Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Hawaondoki hivi hivi, inasemekana kule juu yule jamaa amekwaa uteuzi, ameshakuwa kiongozi wa malaika, so anawaita washkaji zake mmoja baada ya mwingine wakaunde tena serikali ya kidikteta
 
Baada ya miaka 10 kuanzia sasa, panapo majaliwa yote yaliyomo sirini yatawekwa bayana...Hii aina mpya ya WMD itatumika sana.
Kuna watu wameungana kulipa KISASI ambacho wao wanakijua.
 
Ipo namna yani kama ni ugonjwa kwanini uwe na selective sampling? Yani ukaangalia wanaonyofolewa ni watu flani specific badala ya random! Ina maana hili tatizo liko kwa ajili ya watu maalum tu? Seems like theres a specific mission ya ki undercover
Wengi wao ni vijana wa 90s na walikuwa wazee wa mtelezo, konekti doti korona ikigusa kidogo tu basi.
 
kuna qicha moja inasamba sana kwenye mitando iko sytmatc ikianza na kijaz,stendi ya mwendazake,daralaja la aliyetutoka leo na the last one inafikirisha sana but wacha tuone
 
Amani imekuwepo tangu 1961 haya ya watu kupotea yalianza na Nyerere na tutakufa tukiyaacha, wanapotea watu Russia na US sembuse TZ!.
 
Labda tusaidie kujua maana hayo maneno mawili. CARDIOVASCULAR na RESPIRATORY
 
Bado yule kipara wa mjengoni
 
Safi sn mkuu
 
Maneno yote yamenyooka ila neno
System kwenye bandiko lako imenyifinya kwakuonyooka
 
Eti covid inabeba baba tuu familia yake hakuna anayepata hata mafua!.huu ni mchezo mchafu na Mungu atatulipia tuu mda si mrefu
😳 Ndiyo maana issues za kisiasa na utawala siyo za kushabikia kwa haraka, mwenye akili timamu unatulia kuangalia mchezo unavyokwenda.
 
Wajinga majizi na bendera fata upepo hawawezi kukuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…