Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nchi imekua ya hivyo hamna verification ya urai kunazia kwemye nida
 

Sio Maghayo kweli? Ni hatari mzee babaa
 
Utakuwa mhutu wewe jiandae kurudi kwenu Burundi
 
Itakuwa miungoni mwao na wewe sio bure [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli Mkuu, kwenye ofisi zetu za umma kuna watu wana roho mbaya hujapata kuona!
Ukifuatilia uraia wao, wengi una mashaka.
Watanzania/Watanganyika wengi ni wakarimu na wana roho ya upendo.
Kamisa Mkuu

Nunalishukuru sana Jeshi la Wananchi wa Tanzania

Intelligence iliyo TUKUKA


...najiuliza tu mafagio?
 
Nafikiri Hili zengwe limeanzia wizara ya ulinzi pale wale mawaziri wanaopita hivi karibuni uraia wao utakuwa na utata👣.....

Kwa mwendo wa nchi 2025 jeshi inawezekana kuna jambo la tofauti au wanataka Kiongozi wa tofauti.

Nb: nafikiri jeshi wanataarifa nyingi za kiusalama zinazohusisha viongozi na biashara haramu.

Yawezekana Huo n ujumbe kuwa hatuna raisi madhubuti kwa sasa na wao wako tayari 😂😂😂😂
 
mi nafikiri hilo ni bomu kwa kina biteko na wengineo wakileta fyoko kipindi cha uchaguzi wanang'olewa chap ila sizan kama seriuz issue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…