mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
- #81
Shangaa nawewe...mara mzungu...picha linaisha anatua mabegi kwa Meku
[emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangaa nawewe...mara mzungu...picha linaisha anatua mabegi kwa Meku
🤣🤣🤣Sasa huyu hata ukimwambia nakupenda kwenye sms anakujibu Asante Sanaa
Teh teh teh teh teh 😂😂😂 jamaa anakujali Sana huyo,HANIHUDUMII
PESA AKE AKINIPA NI MPK TUWE WOTE TENA VILE Mshamaliza maongezi kila mtu kwao ndio anatoa Ka elfu 20 [emoji57][emoji57]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kiufupi ni bahili
Waulize walio kwenye ndoa kwa miaka kadhaa kama wanachat kiromantic kama walivyokuwa kwenye urafiki na uchumba au ndoa ilivyokuwa changaIssue ni kuwa hayuko romantic yaani tunachart kama mandonga na mwakinyo
Sasa mchaga na uromantic wapi na wapi jamani🙆🙆Ubahirii nimeuridhiaa wala sina tatizo maana sina mahitaji makubwa ya kufanya pasipo kupata kwake pesa mambo yangu yasiende
Issue ni kuwa hayuko romantic yaani tunachart kama mandonga na mwakinyo
Kwa hiyo umepitiwa na wangapi sasa?Na wa pwani wako vizuri kuna mmoja huyo Mpk nimemis [emoji3060]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Teh teh teh teh teh [emoji23][emoji23][emoji23] jamaa anakujali Sana huyo,
hataki kukuhonga kwa kujionyesha wakati hana.....mpe penzi shemeji yangu huyo....mpe vyote bhana.
Waulize walio kwenye ndoa kwa miaka kadhaa kama wanachat kiromantic kama walivyokuwa kwenye urafiki na uchumba au ndoa ilivyokuwa changa
Huyo bwashee anakufundisha maisha halisi ya ndoa kama utakubali kuolewa naye
Kwa nini lakini? MnatutesaWasikudanganye,
Wote tupo ivo ivo, bora uyo alijitahidi miezi mitatu.
Sasa mchaga na uromantic wapi na wapi jamani[emoji134][emoji134]
Ndivyo wachaga walivyo shost yaani wanaboa kishenzi sijui wakoje khaaa
Kwa hiyo umepitiwa na wangapi sasa?
Kwa nini lakini? Mnatutesa
No. 3 ndio jibu sahihi kwa maswali yako yote.Nimekuwa na mahusiano na kijana wa kichaga almost 1.10 year ila sijawahi kupata Yale mahaba yenyewe. Ukitoa zile siku za mwanzo ni za mahaba ile miezi 3 ya mwanzo.
Mfano kukuita majina mazuri mazuri like sweetheart, honey, mke n.k Yaani kiufupi hana matendo ya mahaba.
Unaweza kumuaga kwenda mahali akakwambia sawa ila hakuulizi unaenda wapi na kufanya nini, kiufupi hana amshaamsha.
Anaweza kukaa hata siku 3 hamjawasiliana na akikutafuta hamna hata story.
Mwenzenu nimechoka natamani kupata mtu ambae ana mahaba na mimi ni enjoy.
Mpk nimemis Ex wangu alikuwa ananiita majina matamu hata Kama ananidanganya.
Naombeni majibu-
- Ni tabia ya wanaume wa kichaga
- Ni Tabia ya mtu binafsi
- Hanipendi?
😁😁 Mambo hayaeleweki basi tafrani tupu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji113]