Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Labda kwa kuwa umenena wewe ndio itaeleweka.

Hivi zile porojo za Tanzania ya viwanda ziliishia wapi? Yaani hapa nilipo ni kama nakuona vile. Kipindi cha propaganda za siasa chafu ulikuwa hushikiki, sasa hivi ni mpole kama maji ya mtungi.
 

ni kweli ni kazi walizochagua, lakini pia tambua kazi hizo zinahitaji kujitoa maana hata wao wangeweza kufanya kazi unayofanya, au wangeweza kutokuwa waaminifu na kila siku maadui wakavamia....usifikiri wale wanaokesha kwenye mashimo huko mipakani ni kazi na sio uzalendo pia kwa taifa lao.... usifikiri hao walio busy kufuatilia nyendo za watu na mwenendo wa mambo katika nchi usiku na mchana wanafanya kwa sababu ni kazi tu wameichagua bila chembe ya uzalendo..

Uhalifu upo kila mahala duniani, hata nchi zenye mifumo bora kabisa ya ulinzi duniani watu wanauwawa kila siku....ukizungumzia nchi zenye high crime rate duniani tanzania haiwezi kuingia hata kumi bora...kuokotwa watu kwenye viroba sio kweli ndio iwe sababu ya kuviona vyombo vya ulinzi na usalama havifanyi kazi maana wote tungekuwa kwenye viroba....

JF Kennedy aliuwawa ndani ya USA ikiwa na vyombo bora kabisa vya ulinzi, September 11 USA ilipigwa ikiwa na vyombo bora kabisa vya ulinzi, Big na tupac walipigwa risasi kweupe kabisa...bado daily shoot the mtaani usizozijua ambazo zinachukua maelfu ya watu, SA wako na vyombo bora mara 100 zaidi yetu lakini uhalifu na mauaji ya kila siku ni hatari...
 

Kupambana mitandaoni ni dalili ya uoga, mapambano ya kweli na watawala yako barabarani.....wote waliofanikisha mambo yao dhidi ya tawala dhalimu walitoka barabarani...

Concern yangu, wakati wa JPM hakuna aliyejaribu kusimama barabarani kumpinga au kupambana naye zaidi ya wachache huku mitandaoni ambao wasingeweza kumnyima usingizi....alipiga marufuku mikutano ya siasa na maandamo na hakuna aliyejaribu kutoka barabarani tena kwa mikwara mbuzi kabisa ya lina Moroto...
TL alipigwa risasi mchana kweupe, nani aliyetoka barabarani kudemand justice for TL, nani aliyetoka barabarani kudai uchunguzi huru dhidi ya shambulio ya TL.
Uchaguzi haukuwa huru na haki yakaitishwa maandamano, nani alitoka barabarani kunyanyua bango...

Naomba nikwambie, Watanzania bado hawajachoka au kuichoka CCM siku ikifika automatically tu utaiona response yao dhidi ya dola...najua na nimewashawahi kufika nchi za watu waliochoka na tawala zao, Tanzania bado watu wanashiba ugali...
 
Kwenye madhambi Jiwe n a Genge lake walikithiri ndio maana Mungu kaamua kuwapukutisha. Maana sio kwa uhalifu ule aisee.

Chief unamawasiliano na Mungu kujua kila anayekufa kwanini amekufa?..

Kwa Imani yangu, Mwenyezi Mungu ndiye mjuaji wa hatma ya kila kiumbe cha duniani hapa, uwe mabaya au mazuri na hili linabaki siri yake..

JPM alikuwa kiongozi wa dola, kila dola duniani ina dark side kwa ajili ya usalama wa hiyo dola na ukijipendekeza huko lazima yakukute..sio Tanzania pekee hii ni kote duniani na hata wewe tukikupa dola leo lazima uact....kila dola duniani ina dip state kwa ajili ya kulinda Taifa na ujinga unaoweza kuleta nyufa na kuliangusha dola...ya dola ni dola ndio inayajua...maana mimi na wewe usiku tunalala ila dola hailali..
 
Lupaso ni nani"""
 

Who cares?
 
Hakuna haja ya mawasiliano n Mungu matendo yake kila mtu anayaona. Hilo halihitaji ushahidi wa malaika.
 
Hivi zile porojo za Tanzania ya viwanda ziliishia wapi? Yaani hapa nilipo ni kama nakuona vile. Kipindi cha propaganda za siasa chafu ulikuwa hushikiki, sasa hivi ni mpole kama maji ya mtungi.
Vipo viwanda vinaanzishwa kila inayoitwa siku
 
ila yeye amewahi nukuliwa akisema hakuna MTU aliyemsaidia kupata urais.
 
J ni nani na ni nani alimuweka madarakani?
 
Mkuu inakuaje kuhusu Maalim Seif
 
Mkuu hao waliokufa walipigwa risasi kama Lisu, mpaka huyu kaamua kutembea na huo mguu wa kuku?
Hapo sasa...hatumii akili, au woga umemjaa amepanick anataka kujilinda, lakin hajui ajilindije
 
Huu uzi ufutwe, unatupeleka kubaya kama taifa na kiimani tunakaribia kukufuru.
 
Shujaa alisemaga barakoa inafanana na titi 1 la mwanamke lililokatwa.
Rais Samia kule Kenya alizifananisha na vile vitambaa wanavyowekea mdomoni mbuzi ili wasile mazao ya watu wakiwa njiani, lakini anazivaa kila anapokuwa karibu na watu wengi.
 
Yaani umewaza kama wengi. Kuna kikundi huenda kinawamaliza na sababu ipo. Viongozi wetu waliyojitoa mhanga kwa maendeleo ya wote lazima tuwalinde. Nyoka anayewagonga yumo humu humu bila shaka na anawezeshwa na adui wa maendeleo ya umma wa wananchi wetu. Hii dhana si ya kupuuzwa na wazalendo.
 
Itakuwa ni vita ya chuki na kimasilahi na wala sio uzalendo maana hamna wazalendo miongoni mwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…