Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

HANIHUDUMII

PESA AKE AKINIPA NI MPK TUWE WOTE TENA VILE Mshamaliza maongezi kila mtu kwao ndio anatoa Ka elfu 20 [emoji57][emoji57]

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kiufupi ni bahili
Teh teh teh teh teh 😂😂😂 jamaa anakujali Sana huyo,

hataki kukuhonga kwa kujionyesha wakati hana.....mpe penzi shemeji yangu huyo....mpe vyote bhana.
 
Ubahirii nimeuridhiaa wala sina tatizo maana sina mahitaji makubwa ya kufanya pasipo kupata kwake pesa mambo yangu yasiende


Issue ni kuwa hayuko romantic yaani tunachart kama mandonga na mwakinyo
Sasa mchaga na uromantic wapi na wapi jamani🙆🙆
 
Ndivyo wachaga walivyo shost yaani wanaboa kishenzi sijui wakoje khaaa
 
Teh teh teh teh teh [emoji23][emoji23][emoji23] jamaa anakujali Sana huyo,

hataki kukuhonga kwa kujionyesha wakati hana.....mpe penzi shemeji yangu huyo....mpe vyote bhana.

Nimpe penzi tu na hayuko hata romantic manake nini
 
Waulize walio kwenye ndoa kwa miaka kadhaa kama wanachat kiromantic kama walivyokuwa kwenye urafiki na uchumba au ndoa ilivyokuwa changa

Huyo bwashee anakufundisha maisha halisi ya ndoa kama utakubali kuolewa naye

[emoji2][emoji2][emoji2]kunifundisha hiyo kwioo

Basi kama haupo romantic si unakuwa unamwaga mapene
 
No. 3 ndio jibu sahihi kwa maswali yako yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…