field artillery
Member
- Jan 5, 2016
- 50
- 51
Poleni sana wafiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaondoki hivi hivi, inasemekana kule juu yule jamaa amekwaa uteuzi, ameshakuwa kiongozi wa malaika, so anawaita washkaji zake mmoja baada ya mwingine wakaunde tena serikali ya kidiktetaHabari Wakuu,
Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?
Yaani Bwana yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupuchupu baada ya kudaiwa kuugua Covid iliyomlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.
Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo? Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja? Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?
Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.
Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.
Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Anyway, time will tell.
Kuna watu wameungana kulipa KISASI ambacho wao wanakijua.Baada ya miaka 10 kuanzia sasa, panapo majaliwa yote yaliyomo sirini yatawekwa bayana...Hii aina mpya ya WMD itatumika sana.
Wengi wao ni vijana wa 90s na walikuwa wazee wa mtelezo, konekti doti korona ikigusa kidogo tu basi.Ipo namna yani kama ni ugonjwa kwanini uwe na selective sampling? Yani ukaangalia wanaonyofolewa ni watu flani specific badala ya random! Ina maana hili tatizo liko kwa ajili ya watu maalum tu? Seems like theres a specific mission ya ki undercover
Hahahaha wazee wa mucus!Wengi wao ni vijana wa 90s na walikuwa wazee wa mtelezo, konekti doti korona ikigusa kidogo tu basi.
kuna qicha moja inasamba sana kwenye mitando iko sytmatc ikianza na kijaz,stendi ya mwendazake,daralaja la aliyetutoka leo na the last one inafikirisha sana but wacha tuone
Mkuu mambo ya kupotezana pia huwa na sababu, kwanini wewe hujapotezwa mpaka leo hii?,Vipi na familia za aliowapoteza kama BEN SA8 .AZORY GWANDA SIMONO KANGUYE na wengine wengi
Amani imekuwepo tangu 1961 haya ya watu kupotea yalianza na Nyerere na tutakufa tukiyaacha, wanapotea watu Russia na US sembuse TZ!.mkuu pole Sanaa!!! naona bado una maumivu ya kufiwa,
ukumbuke pia mke wa Azory gwanda na familia yake Hadi leo Wana majonzi kiasi gani, na kina Ben saanane,na Wengine wengi,
Acha twende na Samia Hadi #2035* ameonyesha ana utu na mwenye huruma na hofu ya Mungu,
hata akija kuvurunda huko mbele,tunachotaka watu waishi kwa amani tu,mambo ya watu kuishi kwa hofu kwenye nchi yao ni upuuzi, sawa boss!!
Labda tusaidie kujua maana hayo maneno mawili. CARDIOVASCULAR na RESPIRATORYHawa virus washenzi kweli, siku hizi wanakula kimyakimya, ukianza kuhisi vibaya tu kwa heri, yule mama aliefariki ghafla akila futari hoteli gani sijui, ni uthibisho kuwa covid wako kazini na wanatafuna kimya kimya tu, siku hizi hukohoi wala kutoa mafua.
Kwa msiojua huu ugonjwa ni cardiovascular disease, sio Respiratory.
Bado yule kipara wa mjengoniHabari Wakuu,
Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?
Yaani Bwana yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupuchupu baada ya kudaiwa kuugua Covid iliyomlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.
Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo? Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja? Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?
Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.
Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.
Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Anyway, time will tell.
Safi sn mkuuMagufuli, Kijazi na Mfugale Hawa watu kwa miaka 20 iliyopita wamefanya kazi kwa karibu sana kati ya TANROADS na Ujenzi. Hao wameshirikiana sana kugawana rushwa itokanayo na mikataba ya Ujenzi.
Ndiyo kisa wakawa wanabatiza madaraja kwa majina yao. Siyo ajabu kuona wote wanaondoka kwa COVID19
Inapiga mulemuleAcha wapukutike wamejitakia, walikua na nafasi ya kujisaidia wenyewe na kutusaidia wanyonge wakajiona miungu watu. Wapumbavu sana. Asante Corona ..
😳 Ndiyo maana issues za kisiasa na utawala siyo za kushabikia kwa haraka, mwenye akili timamu unatulia kuangalia mchezo unavyokwenda.Eti covid inabeba baba tuu familia yake hakuna anayepata hata mafua!.huu ni mchezo mchafu na Mungu atatulipia tuu mda si mrefu
Wajinga majizi na bendera fata upepo hawawezi kukuelewaMkuu maneno yako ni mada inayojitegemea.
Kila mtu hakosi mema yake, JPM alimaliza matatizo yote ya ufisadi wa umeme ndani ya mwaka mmoja.
Kafufua shirika la reli linaendeshwa na wazalendo, kafufua shirika la ndege na zinakuja tatu siku zijazo.
Kawezesha madini kuchenjuliwa hapa hapa TZ.
Akaihamisha Dodoma serikali ndani ya miaka miwili waliomtangulia miaka 40 iliwashinda.
Hizo story nyingi za ukatili Ni za upande mmoja, ule wa pili haupo kwani anayesemwa yupo ndani ya ardhi kwa sasa.
Upande wa ufisadi na uonevu ambao hayati alipigana nao unao watetezi, wamejaa humu jukwaani.
Hata ww unaweza kukuta umekwenda kumshangaa jiwe huko hukoUtarudije hapa wakati huo utakuwa na Jiwe kuzimu?
Hata ww unaweza kukuta umekwenda kumshangaa jiwe huko huko