa wanalipwa dola na kutembelea DFP ulikuwa ukimuomba kazi anakuletea dharau sasa kiko wapi?

Hawa wabongo ndugu zetu waliokuwa wanalipwa dola na kutembelea DFP ulikuwa ukimuomba kazi anakuletea dharau sasa kiko wapi?

Kuna Dada mmoja wa JF alikuwa anjiita HR nilimuomba E-mail kipindi nipo chuo mwaka 2010 nilikuwa namalizia diploma

Alinikazia na kuninyima sasa huwa namsalimia Mara Kwa Mara

Baada ya zuio la trump amekuwa mpole Sana .

So acheni hizo nyie waswahili Leo mnarudi mtaani Kuwa jobless

Kiko wapi
Mkuu kwahyo ulikuwa unatamani mambo yawe hivo yalivokuwa sio.
 
Kuna Dada mmoja wa JF alikuwa anjiita HR nilimuomba E-mail kipindi nipo chuo mwaka 2010 nilikuwa namalizia diploma

Alinikazia na kuninyima sasa huwa namsalimia Mara Kwa Mara

Baada ya zuio la trump amekuwa mpole Sana .

So acheni hizo nyie waswahili Leo mnarudi mtaani Kuwa jobless

Kiko wapi

Wataruhusiwa kuendelea lakini program ya ukimwi pekee wataanza kwa miezi mitatu waiver imeshatoka. Program nyingine sina uhakika
 
Mini si mzima kabisa, ujinga mwingi sana unaota mizizi duniani 😂😂😂
dunia haiwezi kuwa sawa, si una jua Wana kimbilia utajiri wa mali na si Akili.

Kama nakuona unavyo uma meno na ku type kwa speed 🤣🤣🤣.

Mi niko nafatilia chess una ijua?
 
Back
Top Bottom